Diaspora tuhusishwe kujenga Viwanda

Diaspora tuhusishwe kujenga Viwanda

Namfahamu mwana-diaspora mmoja amewekeza kwenye hoteli ya kitalii pembezoni mwa bahari ya HINDI - GIRAFFE HOTEL. Hongera sana.
 
Katika kujenga Tanzania ya Viwanda tunatoa ombi sisi wana diaspora tuhusishwe kikamilifu kutoa ushauri na nguvu kazi maana tuna exposure ya kutosha kuliko wala vumbi walio wengi wanaowaza kuiba na kugoma.
NB: Iundwe WIZARA YA VIWANDA tu ikiwezekana tupate Diaspora mwenye uelewa na sekta hiyo ili kutukwamua hapa tulipo. Ni ushauri tu.

They fled Ethiopia amid war and privation. An economic boom is bringing them home.
Jamani kwani Diaspora ni cheo fulani au ni ujuzi mkubwa kuliko wengine> Mbona tunao local residents wazuri tu kwa kila nyanja nawashauri kama mmeshalimbikiza za kutosha njooni mjenge viwanda hapa ni kwenu nyumbani ni nyumbani tu
 
Kwan ni nani kawazuia? Wanakuja kuwekeza watu ambao si raia, sembuse ninyi Watanzania? Yaani mnavyozungumza uwekezaji utafikiri mna cha kuwekeza. Kumbe njaa tu. Angalia hata hamjui kuwa tuna Wizara ya Viwanda. Shame.
 
Haa ! Diaspora Muogopeni Mungu...uwezo huo upo kweli?maana ikitokea diaspora kapoteza baba au mama huku bongo..kila siku tunachangisha michango huku ili diaspora mmoja apate nauli ya kuja kumzika mzazi wake... So .. so .. Pathetic..!tuache kujitutumua wakati nauli ya kurudi tu ni mtihani....
ahahaaaa mkuu umefunga topic wallah
 
diaspora tuheshimiwe! hivi nyie wala vumbi kweli mtajilinganisha na sisi huku ughaibuni kweli? kwa kipi hasa?
 
diaspora tuheshimiwe! hivi nyie wala vumbi kweli mtajilinganisha na sisi huku ughaibuni kweli? kwa kipi hasa?
Mkuu usigeneralize mambo!
Tumeyaona maisha ya nje na kuyaishi mwisho wa siku tumerudi na kupiga hatua hapa nyumbani! Si kila mwanadiaspora ana nafasi na uwezo kama ulionao kuna watu tunawasaidia kuendesha maisha kutokea huku nyumbani na wengine wanajutia muda walioupoteza huko!
Anayemwonea Mtanzania mwenzie wivu nadhani ana matatizo.
Karibuni muwekeze karibuni sana!
 
Haa ! Diaspora Muogopeni Mungu...uwezo huo upo kweli?maana ikitokea diaspora kapoteza baba au mama huku bongo..kila siku tunachangisha michango huku ili diaspora mmoja apate nauli ya kuja kumzika mzazi wake... So .. so .. Pathetic..!tuache kujitutumua wakati nauli ya kurudi tu ni mtihani....
Ila hatuwakatishi tamaa.unganeni mpate mtaji, opportunities Kwenye miradi ya viwanda vidogo vidogo bado ni kubwa.Pia serikali ya Sasa inaelekea itatoa kipaumbele uanzishwaji wa viwanda.
 
diaspora tuheshimiwe! hivi nyie wala vumbi kweli mtajilinganisha na sisi huku ughaibuni kweli? kwa kipi hasa?

Kwa nini ambacho mlinacho mpaka sisi tusijilinganishe na nyie heeee???kwa hilo baridi la huko au hali ya hewa ya huko??au kwa hivyo vijumba vyenu mnavyosaidiwa na serikali za huko ughaibuni??kwa kipi hasaaa heee ???au kwa hivyo vyumba au studio za 17m2 ambazo sometimes hauruhusiwi kumwalika hata mtu au kwa hizo nyumba za kushare heeeee???kwa lipi hasa heeeee????sisi sawa tunakula vumbi lakin tunaishi vizuri,hatuna stress kabisa lakin nyie huko Ni Stress kwenda mbele,huu upumbavu wako waambie hao wasiojua ughaibuni au ambao hawajafika wakaona hali halisi ya huko ughaibuni lakin kwa me HAUNIDANGANYI kitu aisee Maana nishaishi baadhi ya nchi za ulaya na mpaka leo uwa nakuja kutembea na kurudi
 
tuundiwe MAMLAKA/WIZARA kamili inayohusiana na sisi Wana-DIASPORA (Wa Ulaya na Marekani tu) ili tuweze kurahisisha zoezi la uanzishaji wa VIWANDA hapo nchini.

NB: Tafadhali Diaspora tusichanganywe na wale vibaka wanaozamia South Africa huwezi kuwaita Diaspora.
 
Asilimia kubwa wana-DIASPORA WALIOKO ULAYA NA AMERICA wamejiripua either kwa UKIMBIZI AU namna nyingine.

Waziri wa Ardhi amesema Mtu yeyote asiye kuwa MTANZANIA hana haki ya kumiliki kiwanja pamoja na hawa ... watanzania wenzetu walio kimbilia huko USA NA EUROPE (diaspora) wakapata uraia wa huko huna haki ya kupata privilege kama ya Mtanzania.

Sasa cjui mtafanyaje? WANA-DIASPORA .
 
tuundiwe MAMLAKA/WIZARA kamili inayohusiana na sisi Wana-DIASPORA (Wa Ulaya na Marekani tu) ili tuweze kurahisisha zoezi la uanzishaji wa VIWANDA hapo nchini.

NB: Tafadhali Diaspora tusichanganywe na wale vibaka wanaozamia South Africa huwezi kuwaita Diaspora.

Hao unaowaita vibaka nafikiri wana maisha mazuri kuliko ww ,diaspora uchwaraaaa
 
Kwa ujumbe wa waziri jana sijui juzi, kama wewe ni mtanzania hiyo hakuna tabu nafikiri.
 
tuundiwe MAMLAKA/WIZARA kamili inayohusiana na sisi Wana-DIASPORA (Wa Ulaya na Marekani tu) ili tuweze kurahisisha zoezi la uanzishaji wa VIWANDA hapo nchini.

NB: Tafadhali Diaspora tusichanganywe na wale vibaka wanaozamia South Africa huwezi kuwaita Diaspora.

Why umeongelea wa SA namna hiyo? Kwani huko majuu hakuna walio kama hao uliowasema?
 
not hatred mkuu; ni ukweli mchungu. wanaofanya kazi za maana huko ni wa kuhesabu. maisha marekani yalikua mazuri during clinton era. kwa sasa hali ni mbaya ingawa obama kajitahidi mno kujaribu kurudisha hali kawaida.

Kama haujasoma maisha USA magumu sana!
Ukisoma ingawa ni gharama sana unaanza kuishi vyema sana
 
Katika kujenga Tanzania ya Viwanda tunatoa ombi sisi wana diaspora tuhusishwe kikamilifu kutoa ushauri na nguvu kazi maana tuna exposure ya kutosha kuliko wala vumbi walio wengi wanaowaza kuiba na kugoma.
NB: Iundwe WIZARA YA VIWANDA tu ikiwezekana tupate Diaspora mwenye uelewa na sekta hiyo ili kutukwamua hapa tulipo. Ni ushauri tu.

They fled Ethiopia amid war and privation. An economic boom is bringing them home.
Wewe una exposure ipi zaidi ya kutumiwa hela ya kujikimu kutoka bongo
 
Sisi wabeba maboksi, waiters na watchmen tutaweza kujenga nini. Kinachotusaidia tukija likizo ni bei ya dollar zetu zinatupa chenji nzuri ndio zinatuvimbisha . Tusiwadanganye wenzetu. Infact wenye hali nzuri ni wale wanao fanya kazi nchi za kiarabu kama Abu Dhabi ndio wanakuwa na kazi bora kidogo au afadhali.
 
Back
Top Bottom