Diaspora hawapendani

Diaspora hawapendani

we unakubaliana na hiyo sheria ya shut up law,ukubali ukatae lowasa SI msafi hata kama akipita uraisi maana anautaka kwa nguvu zotee

Kwa iyo ndo anaipinga kwa chuki na majungu kwa kushirikiana na team ya vigodoro ya Wema?
Yani the way anavofikisha fikra zake kwa chuki na uhasama ndipo anapohariiiibu.
Kafyata taaa! ***** chezea kyombo kya dollar?
 
Kwa iyo ndo anaipinga kwa chuki na majungu kwa kushirikiana na team ya vigodoro ya Wema?
Yani the way anavofikisha fikra zake kwa chuki na uhasama ndipo anapohariiiibu.
Kafyata taaa! ***** chezea kyombo kya dollar?

mnafki tu yule hana lolote
kapewa kubwa kaufyata..
yy achezee hao hao kina shamimi na linda maana hata mwamvita hamgusiii
km anaweza amchafua mwamvita tuone...
ye si jembee...!
 
Huwezi kushindana na sauti ya Mungu.
Tulia unyolewe.
Katumia mwanya huo kuwa attack personalities zao na kuruhusu comments za kuwachafua hao kina Makamba.
Akati analalwa na Makamba hakuona kuwa hafai.?
Pyeee


mbona unaqoute Mara mbili mbili khaaa,mi hayo mengine sijaulizaa
 
Huwezi kushindana na sauti ya Mungu.
Tulia unyolewe.
Katumia mwanya huo kuwa attack personalities zao na kuruhusu comments za kuwachafua hao kina Makamba.
Akati analalwa na Makamba hakuona kuwa hafai.?
Pyeee


nani mwenye sauti ya Mungu?
 
Saa izi analia lia kwenye kiblog chake.
Fans wake wamemchamba na kumtukana.Alijifanya kaivalia njuga CCm na Lowassa.
Alizani siasa ni ule utumbo na mataptap yake ya chooni ambayo huwa anajimwaya mwaya nayo mbele ya rafiki anony.
Limemshuka shuuuu

Limemshuka hasa, sasa anaomba kina anony na mawaziri wake wasimtukane, anachekesha huyu eti kuna comment sijaziachia kwa sababu ya matusi, sasa matusi katukanwa yeye ujumbe ameupata anayaficha wakati ni yake? acheze na kina sintah si LOWASA hawa hawawezi wawe wachafu au wasafi aache wafanye yao na lowasa kasema asomtaka aondoke yeye ccm.
 
Huwezi kushindana na sauti ya Mungu.
Tulia unyolewe.
Katumia mwanya huo kuwa attack personalities zao na kuruhusu comments za kuwachafua hao kina Makamba.
Akati analalwa na Makamba hakuona kuwa hafai.?
Pyeee

Kumbe na yeye kapitiwa na Makamba eeh roho inamuuma kweli kila siku badala ya kutoa hoja kila siku anamwimba huyo mkaka. Aendelee kumuongelea huyo Lowasa ka anajiamini.
 
Kumbe na yeye kapitiwa na Makamba eeh roho inamuuma kweli kila siku badala ya kutoa hoja kila siku anamwimba huyo mkaka. Aendelee kumuongelea huyo Lowasa ka anajiamini.

Ubuyu ndo huo...
 
Mange mjuaji sana,
Siasa yeye,
Urembo yeye,
Uaguzi wa nani anaoua albino yeye,
Biashara yeye,
Familia na malezi yeye...
Kaaah!
 
Mange ana fake IDs kuliko watanzania wote, maana ni mpekuzi hakunaga na lazima na leo ameongeza kama kawaida

Hadi anajisahau hata alitetea mtoto wake na fake ID.

Huko kwenye blog yake ndio basi tena sijui mawaziri wangapi ni yeye

Maana anataka kuchangamsha genge lake.

Hahahaaa eti ana ID nyingi kuliko mtanzania yeyote! Nimechekaje? Huko kwenye kijiblogu chake kuna baadhi ya comments huwa haziachii ndo maana tunaona nyingi ni zile zinazomsifia tu! Mi siwezi kumzoea Mange hata kidogo kila leo naona anazidi kupata stress hajawahi kupata relief.
 
Hana mbele wala nyuma sijui hata analalaje usiku mwanamke kila siku unagombana na mtu! hivi kuna mtu hapa Tz ana maadui kama Mange?
Hakuna na tusipomrekebisha kwenye hii mitandao ya kijamii walah atajatuletea vita na nchi jirani yule, hivi anavyomchamba zari ukute nae anamisukule yake kule uganda na akili ziwe zimefanana na mange si ingekuwa tabu mbeleni, maana vita zote ni chokochoko ndogo mwisho majanga.
 
Dear Mange Kimambi........................

Welcome to Atlanta where the playas play......
And we ride on them things like every day...........
Big beats, hit streets, see gangsta's roamin'.........
And parties dont stop til' eight in the mornin'.........

Wazungu tupa kuleeeeee!!!!! How do u feel uko america kama hukutani na black americans ?? Thats the real american feel not white folks hao tushawaona sana bongo! Huyu mange simply ni mshamba.! Lol....
Hao celebrities wa LA kibao wana homes in Atlanta..
 
Back
Top Bottom