Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,714
- 36,174
Habari za asubuhi!
Shetani anamiliki pesa, Mali na umaarufu. Akikuona unatafuta umaarufu tu lazima atakufuata na kukuambia kuwa usihangahike, what you find it's belongs to me. Tulia nikupe huo umaarufu na nitakuwekea pesa juu yake.
Mara nyingi mwanzoni atakuja kama malaika (mtu mwema) na utakapogundua kuwa si malaika tayari ameshakupa huo umaarufu kazi itakayobaki ni wewe tu kutimiza matakwa yake kama yeye alivyokuwa mwaminifu kwako.
Sharti kubwa analogawa sasa ni la kushiriki mapenzi na mwanaume au mwanamke mwenzako. Yaani ushoga na usagaji.
Wasanii wengi maarufu wamepewa umaarufu na Ibilisi ndio maana wanafika hatua hata kuuficha ushoga uliopo ndani yao hawawezi. Wanavaa mavazi na kujipamba na mapambo ambayo hawastahili.
Hivi umewahi kujiuliza msanii wa kiume asipovaa hereni, asiposuka nywele au kuweka mapambo ya kike mwilini mwake hatapendwa na hadhira?
Shetani anamiliki pesa, Mali na umaarufu. Akikuona unatafuta umaarufu tu lazima atakufuata na kukuambia kuwa usihangahike, what you find it's belongs to me. Tulia nikupe huo umaarufu na nitakuwekea pesa juu yake.
Mara nyingi mwanzoni atakuja kama malaika (mtu mwema) na utakapogundua kuwa si malaika tayari ameshakupa huo umaarufu kazi itakayobaki ni wewe tu kutimiza matakwa yake kama yeye alivyokuwa mwaminifu kwako.
Sharti kubwa analogawa sasa ni la kushiriki mapenzi na mwanaume au mwanamke mwenzako. Yaani ushoga na usagaji.
Wasanii wengi maarufu wamepewa umaarufu na Ibilisi ndio maana wanafika hatua hata kuuficha ushoga uliopo ndani yao hawawezi. Wanavaa mavazi na kujipamba na mapambo ambayo hawastahili.
Hivi umewahi kujiuliza msanii wa kiume asipovaa hereni, asiposuka nywele au kuweka mapambo ya kike mwilini mwake hatapendwa na hadhira?