Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,245
Huu Ndio Utajiri wa Msanii Diamond Platnumz
by Frumence M Kyauke.
Nasibu Abdul Juma Issack, almaarufu Diamond Platnumz, ni msanii Afrika mwenye kipaji kikubwa cha uimbaji vilevile ni msanii tajiri zaidi.
Umaarufu wake umeanza kuonekana mwaka 2010 baada ya kuachia albamu kwa jina Kamwambie.
Bingwa huyo wa muziki wa Bongo Flava nchini Tanzania amefanikiwa kuachia vibao vikali na vinavyovuma ikiwemo Tetema, Inama, Sikomi, Marry You, Jeje, Waah, IYO na vinginevyo vingi vinavyokosha mioyo ya shabiki wake.
Kujituma na kutokukata tamaa ameweza kupata tuzo nyingi kama ifuatavyo:
Anamiliki Record label kubwa ya WCB ambayo inavuna mafanikio makubwa na umaarufu mwingi hapa nchini Tanzania, media ya Wasafi Tv pamoja na Wasafi Fm, na mali nyingi za thamani ya mamilioni ya pesa ikiwemo gari aina ya Rolls Royce yenye thamani zaidi ya $343,350, pamoja na mali nyingine za thamani kubwa nyumba za kifahari nakadhalika. Kutokana na mafanikio yake, mali na deal nyingi, unahisi Diamond Platnumz ni tajiri kiasi gani?
Bila shaka Diamond Platinumz ni kipenzi cha wengi. Kando na kuwa na kipaji, ni mwanamuziki anayeiheshimu kazi yake na anayechapa na kuipenda kazi yake.
Kwa sababu hii pekee, ameweza kupata mafanikio ambayo hakutarajia miaka ya nyuma. Kutokana na mafanikio makubwa tunaweza kutambua kwa nini yeye ndiye mwanamuziki tajiri zaidi Tanzania.
Je, utajiri wa Diamond Platnumz ni wa kiasi gani? Mamilion ya shabiki zake hujiuliza swali hili mara kwa mara. Utajiri wa staa huyu wa Bongo Flava ni mkubwa kulingana na mapato ya kazi zake, anavyoishi, mali na uwekezaji. Mnamo mwaka wa 2014, utajiri wa Diamond Platnumz ulikisiwa kuwa wa thamani ya dola za Marekani $4 milion hivi sasa umeongezeka na kufikia zaidi ya $7 Million.
Diamond Platnumz ni msanii namba moja kwa mapato mengi nchini Tanzania kutokana na mali anazomiliki.
Diamond Platnumz Net Worth.
by Frumence M Kyauke.
Nasibu Abdul Juma Issack, almaarufu Diamond Platnumz, ni msanii Afrika mwenye kipaji kikubwa cha uimbaji vilevile ni msanii tajiri zaidi.
Umaarufu wake umeanza kuonekana mwaka 2010 baada ya kuachia albamu kwa jina Kamwambie.
Bingwa huyo wa muziki wa Bongo Flava nchini Tanzania amefanikiwa kuachia vibao vikali na vinavyovuma ikiwemo Tetema, Inama, Sikomi, Marry You, Jeje, Waah, IYO na vinginevyo vingi vinavyokosha mioyo ya shabiki wake.
Kujituma na kutokukata tamaa ameweza kupata tuzo nyingi kama ifuatavyo:
Totals | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
| |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
Wins | 22 | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
Nominations | 28 |
Anamiliki Record label kubwa ya WCB ambayo inavuna mafanikio makubwa na umaarufu mwingi hapa nchini Tanzania, media ya Wasafi Tv pamoja na Wasafi Fm, na mali nyingi za thamani ya mamilioni ya pesa ikiwemo gari aina ya Rolls Royce yenye thamani zaidi ya $343,350, pamoja na mali nyingine za thamani kubwa nyumba za kifahari nakadhalika. Kutokana na mafanikio yake, mali na deal nyingi, unahisi Diamond Platnumz ni tajiri kiasi gani?
Bila shaka Diamond Platinumz ni kipenzi cha wengi. Kando na kuwa na kipaji, ni mwanamuziki anayeiheshimu kazi yake na anayechapa na kuipenda kazi yake.
Kwa sababu hii pekee, ameweza kupata mafanikio ambayo hakutarajia miaka ya nyuma. Kutokana na mafanikio makubwa tunaweza kutambua kwa nini yeye ndiye mwanamuziki tajiri zaidi Tanzania.
Je, utajiri wa Diamond Platnumz ni wa kiasi gani? Mamilion ya shabiki zake hujiuliza swali hili mara kwa mara. Utajiri wa staa huyu wa Bongo Flava ni mkubwa kulingana na mapato ya kazi zake, anavyoishi, mali na uwekezaji. Mnamo mwaka wa 2014, utajiri wa Diamond Platnumz ulikisiwa kuwa wa thamani ya dola za Marekani $4 milion hivi sasa umeongezeka na kufikia zaidi ya $7 Million.
Diamond Platnumz ni msanii namba moja kwa mapato mengi nchini Tanzania kutokana na mali anazomiliki.
Diamond Platnumz Net Worth.
Net Worth: | $7 Million |
---|---|
Country: | Tanzania |
Source of wealth: | Singer |