Diamond Platnumz ameshinda tuzo ya MTV Msanii Bora Afrika, amgaragaza Burnaboy

sinza pazuri

JF-Expert Member
Aug 16, 2014
2,525
7,374
20231106_025706.jpg

Msanii Diamond Platnumz ameshinda tuzo ya Msanii Bora kutoka Afrika kwa mara ya 3 katika mashindano ya MTV Europe Music Award 2023 ( MTVEMA2023 )


diamond amewashinda
Asake, BurnaBoy   (Nigeria)
Libianca (Cameroon) na TylerICU (Dj wa Afrika Kusini).

Hongera sana sisi wanaJF tunathamini unavyotupa heshima kama taifa.

Tunasema Diamond ni Greatest of all time hapa East Africa.
 
Diamond anafanikiwa kwa sababu anapenda anachofanya, ukipenda unachofanya hutoangalia umaarufu unaopata wala pesa unayoingiza, pesa na mafanikio haviwezi kukupumbaza ukaacha kufanya unachokipenda, ukifanya jambo kwa maslahi lazima utaridhika baada ya mafanikio kidogo kwa sababu hukipendi.

Siri ni moja vijana, penda unachofanya na fanya unachopenda, mafanikio huja kwa kile unachopenda kukifanya. Ni siri ya watu wote waliofanikiwa. Hakuna kazi inalipa kuliko nyingine, penda unachofanya.

hongera Diamond.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom