Diallo amlipua Lowassa

Diallo amlipua Lowassa

Yaani lowasa ana rotate kwenye vichwa vya watu utadhani matangazo ya kampuni za simu za tigo voda na Airtel yaani kila dakika, kila siku. Tuliosoma masuala ya marketing hii ni advantage kwa mamvi kwenye safari yake... Ni sawa na CCM wanavyoiimba chadema kucha kuchwa...ni advantage kwa sisi makamanda

Free publicity,
 
Atafaa tu wala usipatwe na.pressure
Ingawa sijaona busara ya Waziri mzima (aliyekuwa) kujibu mambo kama haya kilichonisikitisha zaidi ni kutaja ugonjwa wa Lowassa. Kimaadili si sahihi hata kidogo kushangilia maradhi ya mwenzoi (kama kweli anayo), na hatujui je, wewe ni mzima kweli? Nasikitika kwamba mbali na siasa zenu umegusa hata kazi ya MUNGU. Majibu na hoja zote ovyo kabisa!
 
Wewe na wenzako mnakera kweli!!!!!!!!!
Kwanini umwite Mtanzania mwenzako jina la msukule????
Hata kama mnatofautiana kimtazamo, huna sababu ya kumtusi.
Kumbuka ni binadamu tena mwenye thamani kubwa. Utu wa mtu
uheshimiwe!!!!!
acheni matusi, hyajengi bali hubomoa taifa


Mwakaboko, samahani kwa kukukwaza, ila mbwa ukimuita mbwa sio tusi Mkuu, lakini ukimuita Mbuzi, Mbwa, hilo ni tusi kwa Mbuzi!! Sasa huu msukule wa Lumumba sio tusi ukiuita Msukule!! Sema tu nilipokosea ni ile kumuita "msukule" nilitakiwa niseme "Msukule wa Lumumba"!! Nisamehe Mkuu maisha yanasonga japo Misikule ya Lumumba inakera!!
 
"Kama Lowasa ni mzima akimbie uwanja wa Taifa raundi moja kama hajajikuta ICU!!" Diallo
 
Ingawa sijaona busara ya Waziri mzima (aliyekuwa) kujibu mambo kama haya kilichonisikitisha zaidi ni kutaja ugonjwa wa Lowassa. Kimaadili si sahihi hata kidogo kushangilia maradhi ya mwenzoi (kama kweli anayo), na hatujui je, wewe ni mzima kweli? Nasikitika kwamba mbali na siasa zenu umegusa hata kazi ya MUNGU. Majibu na hoja zote ovyo kabisa!

Unajua cku zote mfa maji huwa haachi kutapatapa,diallo akubali yaishe kwamba siasa haziwezi na kama alishindwa na kijana mdogo kabisa highness kiwia sembuse lowasa cyo size yake kabisa,unajua anatumiwa na kundi fulani ila akae akijua yeye pia ni mmiliki wa vyombo vya habari sasa angalie asije kususiwa na hzo tv na radio zake
 
Lowassa atawatesa sana washika ukuta nyie. Kila mkiamka Lowassa,akifanya mazoezi mnahaha,akivua miwani mnasema!

Tutasikia mengi sana kabla ya october 2015. Baada ya uchaguzi visasi,vifo na matukio mengi,



Aisee naungana na wewe !!!
CCM (Chama Cha Matumbili) Kinafanya jitihada kubwa ya kujiua na kujizika na haya aliyatabiri mtumishi wa Mungu Askofu Zakaria Kakobe wa kanisa la Full Gospel.

Njia nyeupe kwa Wapinzani kuingia ikulu sasa .
Wakati umefika sasa wa Mungu kuwaadhibu CCM kwa dhulma na mateso mengi waliowapa wale wote walioonyesha moyo wa kuwapenda na kuwatetea maskini wa nchi hii.

Cha msingi sasa ni Chadema kuacha papara ya kukimbilia ikulu peke yake bila kushirikisha UKAWA kweni peke yake hakitaweza kuingia ikulu.
Hufu kubwa ya CCM ni UKAWA.

Tumaini la watanzania wa makabila yote ,jinsia zote ,marika yote ,kanda zote na dini zote,Visiwani na bara ni UKAWA.

Kwa hiyo Tusimshangae Anthoni Dialo kumshambulia Mwenzake .Hawa ni Tumbili wanaogombania mahindi .

Wasiwasi wangu ni jinsi CCM kinavyoendesha siasa za Chuki na visasi dhidi wao kwa wao.

Ili Nchi yetu isifikie mahali pa kuuana kwa lengo la kusaka madaraka ni bora CCM ikauawa mwaka 2015 watanzania wapumue.
UKAWA jipangeni vizuri mchukue nchi yenye utajiri wa kila aina.
 
Sielewi kinachoendelea ndani ya ccm, Nyerere aliwakataa wote wawili Kikwete na Lowasa. Lakini nashangaa Diallo anasema Lowasa pekee ndiye alikataliwa na Nyerere.

Nyerere alimkataa Kikwete alafu akapitishwa na Kamati Kuu na Halmashauri Kuu mpaka kufika mkutano mkuu Nyerere akiwepo?

Waliokataliwa na Nyerere, ambao ni Malecela, Kolimba na Lowassa walikatwa mapema kwenye hatua za awali.
 
Membe amehakikisha anamgombanisha JK na kila rafiki yake akitegemea urais ataupata kwa mgongo wa familia ya JK huku akisahau kuwa nani alimuweka JK madarakani.

Membe ana PHD ya Uchonganishi na Uzushi sasa hapati Usingizi yupo busy akibuni na kutengeneza Fitna juu ya Lowasa .
 
Sielewi kinachoendelea ndani ya ccm, Nyerere aliwakataa wote wawili Kikwete na Lowasa. Lakini nashangaa Diallo anasema Lowasa pekee ndiye alikataliwa na Nyerere.
Dialo analifaham hilo ila anajifany a kama hafaham
 
Membe ana PHD ya Uchonganishi na Uzushi sasa hapati Usingizi yupo busy akibuni na kutengeneza Fitna juu ya Lowasa .


"Kama Lowasa ni mzima akimbie uwanja wa Taifa raundi moja kama hajajikuta ICU!!" Diallo
 
"Kama Lowasa ni mzima akimbie uwanja wa Taifa raundi moja kama hajajikuta ICU!!" Diallo

Rais wa sasa mlisema ni mgonjwa anaanguka hatamaliza Miaka 10 lakini yupo fiti hadi Leo , Lowasa anaweza kukimbia hata marathon usimpimie, Tambua Tabia ya kubambikia watu Maradhi Mungu hapendi, Ugonjwa hauna Hodi unakuja mda wowote kwa yeyote Yule mwakani bado mbali sana hata boss wako Membe anaweza akaugua asijifanye Mungu kuwanyoshea watu vidole.
 
Hebu tujaribu kufikirisha akili zetu zaidi labda tutagundua jambo ndani ya CCM.

Mh.Rais Dr. JK aliwahi kusema kuwa ndani ya Chama kuna makundi yanayotishia uhai wa chama chao na kwenda mbali zaidi kwa kusema kuwa watu wanaogopana na kuhofia hata kuwekeana sumu.
Sasa ukiangalia hali inavyokwenda kuelekea 2015 na historia ya matukio kadhaa unaweza kupata picha fulani .
Tujiuliza nani anafanya haya mambo ya kutupia wanasiasa maarufu magonjwa na wengine kupoteza maisha kabisa?
(1)Abeidi Karume
(2)Sokoine
(3)Kambona mara baada ya kurejea nchini kujiunga na upinzani.
(4)Kolimba
(5)Imrani Kombe
(6)Dr.Omary Ali Juma
(7)Mwalimu Nyerere
(8)Chacha Wangwe(huyu alikua mwiba mkali kwa wawekezaji wa madini kule Tarime)
(9)Chachage
(10)Prof.Mwakyusa
(11)Dr.Mvungi
Hao wooote damu zao zinalia huko ardhini, zimeondoka zikiwa zinawatetea wanyonge na maskini wa nchi hii huru, inayoongozwa na CCM kwa nusu karne sasa.Nani atasimama kuchunguza vifo vyao na kusimamia yale waliyoyapigania mpaka mwisho wa maisha yao.

Sasa kuna kundi la waliotupiwa magonjwa na kuwadhoofisha kisiasa :
(1)Dr.Augustino Mrema
(2)Prof.Mwandosya
(3)Dr.Mwakyembe.
(4)Dr.Slaa kuanguka chooni na kulemaa mkono.
(5)Na sasa gwiji la siasa za maamuzi magumu na Elimu kabla ya yote Mh.Edward Ngoyayi Lowassa .Anayetumika pia kama gari la kubeba takataka na uchafu wote wa CCM.

Najiuliza nani anayeratibu hizi zulma za nafsi za watu wasio na hatia katika nchi hii?
Kama CCM itaendelea kushinda kwa dhulma hizi hali hii haitaisha.

''UKAWA tumaini letu''
 
Hii Fitna , Uzushi na Uchonganishi imepangwa na kuratibiwa na Membe na timu yake,yaani hawapati usingizi juu ya Lowasa wapo busy kumchokonoa kwa kila hali, lakini wamesahau Kuwa Watanzania wa sasa hawadanganyiki kirahisi rahisi wapo makini na wengi wameshajua Kuwa Membe ni mtu Hatari kazi yake kubwa ni kupenyeza Fitna.
 
Back
Top Bottom