Nimekaa najiuliza hivi huyu aliyeandika hii habari ni Dialoau la?Kama kweli ni Dialo basi Rais alifanya makosa makubwa sana kumchaguaDiallo kuwa Waziri wa Nchi hii wakati ule.Pia niwapongeze wananchi wa ILEMELAkwa kumtambua na kujua uwezo mdogo wa kiuongozi alio nao na hatimae kumpigachini kwenye ubunge.Hebu niwaulize wana CCM wenzangu hivi Mwenyekiti wa CCM Mkoa tena wa Mwanza na mjumbe wa NEC anawezaje kuandika vitu vya ainahii?Hivi walie waliomchagua kumpa uenyekiti waliangalia kitu gani hasa? Maanaanatia aibu sana mpaka naona aibu.Nilitegemea Diallo kutokana na utajiriwake,nafasi alizo nazo ndani ya Chama na alizowahi kushika asingehangaikakabisa na Siasa za mitandaoni kuandika vitu ambavyo havitamsaidia kuongeza aukukuza ukubwa wa biashara zake Zaidi ni za kujionyesha yuko upande wa kundigani katika kinyanganyilo cha Urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi.
Ndugu zangu Dialo ni mjumbe wa NEC kikao ambacho hupitishamajina 5 ya wagombea na katika hali ilivyo ndani ya kikao hicho pia kunawajumbe wa NEC wengi sana wanao muunga mkono Lowasa katika mbio za kuutakaUongozi wa nchi yetu.Tujiulize swali kutatokea nini ndani ya kikao hicho mwaka2015? Kama viongozi wenyewe ndio kama Dialo si watapigana ngumi na mwisho wakekusambaratika bila kufikia muafaka?
Dialo kama mjumbe wa NEC atajisikiaje au atafanya nini iwapoMh Lowasa ndio atachaguliwa kupeperusha bendera ya CCM na kuwa Rais wa 5 waTanzania? Sisi yetu ni macho na masikio ila siku hiyo itafika na wale wotewaliojiapiza kwenye mitandao au vyombo vya habari tutawaona maana huwezikujifanya wewe ndio mungu na unayoyawazawewe ndio sahihi.
Kwa hali ilivyo watu kama Diallo wamemuongezea umaaurfu sanaMh Lowasa na wananchi wengi sana wanaamini Lowasa ndio atakayeisaidia Tanzaniakwa sasa kwani mti wenye matunda mazuri ndio hushambuliwa siku zote.Hebu nduguzangu kesho kila mmoja wetu ajaribu kufanya research ya kuuliza watu watano 5ni nani wanataka awe Rais wa Tanzania? Majibu mengi yatakuwa ni Mh LOWASA nikwa nini? Dialo amka unajidhalilisha sana.
Kosa kubwa afanyalo Dialo ni kufikiri yeye ni kila kitu Mkoawa Mwanza yaani wajumbe wote wa Halmashauri kuu na Mkutano mkuu kutoka kanda yaziwa wanamsikiliza yeye akisema tumpigie kura Fulani basi wotewanafuata,anajidanganya sana kwani wapiga kura wote wa 2015 wana akili sana nani tofauti sana na mwaka 2010 au 2005.Dialo akae asubiri atapata majibu ya kandaya ziwa ndio atajua yeye ni mwenyekiti wa Chama tu wala hana mamlaka yakuwapangia wana CCM wampitishe nani.
Halafu najiuliza hivi anayemtuma Dialo afanye hayaanayofanya anajisikia furaha au anajiharibia? Anakisaidia chama kujenga UMOJAau Kujenga UADUI? maana lazima anajulikana.
Ndugu zangu Dialo ni mjumbe wa NEC kikao ambacho hupitishamajina 5 ya wagombea na katika hali ilivyo ndani ya kikao hicho pia kunawajumbe wa NEC wengi sana wanao muunga mkono Lowasa katika mbio za kuutakaUongozi wa nchi yetu.Tujiulize swali kutatokea nini ndani ya kikao hicho mwaka2015? Kama viongozi wenyewe ndio kama Dialo si watapigana ngumi na mwisho wakekusambaratika bila kufikia muafaka?
Dialo kama mjumbe wa NEC atajisikiaje au atafanya nini iwapoMh Lowasa ndio atachaguliwa kupeperusha bendera ya CCM na kuwa Rais wa 5 waTanzania? Sisi yetu ni macho na masikio ila siku hiyo itafika na wale wotewaliojiapiza kwenye mitandao au vyombo vya habari tutawaona maana huwezikujifanya wewe ndio mungu na unayoyawazawewe ndio sahihi.
Kwa hali ilivyo watu kama Diallo wamemuongezea umaaurfu sanaMh Lowasa na wananchi wengi sana wanaamini Lowasa ndio atakayeisaidia Tanzaniakwa sasa kwani mti wenye matunda mazuri ndio hushambuliwa siku zote.Hebu nduguzangu kesho kila mmoja wetu ajaribu kufanya research ya kuuliza watu watano 5ni nani wanataka awe Rais wa Tanzania? Majibu mengi yatakuwa ni Mh LOWASA nikwa nini? Dialo amka unajidhalilisha sana.
Kosa kubwa afanyalo Dialo ni kufikiri yeye ni kila kitu Mkoawa Mwanza yaani wajumbe wote wa Halmashauri kuu na Mkutano mkuu kutoka kanda yaziwa wanamsikiliza yeye akisema tumpigie kura Fulani basi wotewanafuata,anajidanganya sana kwani wapiga kura wote wa 2015 wana akili sana nani tofauti sana na mwaka 2010 au 2005.Dialo akae asubiri atapata majibu ya kandaya ziwa ndio atajua yeye ni mwenyekiti wa Chama tu wala hana mamlaka yakuwapangia wana CCM wampitishe nani.
Halafu najiuliza hivi anayemtuma Dialo afanye hayaanayofanya anajisikia furaha au anajiharibia? Anakisaidia chama kujenga UMOJAau Kujenga UADUI? maana lazima anajulikana.