Varbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,117
- 856
Juzi nilikua Airport kumsindikiza Mshkaji wangu aliyekuwa akielekea Nairobi baada ya kuja kunitembelea.
Baadae nikamuona dada mmoja anavutia simjui na simfahamu kabisa, ilionesha anasafiri nje ya nchi. Kama kawaida kaingia ndani baadae namuona anatoka akiwa frustrated analia na ni kama hajielewi nikajisogeza kuuliza kulikoni dada au umekutwa na nyara za Magufuli?
Akasema hapana, wamenikatalia kusafiri kwa sababu mie mtumishi wa Serikali. Nikamuuliza unafanya ofisi gani? Akajibu Mwalimu wa shule ya msingim
Maafisa uhamiaji wanamwambia apeleke barua ya ruhusa na anavyodai yeye anakwenda kumsalimia ndugu yake Ulaya nchi hakutaja, ameghalimiwa kila kitu na huyo nduguye na visa anayo lakini hakuweza kuondoka
Wadau kuna haja gani kumzuia kusafiri mtu anakwenda kutembea na atarudi!? Kipindi cha likizo hiki? Kutoka nje ya nchi ni kosa gani kwenye Katiba yetu?
Siku ile nilichukia sana japo kuwa sikufanyiwa mimi..
Baadae nikamuona dada mmoja anavutia simjui na simfahamu kabisa, ilionesha anasafiri nje ya nchi. Kama kawaida kaingia ndani baadae namuona anatoka akiwa frustrated analia na ni kama hajielewi nikajisogeza kuuliza kulikoni dada au umekutwa na nyara za Magufuli?
Akasema hapana, wamenikatalia kusafiri kwa sababu mie mtumishi wa Serikali. Nikamuuliza unafanya ofisi gani? Akajibu Mwalimu wa shule ya msingim
Maafisa uhamiaji wanamwambia apeleke barua ya ruhusa na anavyodai yeye anakwenda kumsalimia ndugu yake Ulaya nchi hakutaja, ameghalimiwa kila kitu na huyo nduguye na visa anayo lakini hakuweza kuondoka
Wadau kuna haja gani kumzuia kusafiri mtu anakwenda kutembea na atarudi!? Kipindi cha likizo hiki? Kutoka nje ya nchi ni kosa gani kwenye Katiba yetu?
Siku ile nilichukia sana japo kuwa sikufanyiwa mimi..