Diamondplatnumz anatakiwa atunukiwe PhD ya Heshima kwa kuipa Bongo Flavour heshima

Mayunga234

JF-Expert Member
Feb 17, 2017
1,725
1,990
Diamondplatnumz atunukiwe PhD ya Heshima kwa kuipa bongo fleva Heshima ndani ya nchi na nje ya nchi

Bongo fleva imefahamika Africa nzima kupitia Diamondplatnumz tofauti ya miaka ya nyuma Msani anahit tanzania na Kenya ila kwa sababu Msanii anatoka Nigeria anakuja bongo kufanya collabo tofauti na miaka ya nyuma hii yote ni kutokana na Diamondplatnumz kuwakilisha vizuri bongo fleva nje ya tanzania

Diamondplatnumz kaipa heshima sana Tanzania katika top artist Africa basi namba mbili anatokea Tanzania hili ni jambo la heshima sana bendera yetu ikiwa top

Nimeandika machache ila huu jamaa ana mengi sana aliyoifanyia Bongo fleva hadi leo hii ina heshimika na kila mtu

Diamondplatnumz atunukiwa PhD ya Heshima kwa kuheshimisha Nchi na Bongo fleva kiujumla
20211222_232320.jpg
 
Diamondplatnumz atunukiwe PhD ya Heshima kwa kuipa bongo fleva Heshima ndani ya nchi na nje ya nchi
Bongo fleva imefahamika Africa nzima kupitia Diamondplatnumz tofauti ya miaka ya nyuma Msani anahit tanzania na Kenya ila kwa sababu Msanii anatoka Nigeria anakuja bongo kufanya collabo tofauti na miaka ya nyuma hii yote ni kutokana na Diamondplatnumz kuwakilisha vizuri bongo fleva nje ya tanzania,
Diamondplatnumz kaipa heshima sana Tanzania katika top artist Africa basi namba mbili anatokea Tanzania hili ni jambo la heshima sana bendera yetu ikiwa top

Nimeandika machache ila huu jamaa ana mengi sana aliyoifanyia Bongo fleva hadi leo hii ina heshimika na kila mtu

Diamondplatnumz atunukiwa PhD ya Heshima kwa kuheshimisha Nchi na Bongo fleva kiujumla View attachment 2053941
Wabunge watwangana makonde Ghana, kisa tozo kwenye miamala ya simu

Vurugu zimetokea ndani ya ukumbi wa Bunge la Ghana wakati wa mjadala kuhusu pendekezo la serikali la kuweka tozo kwenye miamala ya kielektroniki.

Wabunge hao wamefikia hatua ya kushikana mashati, kusukumana, kurushiana ngumi na viti wakati wengine wakiwa waamuzi wa ugomviu huo.

Ugomvi ulianza baada ya wabunge wa upinzani kukimbilia mbele na kumzuia Naibu Spika, Joseph Osei Owusu kutoka kwenye kiti chake kwenda kupiga kura. Kufuatia vurugu hizo, alilazimika kuahirisha kikao hicho kutokana na kukiukwa kwa taratibu.

Chama cha upinzania, National Democratic Congress (NDC) kinapinga pendekezo la tozo ya asilimia 1.75 kwenye miamala ya kielektroniki ambayo pia inajumuisha miamala kwa njia ya simu.

Wanapinga uamuzi huo kwamba utawagharimu watu wa kipato cha chini na watu walio nje ya mfumo rasmi wa kibenki.

Hata hivyo, Waziri wa Fedha, Ken Ofori-Artta amesema ni muhimu kupanua vyanzo vya mapato na kwamba mpango huo utaweza kuipatia serikali TZS trilioni 2.6 mwaka ujao.

Vurugu zimekuwa sehemu ya bunge la nchi hiyo ambapo mapema Januari mwaka huu wanajeshi walilazimika kuingia ndani ya Bunge kumaliza vurugu wakati wa uchaguzi wa spika.

Baadhi ya raia nchini humo wamekosoa vurugu hizo na kusema kuwa wabunge wao wanatakiwa kuwa watu wakuigwa, na sio kutenda mambo kwa namna isiyofaa.
 
Wabunge watwangana makonde Ghana, kisa tozo kwenye miamala ya simu

Vurugu zimetokea ndani ya ukumbi wa Bunge la Ghana wakati wa mjadala kuhusu pendekezo la serikali la kuweka tozo kwenye miamala ya kielektroniki.

Wabunge hao wamefikia hatua ya kushikana mashati, kusukumana, kurushiana ngumi na viti wakati wengine wakiwa waamuzi wa ugomviu huo.

Ugomvi ulianza baada ya wabunge wa upinzani kukimbilia mbele na kumzuia Naibu Spika, Joseph Osei Owusu kutoka kwenye kiti chake kwenda kupiga kura. Kufuatia vurugu hizo, alilazimika kuahirisha kikao hicho kutokana na kukiukwa kwa taratibu.

Chama cha upinzania, National Democratic Congress (NDC) kinapinga pendekezo la tozo ya asilimia 1.75 kwenye miamala ya kielektroniki ambayo pia inajumuisha miamala kwa njia ya simu.

Wanapinga uamuzi huo kwamba utawagharimu watu wa kipato cha chini na watu walio nje ya mfumo rasmi wa kibenki.

Hata hivyo, Waziri wa Fedha, Ken Ofori-Artta amesema ni muhimu kupanua vyanzo vya mapato na kwamba mpango huo utaweza kuipatia serikali TZS trilioni 2.6 mwaka ujao.

Vurugu zimekuwa sehemu ya bunge la nchi hiyo ambapo mapema Januari mwaka huu wanajeshi walilazimika kuingia ndani ya Bunge kumaliza vurugu wakati wa uchaguzi wa spika.

Baadhi ya raia nchini humo wamekosoa vurugu hizo na kusema kuwa wabunge wao wanatakiwa kuwa watu wakuigwa, na sio kutenda mambo kwa namna isiyofaa.
Ndo nini
 
Wabunge watwangana makonde Ghana, kisa tozo kwenye miamala ya simu

Vurugu zimetokea ndani ya ukumbi wa Bunge la Ghana wakati wa mjadala kuhusu pendekezo la serikali la kuweka tozo kwenye miamala ya kielektroniki.

Wabunge hao wamefikia hatua ya kushikana mashati, kusukumana, kurushiana ngumi na viti wakati wengine wakiwa waamuzi wa ugomviu huo.

Ugomvi ulianza baada ya wabunge wa upinzani kukimbilia mbele na kumzuia Naibu Spika, Joseph Osei Owusu kutoka kwenye kiti chake kwenda kupiga kura. Kufuatia vurugu hizo, alilazimika kuahirisha kikao hicho kutokana na kukiukwa kwa taratibu.

Chama cha upinzania, National Democratic Congress (NDC) kinapinga pendekezo la tozo ya asilimia 1.75 kwenye miamala ya kielektroniki ambayo pia inajumuisha miamala kwa njia ya simu.

Wanapinga uamuzi huo kwamba utawagharimu watu wa kipato cha chini na watu walio nje ya mfumo rasmi wa kibenki.

Hata hivyo, Waziri wa Fedha, Ken Ofori-Artta amesema ni muhimu kupanua vyanzo vya mapato na kwamba mpango huo utaweza kuipatia serikali TZS trilioni 2.6 mwaka ujao.

Vurugu zimekuwa sehemu ya bunge la nchi hiyo ambapo mapema Januari mwaka huu wanajeshi walilazimika kuingia ndani ya Bunge kumaliza vurugu wakati wa uchaguzi wa spika.

Baadhi ya raia nchini humo wamekosoa vurugu hizo na kusema kuwa wabunge wao wanatakiwa kuwa watu wakuigwa, na sio kutenda mambo kwa namna isiyofaa.
Mbona Ghana mara Tshs tena? Huku uzi ni wa Platunumz yaani ni Pilau ongeza mlenda jumlisha bigijii
 
Diamondplatnumz atunukiwe PhD ya Heshima kwa kuipa bongo fleva Heshima ndani ya nchi na nje ya nchi
Bongo fleva imefahamika Africa nzima kupitia Diamondplatnumz tofauti ya miaka ya nyuma Msani anahit tanzania na Kenya ila kwa sababu Msanii anatoka Nigeria anakuja bongo kufanya collabo tofauti na miaka ya nyuma hii yote ni kutokana na Diamondplatnumz kuwakilisha vizuri bongo fleva nje ya tanzania,
Diamondplatnumz kaipa heshima sana Tanzania katika top artist Africa basi namba mbili anatokea Tanzania hili ni jambo la heshima sana bendera yetu ikiwa top

Nimeandika machache ila huu jamaa ana mengi sana aliyoifanyia Bongo fleva hadi leo hii ina heshimika na kila mtu

Diamondplatnumz atunukiwa PhD ya Heshima kwa kuheshimisha Nchi na Bongo fleva kiujumla View attachment 2053941
Huyu NI mdau mkubwa wa umaaluuni. Kwenye zigo remix anaongelea kumuingilia msichana kinyume na maumbile
 
Diamondplatnumz atunukiwe PhD ya Heshima kwa kuipa bongo fleva Heshima ndani ya nchi na nje ya nchi
Bongo fleva imefahamika Africa nzima kupitia Diamondplatnumz tofauti ya miaka ya nyuma Msani anahit tanzania na Kenya ila kwa sababu Msanii anatoka Nigeria anakuja bongo kufanya collabo tofauti na miaka ya nyuma hii yote ni kutokana na Diamondplatnumz kuwakilisha vizuri bongo fleva nje ya tanzania,
Diamondplatnumz kaipa heshima sana Tanzania katika top artist Africa basi namba mbili anatokea Tanzania hili ni jambo la heshima sana bendera yetu ikiwa top

Nimeandika machache ila huu jamaa ana mengi sana aliyoifanyia Bongo fleva hadi leo hii ina heshimika na kila mtu

Diamondplatnumz atunukiwa PhD ya Heshima kwa kuheshimisha Nchi na Bongo fleva kiujumla View attachment 2053941
Diamondplatnumz kaipa heshima sana Tanzania katika top artist Africa basi namba mbili anatokea Tanzania hili ni jambo la heshima sana bendera yetu ikiwa top

Nimeandika machache ila huu jamaa ana mengi sana aliyoifanyia Bongo fleva hadi leo hii ina heshimika na kila mtu

Diamondplatnumz atunukiwa PhD ya Heshima kwa kuheshimisha Nchi na Bongo fleva kiujumla
 
Semeni mapinduzi ta teknolojia ndio yaliyochangia kuufanya muziki wetu usikike huko nje. Bahati nzuri huyo msanii alianza kuwika enzi ambazo tayari teknolojia ilikua imeshakua.

Ni ujinga na upumbavu kuamini kwamba eti yeye ndiye aliyeutambulisha muziki wetu
Utakuwa una chuki bure tu, mapinduzi ya teknolojia bila jitihada za mtu mmoja mmoja na wadau yangeufikisha wapi muziki? Teknolojia sanasana imebadilisha tu namna ya uandaaji, utengenezaji na uwasilishaji wa kazi zao.
Ni upuuzi kujaribu kutenganisha jitihada za mtu na mafanikio yanayoonekana waziwazi
 
Semeni mapinduzi ta teknolojia ndio yaliyochangia kuufanya muziki wetu usikike huko nje. Bahati nzuri huyo msanii alianza kuwika enzi ambazo tayari teknolojia ilikua imeshakua.

Ni ujinga na upumbavu kuamini kwamba eti yeye ndiye aliyeutambulisha muziki wetu
Hao wengine vipi mapinduzi ya tekinolojia hayakuwafeva? Yakamchagua diamond pekee tu!
 
Back
Top Bottom