Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,092
- 136,654
Jiulize kitu kimoja huyu mange anavyopenda kujionyesha akila burger tu atapost leo hii awe na nyumba ya $1m aache kuionyesha? hata kama iko kwenye matengenezo asiionyeshe huyu mwanamke si mzima nawaambia. Hana cha nyumba wala ushuzi anapanga kiapartment cha uswahilini na ndio maana hawezi onyesha picha za anapoishi.. Mtasubiri hiyo nyumba mpaka mwisho wa dunia bytheway nyumba ya $1m LA ni nyumba chovu sana kwa watu tunaoishi marekani na kuwa LA mara kwa mara tunajua nyumba nzuri LA unapata kuanzia $5m na hiyo ya kawaida maskini anaita wenzake maskini wakati yeye hapa ndio anaonekana maskini mpuuzi sana huyu mtu
Na nyumba ya milioni moja Marekani ni ya kutambia? Really?
Na kwa mtu anayejua uchumi hawezi kununua kijumba cha dola milioni moja L.A.
Hupati value for money hapo kwa sababu unacholipia ni jina na/ au eneo lakini si property yenyewe kiuhalisia.
Dumb wasteful spending.