fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,073
Kwani inatusaidia nini si kazi ulifanya kama ulivyochukua mshahara na malupulupu
Nikiona thread inamsifia lowasa natamani kutapika kwa kichevu chevu.
Mtu fisadi, Mungu kumulaani Kwa wizi wake wa mali za uma,
afya yake imekuwa kama kuku wenye ndegua.
umeshika mimba lin?Nikiona thread inamsifia lowasa natamani kutapika kwa kichevu chevu.
Mtu fisadi, Mungu kumulaani Kwa wizi wake wa mali za uma,
afya yake imekuwa kama kuku wenye ndegua.
Wewe na wenzako mnakera kweli!!!!!!!!!Hapana nilikosea!! Ni mwenyekiti UV-CCM!!!! Umeishia la ngapi msukule?
tapika kwasabu ni dalili za mimba changa,halaf tatzo hujui kama una mimba
tatizo akili hauna, umenga'nana na
kaajila kako hako kakumtetea fisadi, mgojwa na mwinzi wa mali za uma
kapime akili..
Ndani ya serikali hii ya CCM na miongoni mwa viongozi wakubwa wa CCM waliopo hivi sasa hakuna anayeweza kutoa maamuzi magumu!!!Tatizo la maji ya victoria ilikuwa sio usimamizi wa kujenga mabomba, ilikuwa ni maamuzi. Kusimama na kuwaambia wamisri kuwa tutatumia maji ndio ilikuwa changamoto. Lowasa ndiye aliyewaambia wamisri mkutanoni kuwa tutatumia maji. Sasa hilo la kugawana majukumu ni suala la ndani ya wizara lakini bosi alikuwa Lowasa na Diallo alikuwa anatekeleza mawazo ya bosi wake. Na bila shaka nae Diallo alikuwa na wasaidizi aliokuwa anawaelekeza na kuwasimamia, sasa hawezi kuibuka mtu aliyekuwa chini ya Diallo akasema yeye ndio aliyesimamia ujenzi wa mradi. Kwa hilo Lowasa apewe sifa, kwa upande wa maamuzi magumu hakuna mtu ccm anaweza kumfikia Lowasa.
Uko sahihi lakini hata ktk wagonjwa kuna mahututi na afadhali, Lowasa ndio mwenye record ya kufanya maamuzi magumu na si wengine. Japo sasa tunakubaliana kuwa tukitaka kuiweka sawa nchi lazima ccm yote ikae pembeni.Ndani ya serikali hii ya CCM na miongoni mwa viongozi wakubwa wa CCM waliopo hivi sasa hakuna anayeweza kutoa maamuzi magumu!!!
Mfano kumbuka machache kama: ahadi ya kuvua magamba; sakata la Jairo; EPA na sasa IPTL
Dialo ni muaji na jambazi mkubwa ndio maana alikataliwa na wananchi wa Ilemela, haitaji science kugundua amepoteza mvuto siasa za mwanza , mbona hajibu issue ua mauaji ya mtumishi wa CCM Ibrahim Babangida
Avunje bakuli basiMmmmmmh simpaka mnoga uwe nayo au iwepo inawezekana hiyo mnoga haipo utamwaga nini.