Lakini hizo Comments za watu wengi, zinaonyesha jinsi JF ilivyojaa majuha kipindi hiki, zimekaa kimsutano, zimetoka kwa watu waliojaa Wivu, na wengi wanaonyesha wamepigwa mbaya na maisha.
Wana point hapa, wanatakiwa wapate ushaur mzuri, Somo la UZALENDO, kutolewa HOFU ya kuwekeza kwenye Small scale, Kununua shares Bongo na kuaminishwa kwamba one day watatakiwa kurudi Bongo.
Wallah nakwambia kwa kidogo walichonacho, Amabacho ni kidogo kufanya investment hukoooo majuuu (but kiuhalisia ni kikubwa Bongo) waje wekeza huku kwa manufaa yao na WaTanzania wenzao.
Well those are the basic infrastructures to foster growth (electricity and transport network) na wala sipingi kwa sababu ni right steps serikari imeanza nazo.
Labda concerns ni kuwapa TANESCO over a trillion sh under the same weak monitoring systems of their expenditures in addition to bad organization investment behaviours.
Considering the only external watchdogs are seasonal scrutinizers CAG and the responsible parliamentary committees which is made up by large numbers of non qualified MPs on the matters which they are supposed to assess. that remains a concern if the money will be utilised efficiently this time round; wakati malalamiko ya matumizi mabaya ya pesa yameshakuwa mengi sana ndani ya shirika kutoka kila kona ya jamii.
Kuhusu mazingira as much as electricity and transport network are important so as the money policies, majuzi tu kuna mmbunge aliuliza swala la riba inakuwaje naibu waziri wa fedha akasema serikari aiwezi kuingilia sector binafsi. Lakini hapa kuna tatizo kubwa sana la gharama za mwisho za uzalishaji kubaki kuwa juu katika mazingira ya finacial lending za sasa,
Leo tunalalama viwanda vya ndani vinakufa wakati hoja ya msingi tunaikwepa gharama za kuzalisha Tanzania sasa kama serikari aiwezi kuwekeza directly; ina maana tunategemea watanzania wenyewe kwa mikopo ndiyo wafanyw hizo bidhaa zitakazo zalishwa zinaweza shindana na bei na dunia ya leo maana hilo ni crucial factor kabla ujaja na sera kali za ku deter importation which is long overdue.
Uwezo mkubwa wa Tanzania kuwekeza ni 'fast moving consumer goods' na ndio aina ya viwanda Tanzania inavyoweza mudu given other variable ie the human capital and the farming policies which are encouraged. Hata huko bila ya mipango thabiti kwanza ya kisera unaweza kujikuta unaleta shortage kubwa sana na prices hike kama sakata la sukari lilivyoonyesha isitoshe bado ata atujafikia levels za ushindani wa kutosha.
Kwa hivyo either ni viwanda vya serikari, local private or PPP; given the current economic policies and business environment factors the best way to assess the government mission is through an economic model on industrial growth whereby it parameters can be analysed. that is how the real world works.
Sio hizi habari za viwanda tutachukuwa or not, this is not the information any informed mind want to hear anaposikia Tanzania ya viwanda yaja wakati anaagalia uhalisia wenyewe.