mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 821
- 1,343
“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine.”
“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza,” Diamond.
Pia soma;
TRA: Taarifa kuhusu madai ya Diamond Platnumz kwa TRA