Diallo amlipua Lowassa

Diallo amlipua Lowassa

Hili suala la maji ya ziwa Victoria hata Fredrick Sumaye anadai yeye akiwa waziri mkuu ndiye aliyesimamia lahau lah lakwata bado Magufuli atakuja na daraja la Kigamboni mwakyembe nae atakuja na bandari ya Bagamoyo ukigeuka huko yupo Sitta atakuja na katiba mpya.
 
Hili suala la maji ya ziwa Victoria hata Fredrick Sumaye anadai yeye akiwa waziri mkuu ndiye aliyesimamia lahau lah lakwata bado Magufuli atakuja na daraja la Kigamboni mwakyembe nae atakuja na bandari ya Bagamoyo ukigeuka huko yupo Sitta atakuja na katiba mpya.

Hiyo ndiyo CCM "nambari wani" !!!!!
 
Hapa tunaongelea kichwa cha Habari pale juu ( Dialo amlipua Lowasa ) yaani Maana yake Dialo ameanzisha choko choko kwa Lowasa hivyo jukumu letu ni kumtetea lowasa kwani yeye anaandamwa sana, Membe yupo busy kusaka wana-siasa dhaifu ili awachonganishe na Lowasa Kama alivyofanikiwa kumshika Akili Dialo na amenasa kwenye mtego wake Kirahisi sana, Kumbuka ni watu wengi wametangaza nia ! iweje watu wakomae na Lowasa pekee ? Tanzania hii Hakuna aliye Msafi kiasi cha kumnyoshea mwenzake kidole.

Mkuu, hivi huwezi kuandika post yako bila kumtaja Membe? By theway simpendi Lowassa wala Membe…kwani imani yangu inanituma au kuniambia kuwa KUIKATAA CCM NI KIPIMO TOSHA CHA AKILI ila wewe umezidi kuniboa kwa kila post yako kutaja jina la Membe.
 
Mkuu, hivi huwezi kuandika post yako bila kumtaja Membe? By theway simpendi Lowassa wala Membe…kwani imani yangu inanituma au kuniambia kuwa KUIKATAA CCM NI KIPIMO TOSHA CHA AKILI ila wewe umezidi kuniboa kwa kila post yako kutaja jina la Membe.

Sasa hao ndio wanaofahamika kuutaka uraisi wa nchi 2015. Kumbe akuongelee wewe ambae hujatangaza nia. Kumchukia Membe au Lowasa hayo ni matatizo yako binafsi ila watajadiliwa na wengineo watakaotangaza nia kama kina Wassira na Makamba. Au ulitaka uyasikie majina hayo ya mwisho tu. Kwanza huyo Membe bado anasubiri kuoteshwa kama agombee au la.
 
Diallo ni mnafiki na mwongo wa hali ya juu..hana hoja hata kidogo na apuuzwe
 
Back
Top Bottom