Diaspora tuhusishwe kujenga Viwanda

Diaspora tuhusishwe kujenga Viwanda

Lakini hizo kaz ungekuwa tz usingefanya,kama sisi wana Dar unifanyishi kaz ya kuosha vyombo hata siku moja,Lakin kwa sababu upo mbele unaona kawaida sanaaaaa,Sema ndo hivyo kila la mtu na maisha yake na chaguo lake katika maisha,kama wanavyosema kaz ni kaz

Kuna madish washer kaka, wewe ni kutumbukiza tu vyombo sio ile kuosha kibongo kibongo, tena madish washer ya mahotelini ni heavy duties wewe ni kuweka na kutoa tu, sio kama vile unaosha kibongo bongo!!
 
Katika kujenga Tanzania ya Viwanda tunatoa ombi sisi wana diaspora tuhusishwe kikamilifu kutoa ushauri na nguvu kazi maana tuna exposure ya kutosha kuliko wala vumbi walio wengi wanaowaza kuiba na kugoma.
NB: Iundwe WIZARA YA VIWANDA tu ikiwezekana tupate Diaspora mwenye uelewa na sekta hiyo ili kutukwamua hapa tulipo. Ni ushauri tu.

They fled Ethiopia amid war and privation. An economic boom is bringing them home.
diaspora kama mzee mwanakijiji hana faida yoyote eti anawaponda ukawa ateuliwe kuwa DC
 
Mkuu nimwonee wivu mtu anayeosha vyombo vya mzungu?

Nimwonee wivu mtu anayechambisha wazee wa kizungu?

Mimi nimempa changamoto anaweza kutengeneza pesa nzuri zaidi ya hiyo tena kwa kufanya shughuli yenye heshima ya uzalishaji huku ukiwa nyumbani unaishi kwa amani.

Mimi nimesoma huko so sioni kwa nini mnapenda kudanganya watu ilihali msoto wa huko unawazeesha hamna kitu. Kama ni maghorofa, malls, clubs nk hizo ni za wazungu kwenu ni huku kwenye vumbi na hela ipo nyingi sana huku. Heshima ya diaspora imepotea sababu mtu anategemea wa diaspora atakuwa ana maisha mazuri ila mkirudi mnaonekana mnajitutumua pesa hamna mmebakiza kujitambia kingereza na majina ya perfume, designers na mitaa ya ughaibuni.

Mie nimesoma huko pia na sasa niko hapa bongo acha kabisa kudanganya watu banaa, maisha ya bongo ni magumu mno kama humjui mtu na huna connection yoyote eti kusema utatoka tu kirahisi..its who knows who life. Bila ya kushikwa na mtu aliyeko kwenye nafasi bongo ni shida hata uwe na ma degree yako.Acha watoto wa wakulima wakatusue nao wakaisome ramani ughaibuni kama wewe una Godfather na umetusua kivyako hii nchi ina watu zaidi ya milioni 50 banaa.
 
Bongo huitaji kumjua mtu hasa enzi hizi za Awamu ya Tano na ndio maana Diaspora tunajitokeza kindakindaki ili kuungana na Watanzania wenzetu kuifanya Tanzania iwe ya VIWANDA.
 
Naamini uzoefu wetu sisi Diaspora na wenzetu nyumbani al-maarufu "Wala Vumbi" utatuvusha na kuelekea uchumi wa viwanda. India, Vietnam, Korea wamefanikiwa sana kuwatumia Diaspora kuendeleza viwanda vyao leo hii india inazalisha Magari "TATA", madawa ya binadamu & huduma-post modern za afya. Yote haya ni mazao ya Diaspora!
 
Mkuu nimwonee wivu mtu anayeosha vyombo vya mzungu?

Nimwonee wivu mtu anayechambisha wazee wa kizungu?

Mimi nimempa changamoto anaweza kutengeneza pesa nzuri zaidi ya hiyo tena kwa kufanya shughuli yenye heshima ya uzalishaji huku ukiwa nyumbani unaishi kwa amani.

Mimi nimesoma huko so sioni kwa nini mnapenda kudanganya watu ilihali msoto wa huko unawazeesha hamna kitu. Kama ni maghorofa, malls, clubs nk hizo ni za wazungu kwenu ni huku kwenye vumbi na hela ipo nyingi sana huku. Heshima ya diaspora imepotea sababu mtu anategemea wa diaspora atakuwa ana maisha mazuri ila mkirudi mnaonekana mnajitutumua pesa hamna mmebakiza kujitambia kingereza na majina ya perfume, designers na mitaa ya ughaibuni.

Wewe jamaa una hasira na Ulaya ama ulirudishwa au uliamua kurudi wenyewe.

Uliletwa Ulaya kusoma na ulipomaliza masomo ukarudi bongo, hivyo hatuwezi kubishana sana maana hujapiga mzigo Ulaya.

Unaongea kutokana na ulivyosikiasikia tu juujuu.
 
So who do you think will remove ccm regime if your not among the changers.
keep on waiting man... we gonna do it for you…!! u just stay there and relax okey…?
thanks Bro it's kind of u to make way for me to heavily invest
 
Kwani nani kakukataza kuleta vipesa vyako ukawekeza ? Hacha misifaa huna kitu
ngoja niattach financial statement yang humu....anyways acha nikupotezee tu usije ukaanguka na presha
 
Investors always look opportunities to invest na sio kusubir kuambiwa et njoo uwekeze kwenye hiki au kile. Mngekua na hizo millions of pounds tungewaona tu
 
Mkuu njoo bongo tulime vitunguu, mpunga na kusindika asali uku tunafuga kuku tunasupply maisha ya kiume na pesa ipo ya kutosha . Acha maisha ya kitumwa wewe ni binadamu mwenye thamani.

Wenzako kina Kiranga wameshakata tamaa wameamua ata wakifa miili ichomwe kuepuka gharama za kusafirisha maisha ya ughaibuni ni utumwa.
Una hakika na unayosema au unabwabwaja tu?
 
hii ya vyombo siku ya kwanza ukionyesha ujuzi wa kupindua sahani NA mabakuli kwa kasi ya sahani nne kwa dakika moja unapewa permanent job hapohapo NA unakuwa NA uhakika wa shifs

Kaka hiyo kazi siwezi Sema siwezi fanya lakin kwa sasa naona kama siyo kazi labda kwa watu wanaotoka mikoani,hizi ndo kazi zao....
 
Kuna madish washer kaka, wewe ni kutumbukiza tu vyombo sio ile kuosha kibongo kibongo, tena madish washer ya mahotelini ni heavy duties wewe ni kuweka na kutoa tu, sio kama vile unaosha kibongo bongo!!

Unataka kuniambia kama zile machine za kuosha vyombo au??acha uongo aisee,watu wanaosha kabisaaaaaa vyombo,nimejionea kwa macho yangu
 
Kwa hela zipi? hizo za kutawaza wazee na kufagia barabara miksa kuosha vyombo hahaha...
 
Kaka hiyo kazi siwezi Sema siwezi fanya lakin kwa sasa naona kama siyo kazi labda kwa watu wanaotoka mikoani,hizi ndo kazi zao....

Upo sawa kabisa hizi kazi ni za hao wageni wa kutokanchi jirani.
 
mnatumbuliwa huko hizo hela mtapata wap? Ridhiken na vipato vyen. Mnatupiga mizinga kishenz kwenye whatsap na fb maamae. Boksi inalipa kuliko bongo maamae
mimi ni mla vumbi (kama ulivyo sema) lakini 2025 ntanunua nyumba hapa safari city Arusha! kama itakua imeshakamillika wewe endelea kubeba boksi....kha!
 
Back
Top Bottom