Punguza roho mbayaKwa kuwa kaonyesha ukaidi dhidi ya serikali(BASATA) basi iandikwe barua kwenda uhamiaji kuzuia ziara zake zote za kimuziki duniani,
hapo ndipo ulipoishia kufikiri make use of your mind boy why afungiwe poor countries bhanaPunguza roho mbaya
Acha kutumia hilo jina maana inalidhalilishahapo ndipo ulipoishia kufikiri make use of your mind boy why afungiwe poor countries bhana
jina gani babuAcha kutumia hilo jina maana inalidhalilisha
Baada ya hapo wewe unakua umefaidika na nini!?Kwa kuwa kaonyesha ukaidi dhidi ya serikali(BASATA) basi iandikwe barua kwenda uhamiaji kuzuia ziara zake zote za kimuziki duniani,paspoti ipigwe pini
Mbona binadamu mna wivu hivyo?Kwa kuwa kaonyesha ukaidi dhidi ya serikali(BASATA) basi iandikwe barua kwenda uhamiaji kuzuia ziara zake zote za kimuziki duniani,paspoti ipigwe pini
..... Nchi hii INA mambo hivi mnafaidika nini na kumfungia diamond ... Mwenye akili timamu atajua lazima kuna kitu chini ya carpet .. Laiti kama diamond angekuwa mwanao ingekuwaje? Mambo mengi aliyoyafanya diamond kutangaza jina la nchi hii. Ajira alizotoa diamond kutokana na ujasiriamali ....Kwa kuwa kaonyesha ukaidi dhidi ya serikali(BASATA) basi iandikwe barua kwenda uhamiaji kuzuia ziara zake zote za kimuziki duniani,paspoti ipigwe pini
wewe me?Kwa kuwa kaonyesha ukaidi dhidi ya serikali(BASATA) basi iandikwe barua kwenda uhamiaji kuzuia ziara zake zote za kimuziki duniani,paspoti ipigwe pini
WCB=CCM unajisumbua,hiyo awamu ya tano bila WCB wananchi wasingewasikiliza sera zao wakati wa kampeni,asikudanganye wananchi kwenye kampeni wanaenda kuwasikiliza wasanii na si wanasiasa.Mpaka hivi sasa Mondi na Sallam wapo Nairobi.Awamu ya tano si ya kuchezea chezea