Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,084
- 136,575
Hahahaaaa, wema msomi anaongea kizungu hiyo ndio elimu kwa mange, shahada ya kwanza kachukua mlimani ya pili dubai akiwa tayari muke ya muzungu, nimesahau kasoma sekondari zimbabwe wakati ikwa zimbabwe kweli kabla mugabe hajaiharibu haaaaaahaa kwa mujibu wa mange, du ni shiiiider.
Tuanze na hiyo shahada ya kwanza.
Kaichukulia Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam, kampasi ya Mlimani?
Alidahiliwa lini na alimaliza lini? Na alisomea nini hapo Mlimani?
Manake isije ikawa alikuwa anasoma kwenye hivyo vyuo vinavyotoa shahada kama njugu na kutumia madarasa ya Mlimani kufundishia halafu wanafunzi wake kitaa wanazuga kama kuwa ni wanafunzi wa UDSM.