Diamond Ushakosa Tuzo, Jua Nafasi yako. Achana na Washamba

DIAMOND ACHANA NA WASHAMBA/MALIMBUKENI. TAMBUA NAFASI YAKO.

Na, Robert Heriel

Kitu ambacho kinakwamisha Watanzania tuliowengi ni USHAMBA/ULIMBUKENI.

Ulimbukeni ni like kitendo cha mtu kupata kitu Kwa kizuri au cha thamani Kwa mara ya kwanza, kitu kile kikamfanya atende kinyume na desturi na maadili yanayomzunguka mtu huyo.

Kwa Kiswahili cha kisasa neno Limbukeni ni USHAMBA.

Watanzania wengi ni MALIMBUKENI.
Wengi hatuna Exposure ya mambo yalivyo.

Tuna ulimbukeni karibu kwenye kila Nyanja za maisha.

Yapo malimbukeni ya Madaraka, unakuta jitu likipata uongozi tuu linafanya mambo ya hovyo kabisa. Tumeshayaona hayo malimbukeni, Washamba wa Madaraka.

Wapo Malimbukeni wa Michezo Kama mpira, hayo tumeyaona hata kwenye mashindano ya Club bingwa.
Maneno mengi uwezo mdogo, sifa moja wapo ya Limbukeni au mshamba utaiona kwenye maneno.
Limbukeni hujiinua zaidi kwenye mdomo kuliko vitendo.

Yapo malimbukeni wa Muziki na Umaarufu, haya mengi tunayaona kwa hawa Wasanii WA muziki na maigizo.
Kwa vile mtu hajawahi kuwa Maarufu haya alipokuwa shuleni basi akiwa mkubwa akiwa Maarufu sio ajabu akafanya mambo ya ajabu.

Sio ajabu jitu kuonyesha uchi wake mitandaoni, huo ndio ushamba WA umaarufu, sio ajabu mtu kuvujisha video za uchi au akinyonya denda akiwa anajirekodi. Huo ni Ulimbukeni.

Yapo Malimbukeni ya Fasheni, hawa wengi wao ni Wale waliotoka kijijini kwenda mjini, au waliotoka Tanzania wakaenda ng'ambo huko Ughaibuni.
Hawa wanajikuta wakitoboa masikio na pua ilhali wao ni wanaume.
Wengine wakitoa Marinda Kama Fasheni.

Diamond ni Msanii wa kawaida Kwa wanaoijua Dunia. Ila hapa Nchini ni Msanii Mkubwa.
Diamond ili awe Msanii Mkubwa Duniani lazima aache Ulimbukeni na ushamba.

Asifuate maneno ya Malimbukeni na Washamba ambao Kwa hapa TANZANIA ni zaidi ya 80% ambao ni Washamba.

Ogopa kushabikiwa au kufuata maneno ya watu ambao wanaona kuwa na simu Janja kamaiPhone ndio ujanja.

Ogopa kuwasikiliza watu wanaoona kuwa na Ghetto lenye Flat screen ya inchi 32 ndio kutusua maisha.

Ogopa kushabikiwa na kusikiliza maneno ya washabiki ambao kuwa na Gari ndio kutusua maisha.

Ogopa kushabikiwa na Mashabiki ambao hawataki kununua kazi zako Kwa njia Halali isipokuwa wanaenda Kuburn CD au kurushiwa kwenye muziki library ambazo hazijasajiliwa.

Ukitaka ujue Watanzania wengi ni Limbukeni ni siku uonekane kwenye TV utashangaa ndugu zako na marafiki watakavyokupigia simu na kukusifu.

Ulimbukeni unaitesa nchi hii karibu kwenye kila Nyanja za maisha.
Kiongozi akijenga Ka-Flyover utaona atakavyopiga kelele. Ulimbukeni mtupu!

Limbukeni hatajuagi nafasi zao ndani ya jamii.

DIamond huenda alikuwa hana interest za kutetea Haki za watu ndani ya jamii lakini Nafasi aliyonayo kimuziki ndani ya nchi unanilazimisha kutetea Haki za jamii Apende asipende.

Sasa unakuta jitu Limbukeni linakuambia sio lazima Diamond ajiingize kwenye mambo ya Siasa na uanaharakati hapo ndio unajua mtu huyo Hana Uelewa wowote wa jinsi Dunia inavyoenda.

Mtu unaweza usiwe na interest ya mambo ya Siasa lakini Nafasi yako ndani ya jamii ikakulazimisha kuingia huko.

DIamond wewe ni Msanii Mkubwa hapa Afrika Mashariki, bado unatakiwa ujitahidi uwe Msanii Mkubwa Afrika, ndipo uende Duniani.

Diamond ulichofanikiwa ni katika Propaganda Kwa Limbukeni wa TANZANIA kuwaaminisha kuwa wewe ni Msanii Mkubwa Duniani nao wanaamini hivyo.

Lakini unaowaaminisha ni watu ambao hata hawajui Duniani ni wapi licha ya kuwa wanaishi sehemu ya Dunia.

Hata hivyo sitaacha kukupongeza Kwa hatua uliyoipiga kimuziki kwani sio haba. Ila zingatia kuwa bado unasafari ndefu kuwa Msanii Mkubwa wa Afrika na hatimaye Msanii wa Dunia.

Ulimbukeni ndio kikwazo kikubwa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Mvomero, Morogoro
Kitu ambacho nasikitika ni wanaharakati kudhani Diamond hajashinda tuzo kwa nguvu yao. Eti Burnaboy kashinda kwa sababu yao. Kwenye kuwania walikuwa wengine pia, sasa utafikiri Domo pekee ndiye kakosa.

Bongo kuna vichekesho sana.
 
DIAMOND ACHANA NA WASHAMBA/MALIMBUKENI. TAMBUA NAFASI YAKO.

Na, Robert Heriel

Kitu ambacho kinakwamisha Watanzania tuliowengi ni USHAMBA/ULIMBUKENI.

Ulimbukeni ni like kitendo cha mtu kupata kitu Kwa kizuri au cha thamani Kwa mara ya kwanza, kitu kile kikamfanya atende kinyume na desturi na maadili yanayomzunguka mtu huyo.

Kwa Kiswahili cha kisasa neno Limbukeni ni USHAMBA.

Watanzania wengi ni MALIMBUKENI.
Wengi hatuna Exposure ya mambo yalivyo.

Tuna ulimbukeni karibu kwenye kila Nyanja za maisha.

Yapo malimbukeni ya Madaraka, unakuta jitu likipata uongozi tuu linafanya mambo ya hovyo kabisa. Tumeshayaona hayo malimbukeni, Washamba wa Madaraka.

Wapo Malimbukeni wa Michezo Kama mpira, hayo tumeyaona hata kwenye mashindano ya Club bingwa.
Maneno mengi uwezo mdogo, sifa moja wapo ya Limbukeni au mshamba utaiona kwenye maneno.
Limbukeni hujiinua zaidi kwenye mdomo kuliko vitendo.

Yapo malimbukeni wa Muziki na Umaarufu, haya mengi tunayaona kwa hawa Wasanii WA muziki na maigizo.
Kwa vile mtu hajawahi kuwa Maarufu haya alipokuwa shuleni basi akiwa mkubwa akiwa Maarufu sio ajabu akafanya mambo ya ajabu.

Sio ajabu jitu kuonyesha uchi wake mitandaoni, huo ndio ushamba WA umaarufu, sio ajabu mtu kuvujisha video za uchi au akinyonya denda akiwa anajirekodi. Huo ni Ulimbukeni.

Yapo Malimbukeni ya Fasheni, hawa wengi wao ni Wale waliotoka kijijini kwenda mjini, au waliotoka Tanzania wakaenda ng'ambo huko Ughaibuni.
Hawa wanajikuta wakitoboa masikio na pua ilhali wao ni wanaume.
Wengine wakitoa Marinda Kama Fasheni.

Diamond ni Msanii wa kawaida Kwa wanaoijua Dunia. Ila hapa Nchini ni Msanii Mkubwa.
Diamond ili awe Msanii Mkubwa Duniani lazima aache Ulimbukeni na ushamba.

Asifuate maneno ya Malimbukeni na Washamba ambao Kwa hapa TANZANIA ni zaidi ya 80% ambao ni Washamba.

Ogopa kushabikiwa au kufuata maneno ya watu ambao wanaona kuwa na simu Janja kamaiPhone ndio ujanja.

Ogopa kuwasikiliza watu wanaoona kuwa na Ghetto lenye Flat screen ya inchi 32 ndio kutusua maisha.

Ogopa kushabikiwa na kusikiliza maneno ya washabiki ambao kuwa na Gari ndio kutusua maisha.

Ogopa kushabikiwa na Mashabiki ambao hawataki kununua kazi zako Kwa njia Halali isipokuwa wanaenda Kuburn CD au kurushiwa kwenye muziki library ambazo hazijasajiliwa.

Ukitaka ujue Watanzania wengi ni Limbukeni ni siku uonekane kwenye TV utashangaa ndugu zako na marafiki watakavyokupigia simu na kukusifu.

Ulimbukeni unaitesa nchi hii karibu kwenye kila Nyanja za maisha.
Kiongozi akijenga Ka-Flyover utaona atakavyopiga kelele. Ulimbukeni mtupu!

Limbukeni hatajuagi nafasi zao ndani ya jamii.

DIamond huenda alikuwa hana interest za kutetea Haki za watu ndani ya jamii lakini Nafasi aliyonayo kimuziki ndani ya nchi unanilazimisha kutetea Haki za jamii Apende asipende.

Sasa unakuta jitu Limbukeni linakuambia sio lazima Diamond ajiingize kwenye mambo ya Siasa na uanaharakati hapo ndio unajua mtu huyo Hana Uelewa wowote wa jinsi Dunia inavyoenda.

Mtu unaweza usiwe na interest ya mambo ya Siasa lakini Nafasi yako ndani ya jamii ikakulazimisha kuingia huko.

DIamond wewe ni Msanii Mkubwa hapa Afrika Mashariki, bado unatakiwa ujitahidi uwe Msanii Mkubwa Afrika, ndipo uende Duniani.

Diamond ulichofanikiwa ni katika Propaganda Kwa Limbukeni wa TANZANIA kuwaaminisha kuwa wewe ni Msanii Mkubwa Duniani nao wanaamini hivyo.

Lakini unaowaaminisha ni watu ambao hata hawajui Duniani ni wapi licha ya kuwa wanaishi sehemu ya Dunia.

Hata hivyo sitaacha kukupongeza Kwa hatua uliyoipiga kimuziki kwani sio haba. Ila zingatia kuwa bado unasafari ndefu kuwa Msanii Mkubwa wa Afrika na hatimaye Msanii wa Dunia.

Ulimbukeni ndio kikwazo kikubwa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Mvomero, Morogoro
Sawa mkuu
 
Kitu ambacho nasikitika ni wanaharakati kudhani Diamond hajashinda tuzo kwa nguvu yao. Eti Burnaboy kashinda kwa sababu yao. Kwenye kuwania walikuwa wengine pia, sasa utafikiri Domo pekee ndiye kakosa.

Bongo kuna vichekesho sana.

Nani kasema hayo, Diamond hajashinda kwa sababu ameshindanishwa na waliomzidi uwezo, hiyo ndio sababu Mkuu
 
Eti "ili diamond awe msanii mkubwa Africa inabidi aache ulimbukeni"..unafiki wa Hali ya juu.Awe msanii mkubwa Africa mara ngapi?

Km kofia hata harmonize na alikiba walivalishwa,mbn nao waliimba majukwaa yote ya CCM? Hapo uwanja wa uhuru bongo muvi na bongo flavour karibia wote walikuwepo

Hivi ktk hili mnalomshututumu diamond,ukitoa Ney wa mitego na Roma mkatoliki kuna msanii mwingine yeyote anaweza kutoka hadharani akasema 'mimi nilikuwa mbele kupinga madhalimu ya utawala wa magufuli'

Mpoto aliwahi Kusema 'kama mnataka kuwafukuza wafukuzeni wote kisha majengo tufugie kuku'
Nami nakuambia ndugu mwaandishi Kama unakemea kemea wote ili km tunaanza upya tuanze upya pamoja_lkn km unamsema diamond peke yake na wengine unawaacha basi kauli yako ya kumsema diamond ni limbukeni na msanii mdogo na kuzidi kumpa ushauri wa sijui afanyaje ili awe msanii mkubwa,kauli hiyo ni upuuzi' na ya kinafiki

Mnasahau mapema sn; enzi ya magufuli kila aliyethubutu kukosoa hadharani chamoto alikiona,chadema wenyewe kibao walipambana mwwnzoni,baadae wakasanda wakaunga juhudi kinafiki,mnasahau?
Kwani mzee Maria Sarungi na Binti Kigogo2014 wanasemaje ?
 
Diamond angepata tuzo hiyo ningeshangaa. Idadi kubwa ya nyimbo zake zimejaa maneno machafu yaliyo kinyume kabisa na jamii iliyostarabika.
Namshauri kama anataka kuwa mashuhuri awe mstaarabu katika tunzi sake, tena atafute washauri wastaarabu.
Manena kama Nyegezi, nikukate nyembe, mjanja kuchapiwa , choo cha kike. Hayafai kwa msikilizaji aliyestarabika .
Labda asubiri tuzo ya mmomonyoko wa maadili, hiyo ataipata sharp.
" Kalaga bahho".
 
DIAMOND ACHANA NA WASHAMBA/MALIMBUKENI. TAMBUA NAFASI YAKO.

Na, Robert Heriel

Kitu ambacho kinakwamisha Watanzania tuliowengi ni USHAMBA/ULIMBUKENI.

Ulimbukeni ni like kitendo cha mtu kupata kitu Kwa kizuri au cha thamani Kwa mara ya kwanza, kitu kile kikamfanya atende kinyume na desturi na maadili yanayomzunguka mtu huyo.

Kwa Kiswahili cha kisasa neno Limbukeni ni USHAMBA.

Watanzania wengi ni MALIMBUKENI.
Wengi hatuna Exposure ya mambo yalivyo.

Tuna ulimbukeni karibu kwenye kila Nyanja za maisha.

Yapo malimbukeni ya Madaraka, unakuta jitu likipata uongozi tuu linafanya mambo ya hovyo kabisa. Tumeshayaona hayo malimbukeni, Washamba wa Madaraka.

Wapo Malimbukeni wa Michezo Kama mpira, hayo tumeyaona hata kwenye mashindano ya Club bingwa.
Maneno mengi uwezo mdogo, sifa moja wapo ya Limbukeni au mshamba utaiona kwenye maneno.
Limbukeni hujiinua zaidi kwenye mdomo kuliko vitendo.

Yapo malimbukeni wa Muziki na Umaarufu, haya mengi tunayaona kwa hawa Wasanii WA muziki na maigizo.
Kwa vile mtu hajawahi kuwa Maarufu haya alipokuwa shuleni basi akiwa mkubwa akiwa Maarufu sio ajabu akafanya mambo ya ajabu.

Sio ajabu jitu kuonyesha uchi wake mitandaoni, huo ndio ushamba WA umaarufu, sio ajabu mtu kuvujisha video za uchi au akinyonya denda akiwa anajirekodi. Huo ni Ulimbukeni.

Yapo Malimbukeni ya Fasheni, hawa wengi wao ni Wale waliotoka kijijini kwenda mjini, au waliotoka Tanzania wakaenda ng'ambo huko Ughaibuni.
Hawa wanajikuta wakitoboa masikio na pua ilhali wao ni wanaume.
Wengine wakitoa Marinda Kama Fasheni.

Diamond ni Msanii wa kawaida Kwa wanaoijua Dunia. Ila hapa Nchini ni Msanii Mkubwa.
Diamond ili awe Msanii Mkubwa Duniani lazima aache Ulimbukeni na ushamba.

Asifuate maneno ya Malimbukeni na Washamba ambao Kwa hapa TANZANIA ni zaidi ya 80% ambao ni Washamba.

Ogopa kushabikiwa au kufuata maneno ya watu ambao wanaona kuwa na simu Janja kamaiPhone ndio ujanja.

Ogopa kuwasikiliza watu wanaoona kuwa na Ghetto lenye Flat screen ya inchi 32 ndio kutusua maisha.

Ogopa kushabikiwa na kusikiliza maneno ya washabiki ambao kuwa na Gari ndio kutusua maisha.

Ogopa kushabikiwa na Mashabiki ambao hawataki kununua kazi zako Kwa njia Halali isipokuwa wanaenda Kuburn CD au kurushiwa kwenye muziki library ambazo hazijasajiliwa.

Ukitaka ujue Watanzania wengi ni Limbukeni ni siku uonekane kwenye TV utashangaa ndugu zako na marafiki watakavyokupigia simu na kukusifu.

Ulimbukeni unaitesa nchi hii karibu kwenye kila Nyanja za maisha.
Kiongozi akijenga Ka-Flyover utaona atakavyopiga kelele. Ulimbukeni mtupu!

Limbukeni hatajuagi nafasi zao ndani ya jamii.

DIamond huenda alikuwa hana interest za kutetea Haki za watu ndani ya jamii lakini Nafasi aliyonayo kimuziki ndani ya nchi unanilazimisha kutetea Haki za jamii Apende asipende.

Sasa unakuta jitu Limbukeni linakuambia sio lazima Diamond ajiingize kwenye mambo ya Siasa na uanaharakati hapo ndio unajua mtu huyo Hana Uelewa wowote wa jinsi Dunia inavyoenda.

Mtu unaweza usiwe na interest ya mambo ya Siasa lakini Nafasi yako ndani ya jamii ikakulazimisha kuingia huko.

DIamond wewe ni Msanii Mkubwa hapa Afrika Mashariki, bado unatakiwa ujitahidi uwe Msanii Mkubwa Afrika, ndipo uende Duniani.

Diamond ulichofanikiwa ni katika Propaganda Kwa Limbukeni wa TANZANIA kuwaaminisha kuwa wewe ni Msanii Mkubwa Duniani nao wanaamini hivyo.

Lakini unaowaaminisha ni watu ambao hata hawajui Duniani ni wapi licha ya kuwa wanaishi sehemu ya Dunia.

Hata hivyo sitaacha kukupongeza Kwa hatua uliyoipiga kimuziki kwani sio haba. Ila zingatia kuwa bado unasafari ndefu kuwa Msanii Mkubwa wa Afrika na hatimaye Msanii wa Dunia.

Ulimbukeni ndio kikwazo kikubwa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Mvomero, Morogoro
Nenda kachukue ujira wako Chawa
 
Back
Top Bottom