I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,732
- 10,037
Diamond Platnumz amefanikiwa kushinda tuzo ya the Best African Act Award katika sherehe ya utoaji tuzo hizo ya (the 2023 MTV EMAs).
Amekuwa msanii wa kwanza wa Afrika na Africa mashariki kushinda tuzo 3 za MTV European Music Awards (EMAs).
Aliwahi kushinda tuzo mbili (2) ya BEST AFRICAN ACT na BEST WORLDWIDE ACT (AFRICA/INDIA) ndani ya usiku mmoja mwaka kwenye 2015 MTV EMAs.
Amekuwa msanii wa kwanza wa Afrika na Africa mashariki kushinda tuzo 3 za MTV European Music Awards (EMAs).
Aliwahi kushinda tuzo mbili (2) ya BEST AFRICAN ACT na BEST WORLDWIDE ACT (AFRICA/INDIA) ndani ya usiku mmoja mwaka kwenye 2015 MTV EMAs.