The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,159
- 51,091
Wewe unajuaje kua mimi ni kijana kama unavyodai?Hiyo jamii unayoisema hapa ndio iache ULIMBUKENI,
Kitu chochote kibaya unataka kirembwe rembwe.
Kitu kibaya siku zote kinakashifiwa.
Vijana wa siku hizi ndio mmezoea mambo ya kipuuzi, ufanye kitu kibaya alafu usikashifiwe, ajabu Sana hii.
Nashukuru Kwa mtazamo wako.
Mods wanatakiwa wafute hii thd ya hovyo kabisa.