Diamond Ushakosa Tuzo, Jua Nafasi yako. Achana na Washamba

Hiyo jamii unayoisema hapa ndio iache ULIMBUKENI,

Kitu chochote kibaya unataka kirembwe rembwe.

Kitu kibaya siku zote kinakashifiwa.

Vijana wa siku hizi ndio mmezoea mambo ya kipuuzi, ufanye kitu kibaya alafu usikashifiwe, ajabu Sana hii.

Nashukuru Kwa mtazamo wako.
Wewe unajuaje kua mimi ni kijana kama unavyodai?
Mods wanatakiwa wafute hii thd ya hovyo kabisa.
 
Nyie watu mnamuandama sana huyu kijana, aandamane na fikra zenu. Kwani hajaingia kwenye siasa, si kaingia na kachagua upande anaotaka.

Hata marekani kipindi cha vuguvugu la uchaguzi wasanii wengi walichagua pande zao, weusi wengi walimpinga trump lakini wapo baadhi yao waliomuunga mkono pia, haijarishi ni upande mbaya kwako ama ni mzuri kwa maono yake kaona hivyo.

Jamii imegawanyika mkuu, tukio moja linaweza kuonekana tofauti kwenye macho ya kila mtu eidha kutokana na uelewa au matakwa ya mtu binafsi. Kwahiyo huwezi kuiridhisha jamii yote. Nikupe mfano Ney wa mitego nae anaimbaga sana nyimbo uzipendazo(za kiharakati) angalia mapokeo ya nyimbo izo kwenye jamii, sia ajabu hata wewe huzifatilii na ile ni biashara so inabidi nae amix kidogo apate chochote.
Hiki kipigo anachokula Mtandale ni kama Surviving R Kelly 😂😂😂
 
Mleta mada unaonekana wewe ni mjuaji wa kila kitu,haya tuambie wewe umelifanyia nini taifa au jamii iliyokuzunguka,au wewe ni mtaalamu wa maandishi tuu?

Naona unawakejeli watu kua kununua sijui simu wanaona wao ni kutusua maisha,mara kununua tv sio kutusua! nini maana ya kutusua kwa tafsiri yako? kama mtu alijiwekea malengo ya kununua kitu fulani na akafanikiwa kukinunua kwanini asione hayo ni mafanikio kwake? mafanikio ni safari isiyo na mwisho,

Uandishi wako umejaa chuki za kijinga dhidi ya jamii iliyokuzunguka,unayo nafasi ya kurekebisha uandishi wako,unamshauri Diamond huku nawe upo kwenye giza totoro!
Hahahahahah hii mbwa kala mbwa
 
ROBERT HERIEL tafakari tena ulichoandika.

Jamii ipo kwenye muelekeo sahihi kuamini Maandiko unayoyaandika hapa. Hasa yale fikirishi.

Lakini, unapoanza kuwatusi, kuwatukana, kuwakejeli, kuwadharau, kuwasimanga na kuwaona si lolote watu wenye mtazamo tofauti na mtu mmoja hakika unajitia aibu sana.

Najua kweli njaa inauma na haina baunsa, lakini kujipendekeza kwa namna ya matusi kwa wengine ni ushamba na ulimbukeni uliopita kiwango.

Mambo haya waachie wanazi wa CCM na CDM, Yanga na Simba
 
ROBERT HERIEL tafakari tena ulichoandika.

Jamii ipo kwenye muelekeo sahihi kuamini Maandiko unayoyaandika hapa. Hasa yale fikirishi.

Lakini, unapoanza kuwatusi, kuwatukana, kuwakejeli, kuwadharau, kuwasimanga na kuwaona si lolote watu wenye mtazamo tofauti na mtu mmoja hakika unajitia aibu sana.

Najua kweli njaa inauma na haina baunsa, lakini kujipendekeza kwa namna ya matusi kwa wengine ni ushamba na ulimbukeni uliopita kiwango.

Karibu Mkuu.

Ukweli ndivyo ulivyo.
 
Karibu Mkuu.

Ukweli ndivyo ulivyo.
Ipo siku unanikumbuka.

Kwa sasa nafuta chochote kichwani (unlearn) nilichojifunza kwenye juzi zako zote fikirishi.

Na kuanzia leo naku unfollow, my worry is unaweza kunijazia takataka kichwani mwangu kwa maandishi.

Imagine mm ni CCM damu na Mond ni CCM maslahi lkn sikubaliani namna ulivyowa treat wapinzani wangu (wanaharakati)
 
DIAMOND ACHANA NA WASHAMBA/MALIMBUKENI. TAMBUA NAFASI YAKO.

Na, Robert Heriel

Kitu ambacho kinakwamisha Watanzania tuliowengi ni USHAMBA/ULIMBUKENI.

Ulimbukeni ni like kitendo cha mtu kupata kitu Kwa kizuri au cha thamani Kwa mara ya kwanza, kitu kile kikamfanya atende kinyume na desturi na maadili yanayomzunguka mtu huyo.

Kwa Kiswahili cha kisasa neno Limbukeni ni USHAMBA.

Watanzania wengi ni MALIMBUKENI.
Wengi hatuna Exposure ya mambo yalivyo.

Tuna ulimbukeni karibu kwenye kila Nyanja za maisha.

Yapo malimbukeni ya Madaraka, unakuta jitu likipata uongozi tuu linafanya mambo ya hovyo kabisa. Tumeshayaona hayo malimbukeni, Washamba wa Madaraka.

Wapo Malimbukeni wa Michezo Kama mpira, hayo tumeyaona hata kwenye mashindano ya Club bingwa.
Maneno mengi uwezo mdogo, sifa moja wapo ya Limbukeni au mshamba utaiona kwenye maneno.
Limbukeni hujiinua zaidi kwenye mdomo kuliko vitendo.

Yapo malimbukeni wa Muziki na Umaarufu, haya mengi tunayaona kwa hawa Wasanii WA muziki na maigizo.
Kwa vile mtu hajawahi kuwa Maarufu haya alipokuwa shuleni basi akiwa mkubwa akiwa Maarufu sio ajabu akafanya mambo ya ajabu.

Sio ajabu jitu kuonyesha uchi wake mitandaoni, huo ndio ushamba WA umaarufu, sio ajabu mtu kuvujisha video za uchi au akinyonya denda akiwa anajirekodi. Huo ni Ulimbukeni.

Yapo Malimbukeni ya Fasheni, hawa wengi wao ni Wale waliotoka kijijini kwenda mjini, au waliotoka Tanzania wakaenda ng'ambo huko Ughaibuni.
Hawa wanajikuta wakitoboa masikio na pua ilhali wao ni wanaume.
Wengine wakitoa Marinda Kama Fasheni.

Diamond ni Msanii wa kawaida Kwa wanaoijua Dunia. Ila hapa Nchini ni Msanii Mkubwa.
Diamond ili awe Msanii Mkubwa Duniani lazima aache Ulimbukeni na ushamba.

Asifuate maneno ya Malimbukeni na Washamba ambao Kwa hapa TANZANIA ni zaidi ya 80% ambao ni Washamba.

Ogopa kushabikiwa au kufuata maneno ya watu ambao wanaona kuwa na simu Janja kamaiPhone ndio ujanja.

Ogopa kuwasikiliza watu wanaoona kuwa na Ghetto lenye Flat screen ya inchi 32 ndio kutusua maisha.

Ogopa kushabikiwa na kusikiliza maneno ya washabiki ambao kuwa na Gari ndio kutusua maisha.

Ogopa kushabikiwa na Mashabiki ambao hawataki kununua kazi zako Kwa njia Halali isipokuwa wanaenda Kuburn CD au kurushiwa kwenye muziki library ambazo hazijasajiliwa.

Ukitaka ujue Watanzania wengi ni Limbukeni ni siku uonekane kwenye TV utashangaa ndugu zako na marafiki watakavyokupigia simu na kukusifu.

Ulimbukeni unaitesa nchi hii karibu kwenye kila Nyanja za maisha.
Kiongozi akijenga Ka-Flyover utaona atakavyopiga kelele. Ulimbukeni mtupu!

Limbukeni hatajuagi nafasi zao ndani ya jamii.

DIamond huenda alikuwa hana interest za kutetea Haki za watu ndani ya jamii lakini Nafasi aliyonayo kimuziki ndani ya nchi unanilazimisha kutetea Haki za jamii Apende asipende.

Sasa unakuta jitu Limbukeni linakuambia sio lazima Diamond ajiingize kwenye mambo ya Siasa na uanaharakati hapo ndio unajua mtu huyo Hana Uelewa wowote wa jinsi Dunia inavyoenda.

Mtu unaweza usiwe na interest ya mambo ya Siasa lakini Nafasi yako ndani ya jamii ikakulazimisha kuingia huko.

DIamond wewe ni Msanii Mkubwa hapa Afrika Mashariki, bado unatakiwa ujitahidi uwe Msanii Mkubwa Afrika, ndipo uende Duniani.

Diamond ulichofanikiwa ni katika Propaganda Kwa Limbukeni wa TANZANIA kuwaaminisha kuwa wewe ni Msanii Mkubwa Duniani nao wanaamini hivyo.

Lakini unaowaaminisha ni watu ambao hata hawajui Duniani ni wapi licha ya kuwa wanaishi sehemu ya Dunia.

Hata hivyo sitaacha kukupongeza Kwa hatua uliyoipiga kimuziki kwani sio haba. Ila zingatia kuwa bado unasafari ndefu kuwa Msanii Mkubwa wa Afrika na hatimaye Msanii wa Dunia.

Ulimbukeni ndio kikwazo kikubwa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Mvomero, Morogoro
Yaani atunanange kwenye kampeni halafu tusikitike yeye kukosa tuzo
apambane na hali yake
 
DIAMOND ACHANA NA WASHAMBA/MALIMBUKENI. TAMBUA NAFASI YAKO.

Na, Robert Heriel

Kitu ambacho kinakwamisha Watanzania tuliowengi ni USHAMBA/ULIMBUKENI.

Ulimbukeni ni like kitendo cha mtu kupata kitu Kwa kizuri au cha thamani Kwa mara ya kwanza, kitu kile kikamfanya atende kinyume na desturi na maadili yanayomzunguka mtu huyo.

Kwa Kiswahili cha kisasa neno Limbukeni ni USHAMBA.

Watanzania wengi ni MALIMBUKENI.
Wengi hatuna Exposure ya mambo yalivyo.

Tuna ulimbukeni karibu kwenye kila Nyanja za maisha.

Yapo malimbukeni ya Madaraka, unakuta jitu likipata uongozi tuu linafanya mambo ya hovyo kabisa. Tumeshayaona hayo malimbukeni, Washamba wa Madaraka.

Wapo Malimbukeni wa Michezo Kama mpira, hayo tumeyaona hata kwenye mashindano ya Club bingwa.
Maneno mengi uwezo mdogo, sifa moja wapo ya Limbukeni au mshamba utaiona kwenye maneno.
Limbukeni hujiinua zaidi kwenye mdomo kuliko vitendo.

Yapo malimbukeni wa Muziki na Umaarufu, haya mengi tunayaona kwa hawa Wasanii WA muziki na maigizo.
Kwa vile mtu hajawahi kuwa Maarufu haya alipokuwa shuleni basi akiwa mkubwa akiwa Maarufu sio ajabu akafanya mambo ya ajabu.

Sio ajabu jitu kuonyesha uchi wake mitandaoni, huo ndio ushamba WA umaarufu, sio ajabu mtu kuvujisha video za uchi au akinyonya denda akiwa anajirekodi. Huo ni Ulimbukeni.

Yapo Malimbukeni ya Fasheni, hawa wengi wao ni Wale waliotoka kijijini kwenda mjini, au waliotoka Tanzania wakaenda ng'ambo huko Ughaibuni.
Hawa wanajikuta wakitoboa masikio na pua ilhali wao ni wanaume.
Wengine wakitoa Marinda Kama Fasheni.

Diamond ni Msanii wa kawaida Kwa wanaoijua Dunia. Ila hapa Nchini ni Msanii Mkubwa.
Diamond ili awe Msanii Mkubwa Duniani lazima aache Ulimbukeni na ushamba.

Asifuate maneno ya Malimbukeni na Washamba ambao Kwa hapa TANZANIA ni zaidi ya 80% ambao ni Washamba.

Ogopa kushabikiwa au kufuata maneno ya watu ambao wanaona kuwa na simu Janja kamaiPhone ndio ujanja.

Ogopa kuwasikiliza watu wanaoona kuwa na Ghetto lenye Flat screen ya inchi 32 ndio kutusua maisha.

Ogopa kushabikiwa na kusikiliza maneno ya washabiki ambao kuwa na Gari ndio kutusua maisha.

Ogopa kushabikiwa na Mashabiki ambao hawataki kununua kazi zako Kwa njia Halali isipokuwa wanaenda Kuburn CD au kurushiwa kwenye muziki library ambazo hazijasajiliwa.

Ukitaka ujue Watanzania wengi ni Limbukeni ni siku uonekane kwenye TV utashangaa ndugu zako na marafiki watakavyokupigia simu na kukusifu.

Ulimbukeni unaitesa nchi hii karibu kwenye kila Nyanja za maisha.
Kiongozi akijenga Ka-Flyover utaona atakavyopiga kelele. Ulimbukeni mtupu!

Limbukeni hatajuagi nafasi zao ndani ya jamii.

DIamond huenda alikuwa hana interest za kutetea Haki za watu ndani ya jamii lakini Nafasi aliyonayo kimuziki ndani ya nchi unanilazimisha kutetea Haki za jamii Apende asipende.

Sasa unakuta jitu Limbukeni linakuambia sio lazima Diamond ajiingize kwenye mambo ya Siasa na uanaharakati hapo ndio unajua mtu huyo Hana Uelewa wowote wa jinsi Dunia inavyoenda.

Mtu unaweza usiwe na interest ya mambo ya Siasa lakini Nafasi yako ndani ya jamii ikakulazimisha kuingia huko.

DIamond wewe ni Msanii Mkubwa hapa Afrika Mashariki, bado unatakiwa ujitahidi uwe Msanii Mkubwa Afrika, ndipo uende Duniani.

Diamond ulichofanikiwa ni katika Propaganda Kwa Limbukeni wa TANZANIA kuwaaminisha kuwa wewe ni Msanii Mkubwa Duniani nao wanaamini hivyo.

Lakini unaowaaminisha ni watu ambao hata hawajui Duniani ni wapi licha ya kuwa wanaishi sehemu ya Dunia.

Hata hivyo sitaacha kukupongeza Kwa hatua uliyoipiga kimuziki kwani sio haba. Ila zingatia kuwa bado unasafari ndefu kuwa Msanii Mkubwa wa Afrika na hatimaye Msanii wa Dunia.

Ulimbukeni ndio kikwazo kikubwa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Mvomero, Morogoro
Hapa mshamba na limbukeni ni Diamond, unamsaidiaje sasa?
 
Mkuu sometyme unapost utumbo kinyama boss, unatakiwa uiangalie rank ya Tz globally , alaf ndo uanze kumponda Diamond.

Staki kukuuliza kuwa ww umeifanyia nini tz kias cha Cha kuzikalisha nchi takriban 54 za Africa na kuingia Newyorkcity kuiwakilisha nchi , post yako hii watakushabikia watu wasiojielewa tuu na wasio na maono haters na loosers , huenda we Una degree yako na ni kweli Diamond kaishia sjui form two sjui form four na hata managers wake hawako educated lakin wameweza kushine na kuifikisha WCB among of the powerful music label in Africa ,

Kwa vipaji vyao wamefanya walichoweza , wewe mwanaharakat umeifanyia nn nchi kwa uanaharakati wako Mzee, tukiachana na Mbwana samata ni mtz gani Kwa Nyanja zote za vipaji kuanzia siasa, technolojia , social , michezo , uigizaji n.k anayejikokota globaly tokea kwenye nchi ambayo ipo kwenye top ten among poorest countries in the world....!!

We unamuona mshamba Ila ndo kafika hapo alipo ...!! Na imempa mileage kubwa Sana , Kwa sasa anaweza hata kumunong'oneza hata drake wafanye naye kolabo, sjui wewe hapo ni mwaharakat gan maarufu duniani unaweza fanya naye mahojiano akakuelewa....

Mawazo yako ni sahihi Kwa matazamio wako ,...!!
 
Watu tunapenda kuishi maisha ya watu duh!!!

Sijui katika taifa hili wangapi walishapata Tuzo..., Cha maana jamaa aishi anavyopenda yeye sio kufurahisha / kupendezesha watu...,

Life - Ride it until the Wheels Falls Off...., Hakuna muda wa kujutia, alipofikia tayari ni pakubwa Success sio destination hata angeshinda hizi Tuzo bado asingeziba watu midomo
 
Watu tunapenda kuishi maisha ya watu duh!!!

Sijui katika taifa hili wangapi walishapata Tuzo..., Cha maana jamaa aishi anavyopenda yeye sio kufurahisha / kupendezesha watu...,

Life - Ride it until the Wheels Falls Off...., Hakuna muda wa kujutia, alipofikia tayari ni pakubwa Success sio destination hata angeshinda hizi Tuzo bado asingeziba watu midomo

Unafikiri kuwa Public Figure ni kuwa mwenyeketi wa Familia yako Mkuu?
 
Mkuu sometyme unapost utumbo kinyama boss, unatakiwa uiangalie rank ya Tz globally , alaf ndo uanze kumponda Diamond.

Staki kukuuliza kuwa ww umeifanyia nini tz kias cha Cha kuzikalisha nchi takriban 54 za Africa na kuingia Newyorkcity kuiwakilisha nchi , post yako hii watakushabikia watu wasiojielewa tuu na wasio na maono haters na loosers , huenda we Una degree yako na ni kweli Diamond kaishia sjui form two sjui form four na hata managers wake hawako educated lakin wameweza kushine na kuifikisha WCB among of the powerful music label in Africa ,

Kwa vipaji vyao wamefanya walichoweza , wewe mwanaharakat umeifanyia nn nchi kwa uanaharakati wako Mzee, tukiachana na Mbwana samata ni mtz gani Kwa Nyanja zote za vipaji kuanzia siasa, technolojia , social , michezo , uigizaji n.k anayejikokota globaly tokea kwenye nchi ambayo ipo kwenye top ten among poorest countries in the world....!!

We unamuona mshamba Ila ndo kafika hapo alipo ...!! Na imempa mileage kubwa Sana , Kwa sasa anaweza hata kumunong'oneza hata drake wafanye naye kolabo, sjui wewe hapo ni mwaharakat gan maarufu duniani unaweza fanya naye mahojiano akakuelewa....

Mawazo yako ni sahihi Kwa matazamio wako ,...!!

Sijamponda nimemshauri
 
DIAMOND ACHANA NA WASHAMBA/MALIMBUKENI. TAMBUA NAFASI YAKO.

Na, Robert Heriel

Kitu ambacho kinakwamisha Watanzania tuliowengi ni USHAMBA/ULIMBUKENI.

Ulimbukeni ni like kitendo cha mtu kupata kitu Kwa kizuri au cha thamani Kwa mara ya kwanza, kitu kile kikamfanya atende kinyume na desturi na maadili yanayomzunguka mtu huyo.

Kwa Kiswahili cha kisasa neno Limbukeni ni USHAMBA.

Watanzania wengi ni MALIMBUKENI.
Wengi hatuna Exposure ya mambo yalivyo.

Tuna ulimbukeni karibu kwenye kila Nyanja za maisha.

Yapo malimbukeni ya Madaraka, unakuta jitu likipata uongozi tuu linafanya mambo ya hovyo kabisa. Tumeshayaona hayo malimbukeni, Washamba wa Madaraka.

Wapo Malimbukeni wa Michezo Kama mpira, hayo tumeyaona hata kwenye mashindano ya Club bingwa.
Maneno mengi uwezo mdogo, sifa moja wapo ya Limbukeni au mshamba utaiona kwenye maneno.
Limbukeni hujiinua zaidi kwenye mdomo kuliko vitendo.

Yapo malimbukeni wa Muziki na Umaarufu, haya mengi tunayaona kwa hawa Wasanii WA muziki na maigizo.
Kwa vile mtu hajawahi kuwa Maarufu haya alipokuwa shuleni basi akiwa mkubwa akiwa Maarufu sio ajabu akafanya mambo ya ajabu.

Sio ajabu jitu kuonyesha uchi wake mitandaoni, huo ndio ushamba WA umaarufu, sio ajabu mtu kuvujisha video za uchi au akinyonya denda akiwa anajirekodi. Huo ni Ulimbukeni.

Yapo Malimbukeni ya Fasheni, hawa wengi wao ni Wale waliotoka kijijini kwenda mjini, au waliotoka Tanzania wakaenda ng'ambo huko Ughaibuni.
Hawa wanajikuta wakitoboa masikio na pua ilhali wao ni wanaume.
Wengine wakitoa Marinda Kama Fasheni.

Diamond ni Msanii wa kawaida Kwa wanaoijua Dunia. Ila hapa Nchini ni Msanii Mkubwa.
Diamond ili awe Msanii Mkubwa Duniani lazima aache Ulimbukeni na ushamba.

Asifuate maneno ya Malimbukeni na Washamba ambao Kwa hapa TANZANIA ni zaidi ya 80% ambao ni Washamba.

Ogopa kushabikiwa au kufuata maneno ya watu ambao wanaona kuwa na simu Janja kamaiPhone ndio ujanja.

Ogopa kuwasikiliza watu wanaoona kuwa na Ghetto lenye Flat screen ya inchi 32 ndio kutusua maisha.

Ogopa kushabikiwa na kusikiliza maneno ya washabiki ambao kuwa na Gari ndio kutusua maisha.

Ogopa kushabikiwa na Mashabiki ambao hawataki kununua kazi zako Kwa njia Halali isipokuwa wanaenda Kuburn CD au kurushiwa kwenye muziki library ambazo hazijasajiliwa.

Ukitaka ujue Watanzania wengi ni Limbukeni ni siku uonekane kwenye TV utashangaa ndugu zako na marafiki watakavyokupigia simu na kukusifu.

Ulimbukeni unaitesa nchi hii karibu kwenye kila Nyanja za maisha.
Kiongozi akijenga Ka-Flyover utaona atakavyopiga kelele. Ulimbukeni mtupu!

Limbukeni hatajuagi nafasi zao ndani ya jamii.

DIamond huenda alikuwa hana interest za kutetea Haki za watu ndani ya jamii lakini Nafasi aliyonayo kimuziki ndani ya nchi unanilazimisha kutetea Haki za jamii Apende asipende.

Sasa unakuta jitu Limbukeni linakuambia sio lazima Diamond ajiingize kwenye mambo ya Siasa na uanaharakati hapo ndio unajua mtu huyo Hana Uelewa wowote wa jinsi Dunia inavyoenda.

Mtu unaweza usiwe na interest ya mambo ya Siasa lakini Nafasi yako ndani ya jamii ikakulazimisha kuingia huko.

DIamond wewe ni Msanii Mkubwa hapa Afrika Mashariki, bado unatakiwa ujitahidi uwe Msanii Mkubwa Afrika, ndipo uende Duniani.

Diamond ulichofanikiwa ni katika Propaganda Kwa Limbukeni wa TANZANIA kuwaaminisha kuwa wewe ni Msanii Mkubwa Duniani nao wanaamini hivyo.

Lakini unaowaaminisha ni watu ambao hata hawajui Duniani ni wapi licha ya kuwa wanaishi sehemu ya Dunia.

Hata hivyo sitaacha kukupongeza Kwa hatua uliyoipiga kimuziki kwani sio haba. Ila zingatia kuwa bado unasafari ndefu kuwa Msanii Mkubwa wa Afrika na hatimaye Msanii wa Dunia.

Ulimbukeni ndio kikwazo kikubwa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Mvomero, Morogoro
huu muda wa kuandika uharo ungetumia kulima matikiti hapo japo ubadili mboga hapo kijijini.
 
Unafikiri kuwa Public Figure ni kuwa mwenyeketi wa Familia yako Mkuu?
Kwahio ukiwa Public Figure ufuate Public inataka nini (na wewe ndio ushauri wako huo) ?, Hivi unadhani ma-star wengi kwanini mwisho wao huwa ni addiction na drugs (sababu ya pressure kama hizi) watu wanakupangia maisha...

Kazi ya huyu dogo ni kutoa kazi (ambazo kama unazipenda unanunua hutaki unaacha), hayo mengine ya kufuatilia maisha yake ni kukosa kazi...
 
Kwahio ukiwa Public Figure ufuate Public inataka nini (na wewe ndio ushauri wako huo) ?, Hivi unadhani ma-star wengi kwanini mwisho wao huwa ni addiction na drugs (sababu ya pressure kama hizi) watu wanakupangia maisha...

Kazi ya huyu dogo ni kutoa kazi (ambazo kama unazipenda unanunua hutaki unaacha), hayo mengine ya kufuatilia maisha yake ni kukosa kazi...

Watu hawakupangii maisha Ila interest na position ya mtu ndio humpangia maisha mtu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom