Huwezi kuwa bora kwa muda mrefu km huna nidhamu, nidhamu sio kumuamkia mtu. Nidhamu ni pana sana eg mahusiano yako na washirika wako na utendaji wako kikaziNaunga mkono hoja.
Tunampongeza sana sana kwa kujituma.
Eneo la nidhamu bado hajaliweza lakini kwenye kujituma amezidi viwango
Hupo sahihi mkuu, ila sio kujituma tu ni lazima uwe na mipango. Kuna msanii kila mwaka anaachia album 2 na singles 20 ila ata tuzo hana, sasa huyu ndio mfano mzuri wa anayejituma bila mipangoKijana anajituma sana
Unachotaka kuleta hapa ni ushabiki mondi ni kweli anajituma sana, lakini bado hana mziki mzuri kama mashabiki wake wanavyo tarajiaHupo sahihi mkuu, ila sio kujituma tu ni lazima uwe na mipango. Kuna msanii kila mwaka anaachia album 2 na singles 20 ila ata tuzo hana, sasa huyu ndio mfano mzuri wa anayejituma bila mipango
Uzuri wanatoa tuzo mziki huku kwenye nidhamu mola wake mlezi atamnyooshaNaunga mkono hoja.
Tunampongeza sana sana kwa kujituma.
Eneo la nidhamu bado hajaliweza lakini kwenye kujituma amezidi viwango
Hajashinda category ya msanii bora, ameshinda best African act. Be careful siku nyengineView attachment 2805428
Msanii Diamond Platnumz ameshinda tuzo ya Msanii Bora kutoka Afrika kwa mara ya 3 katika mashindano ya MTV Europe Music Award 2023 ( MTVEMA2023 )
diamond amewashinda
Asake, BurnaBoy (Nigeria)
Libianca (Cameroon) na TylerICU (Dj wa Afrika Kusini).
Hongera sana sisi wanaJF tunathamini unavyotupa heshima kama taifa.
Tunasema Diamond ni Greatest of all time hapa East Africa.
Ww muziki mzuri unaujua? Au mmezoea mtu akibana pua akiimba kila siku anateswa ndio muziki mzuri? Mond haimbi tena kwa ajili ya Tz tu bali anaimba kwa ajili ya Africa na dunia na ndio maana unaona shu inahit sana huko ughaibuni, sasa ww nikuulize tafsiri ya muziki mzuri ni nn? Nioneshe msanii mwenye huo muziki mzuri hapa Tz mwenye mafanikio kama au zaidi ya MondUnachotaka kuleta hapa ni ushabiki mondi ni kweli anajituma sana, lakini bado hana mziki mzuri kama mashabiki wake wanavyo tarajia
Ahsante Sana mkuu kwa kutupa hamasaDiamond anafanikiwa kwa sababu anapenda anachofanya, ukipenda unachofanya hutoangalia umaarufu unaopata wala pesa unayoingiza, pesa na mafanikio haviwezi kukupumbaza ukaacha kufanya unachokipenda, ukifanya jambo kwa maslahi lazima utaridhika baada ya mafanikio kidogo kwa sababu hukipendi.
Siri ni moja vijana, penda unachofanya na fanya unachopenda, mafanikio huja kwa kile unachopenda kukifanya. Ni siri ya watu wote waliofanikiwa. Hakuna kazi inalipa kuliko nyingine, penda unachofanya.
hongera Diamond.
jibu mujrib kabisa.Wakati alipokuja kukutolea mahari Mkuu
Kwanini thd isifurumie sasa hivi kwa wanaompenda? una maanisha wanaomchukia ni wengi kuliko wanao mpenda?Thread ingekuwa inafurumia kama angekosa tuzo 😂😂