Picha?Haya ndugu yetu yupo Mwanza huko anapiga shoo muda huu,ila nashangaa amevaa rozali..masharti ua chama yanampeleka vibaya huyu mtu au ni kuwa kachagua njia ambayo anaona ni sahihi kwake?
tatizo hulioni kabisa?Kwani tatizo nini ?View attachment 2715494
Ndio, wewe tatizo umeliona ?tatizo hulioni kabisa?
Hata tu kuimba nyimbo anakofanya, ni haramu kwa imani yakeHaya ndugu yetu yupo Mwanza huko anapiga shoo muda huu,ila nashangaa amevaa rozali..masharti ua chama yanampeleka vibaya huyu mtu au ni kuwa kachagua njia ambayo anaona ni sahihi kwake?
Weka picha wewe acha kua Zuzu unatuwekea udaku hapa weka Picha fasta au weka video sio unatuwekea porojo hapa hatutaki km huna picha huna video futa uziHaya ndugu yetu yupo Mwanza huko anapiga shoo muda huu,ila nashangaa amevaa rozali..masharti ua chama yanampeleka vibaya huyu mtu au ni kuwa kachagua njia ambayo anaona ni sahihi kwake?
unashangaa nini na ushamba wako huo, hivi huoni hata aibu kuandika hii post? Kwanini ufuatilie maisha ya mtu, we ulimmsilimisha kwenye uislam? Acha ushambenga mtoto wa kiumeHaya ndugu yetu yupo Mwanza huko anapiga shoo muda huu,ila nashangaa amevaa rozali..masharti ua chama yanampeleka vibaya huyu mtu au ni kuwa kachagua njia ambayo anaona ni sahihi kwake?
Piga picha weka hapa au leta link ya YouTube live tuoneangalia wasafi tv wapo live
Uana chama wa nini sasa 😠😠Haya ndugu yetu yupo Mwanza huko anapiga shoo muda huu,ila nashangaa amevaa rozali..masharti ua chama yanampeleka vibaya huyu mtu au ni kuwa kachagua njia ambayo anaona ni sahihi kwake?
Kwahiyo hayo manyimbo ya kutiana Nyege ndio ukiristu unaruhusu?Kwahiyo hayo manyimbo ya kusifu ngono na pombe ndo uislamu unaruhusu?
Sent using Jamii Forums mobile app