Huyu mshenzi namna alivyo na dharau anazozionyesha kwa kada mbalimbali toka USA mpaka TANZANIA kama kangekuwa chakula basi weka mbilimbi,au achali kabisa aina zote za pilipili kuanzia mbuzi,kichaa,manga na ndimu zote bila kusahau limao ili kuleta ladha ya chakula bado chakula hicho nisinge kila,kila jambo zuri lipo kwake anagombana na kila mtu anajua kila kitu. Stop acting like you know everything unless your name is Google,yoyote anae jikweza mungu humkweza tizama comments za watu wengi humu wanatoa maoni yao kukuonyesha namna tabia yako ilivyo.Huo mchanyato wako wa kuponda toka Atlanta mpaka shinyanga umejua kudharau watu na mungu nae ana sababu zake ungepewa kingi weye sijui ingekuwa mwisho kwa nia njema jua midomo ya watu si mizuri.