Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 1,724
- 5,741
Wasanii wakubwa tena wakongwe wanalalamika mziki wa bongo fleva haulipi k.v Chidi benz, Veemoney na Dudubaya, Diamond amewezaje kupata hela hadi ya kununua rolls royce na kulipa bodyguards? Diamond anafahamika hadi Nigeria, Na Afrika nzima, hakuna msanii wa kibongo anayefahamika kama Diamond.
Kama Diamond anatumia uchawi kufanikiwa, mbona wasanii wengine Wakubwa wa bongo fleva Wanaoaminika kutumia uchawi, kama kina Jide na Kiba hawajafanikiwa kama Diamond? Kiumaarufu na kipesa? Pamoja kwamba Diamond ni mpambanaji mwenye bidii, Diamond anatoaga kafara gani la kichawi?
Kama Diamond anatumia uchawi kufanikiwa, mbona wasanii wengine Wakubwa wa bongo fleva Wanaoaminika kutumia uchawi, kama kina Jide na Kiba hawajafanikiwa kama Diamond? Kiumaarufu na kipesa? Pamoja kwamba Diamond ni mpambanaji mwenye bidii, Diamond anatoaga kafara gani la kichawi?