Diaspora tuhusishwe kujenga Viwanda

Diaspora tuhusishwe kujenga Viwanda

what would you consider to be favourable and conducive environment in the real estate and industry sectors and have you consulated the relevant sector ministries for information and guidance?
there is no favourable and conducive environment for a real serious and potential investor like me to invest this is due to political instability no democracy and no transparency for instance the issue of Zanzibar and the mtandao act. Also the infrastructures are in bad condition Airports are not safe. High crime rates corruption at highest level mizaha wivu chuki hila ghilba choyo kinyongo uvivu elimu maghumash go on and on.

CAN'T RISK TO PUMP IN MASSIVE CASH TO INVEST IN SUCH CONDITIONS.
 
Makalio yenuuuu!,nguo munaagiza toka huku,eti"tuje kuwekeza"huju munabana pua!.
Pelekeni fangas zenu huko mbele,noti siyo kama mavhuz kuwa hata nyie wakosa usibgizi mutazipa,vipapa vyenuu!,hamuwezi kuzikana mutaweza kuweza!makalio nyie.
Munapoteza muda,miaka kumi dola elfu kumi,chawa bata nyie.
dogo kuwa mpole. Hasira zako za kunyimwa visa usizimalizie kwetu sawa. Tatizo lenu nyinyi wala vumbi eti kuwa na maisha bora ni kuwa tajir. Ndio hata kama dola elf 10 hamna shida ila bora uish maisha ya furaha na kuridhika ambapo unapata huduma muhim na msingi kwa urais. Acha chuk
 
dogo kuwa mpole. Hasira zako za kunyimwa visa usizimalizie kwetu sawa. Tatizo lenu nyinyi wala vumbi eti kuwa na maisha bora ni kuwa tajir. Ndio hata kama dola elf 10 hamna shida ila bora uish maisha ya furaha na kuridhika ambapo unapata huduma muhim na msingi kwa urais. Acha chuk
Kwanza visa ya kuwa mtumwa ya nini,alitumikishwa babu yako,kabla baba yako wewe hajawa yai,na baada ya kuzaliwa baba yako na kuwa mtumwa kabla wewe hujawa yai,ukatumikishwa nae mpaka na wewe unaweza kubeba yai,huna maendeleo,unafikiri na wengine wako tayari kutumika pamoja na wewe ili nao wawe masikini kama wewe?
 
NAOMBEN NIWAWEKE SAWA NDUGU ZANGU WALA VUMBI. NI NGUMU SANA KUWA TAJIR ULAYA LAKINI NI RAHIS SANA KUISH MAISHA MAZUR NA YENYE FURAHA NA KURIDHIKA KAMA UNAISH KIHALAL.

Hapa tu Koppenhagen ukifanya kaz ama kubeba boks masaa 6 kwa siku kwa siku sita kwa wiki mshahara wako kwa mwez ni zaid ya million 4 za bongo hapo umefanya kaz kizembe. Kama wewe mjanja hupo pekee yako unatafuta sharing apartment kinachochukua hela sana kodi ya pango. Kama umeoa bas wewe na waif mnapigana Taf

There is no good place to raise a child like skendinevia
 
Kwanza visa ya kuwa mtumwa ya nini,alitumikishwa babu yako,kabla baba yako wewe hajawa yai,na baada ya kuzaliwa baba yako na kuwa mtumwa kabla wewe hujawa yai,ukatumikishwa nae mpaka na wewe unaweza kubeba yai,huna maendeleo,unafikiri na wengine wako tayari kutumika pamoja na wewe ili nao wawe masikini kama wewe?
wewe sindio bonge la mtumwa
 
kama tanzania tunaweza kuwa na wapumbavu mpaka nje ya nchi hii si hatari!
iyo haiepukiki mkuu ni genetic. Sisi wabongo popote tulipo tabia ni ileile something need to b done. I think that ingredient dropped in hiroshima will do good to us
 
NAOMBEN NIWAWEKE SAWA NDUGU ZANGU WALA VUMBI. NI NGUMU SANA KUWA TAJIR ULAYA LAKINI NI RAHIS SANA KUISH MAISHA MAZUR NA YENYE FURAHA NA KURIDHIKA KAMA UNAISH KIHALAL.

Hapa tu Koppenhagen ukifanya kaz ama kubeba boks masaa 6 kwa siku kwa siku sita kwa wiki mshahara wako kwa mwez ni zaid ya million 4 za bongo hapo umefanya kaz kizembe. Kama wewe mjanja hupo pekee yako unatafuta sharing apartment kinachochukua hela sana kodi ya pango. Kama umeoa bas wewe na waif mnapigana Taf

There is no good place to raise a child like skendinevia
Stupid!,unaishi kutafuta pango tu,huku tuanishi kutafuta vijiji vya majumba mjini,hatuwazi pango,
Rudi,unazeeka bure.
 
Katika kujenga Tanzania ya Viwanda tunatoa ombi sisi wana diaspora tuhusishwe kikamilifu kutoa ushauri na nguvu kazi maana tuna exposure ya kutosha kuliko wala vumbi walio wengi wanaowaza kuiba na kugoma
Sema unafuta kazi mkuu!
Hata kuwekeza kiwanda cha chips huwezi?
 
Stupid!,unaishi kutafuta pango tu,huku tuanishi kutafuta vijiji vya majumba mjini,hatuwazi pango,
Rudi,unazeeka bure.
kwani mimi nilikuja kuish huku milele? Kwani mimi sina mashamba na nyumba bongo? Wee vp? Nimekuja huku kutafuta. Nafanya kaz masaa 14 -15 kwa siku ispokuwa j2 Ndio maana unaniona sasa hiv niko active hum kesho siingi mzigon.

Kuhus kodi ya pango nikusave mkuu. Kodi ya pango tu hapa kwa mwez viwanja vya kutosha ama mashamba tanga. Mimi nashare na masela ninasevu karibia milion mbil za bongo kama ningeish ama kupanga apartment kivyang.

Sitaish hiv kubeba boks milele nimejiwekea target had 2020. Nina akiba ya hela ya kutosha tu. Na bongo nina asset za kuridhisha. Nilipokuwa bongo kufikisha hata laki ilikuwa ngumu kwa mwez lakin sasa hiv maamae 47000tzs × 14 × 6 ×4 kodi 36%
 
kwani mimi nilikuja kuish huku milele? Kwani mimi sina mashamba na nyumba bongo? Wee vp? Nimekuja huku kutafuta. Nafanya kaz masaa 14 -15 kwa siku ispokuwa j2 Ndio maana unaniona sasa hiv niko active hum kesho siingi mzigon.

Kuhus kodi ya pango nikusave mkuu. Kodi ya pango tu hapa kwa mwez viwanja vya kutosha ama mashamba tanga. Mimi nashare na masela ninasevu karibia milion mbil za bongo kama ningeish ama kupanga apartment kivyang.

Sitaish hiv kubeba boks milele nimejiwekea target had 2020. Nina akiba ya hela ya kutosha tu. Na bongo nina asset za kuridhisha. Nilipokuwa bongo kufikisha hata laki ilikuwa ngumu kwa mwez lakin sasa hiv maamae 47000tzs × 14 × 6 ×4 kodi 36%
Bado umepotea!huku watu tuna make a lot of stupid cash,we're self made millionaires ha ha ha!.
 
Katika kujenga Tanzania ya Viwanda tunatoa ombi sisi wana diaspora tuhusishwe kikamilifu kutoa ushauri na nguvu kazi maana tuna exposure ya kutosha kuliko wala vumbi walio wengi wanaowaza kuiba na kugoma
exposure ipi??
 
The regime needs to see this with a third eye. For instance whatsoever me am capable of investing millions of pounds in banking and real estates and vast industrial sector.

The obstacle is I can't risk Just dumping my bulk cash just like that for the sake of investing until this CCM regime convince me by putting favourable and conducive environment for me to invest.

daah, kama na wewe ndio dayaspora na akili hii bsi wacha magu aue kisela tu
 
Bado umepotea!huku watu tuna make a lot of stupid cash,we're self made millionaires ha ha ha!.
mnatumbuliwa huko hizo hela mtapata wap? Ridhiken na vipato vyen. Mnatupiga mizinga kishenz kwenye whatsap na fb maamae. Boksi inalipa kuliko bongo maamae
 
Makalio yenuuuu!,nguo munaagiza toka huku,eti"tuje kuwekeza"huju munabana pua!.
Pelekeni fangas zenu huko mbele,noti siyo kama mavhuz kuwa hata nyie wakosa usibgizi mutazipa,vipapa vyenuu!,hamuwezi kuzikana mutaweza kuweza!makalio nyie.
Munapoteza muda,miaka kumi dola elfu kumi,chawa bata nyie.
Du! Hili nalo neno.....
 
Back
Top Bottom