Tatizo la Maccm ni kujipendekeza, yanampa mtu sifa hata hasiyostahili!!
"Kama Lowasa ni mzima akimbie uwanja wa Taifa raundi moja kama hajajikuta ICU!!" Diallo.
Wewe si Mungu usijifanye huwezi kuugua, isitoshe Mungu hapendi Tabia ya kuwabambikia watu Maradhi, Ugonjwa hauna Hodi kila mtu anaweza kuugua mda wowote , kumbuka mwakani bado ni mbali sana je? Una Uhakika na Afya ya boss wako Dialo na membe? Si unamjua Dialo ana shahada ya Michepuko na Adhabu ya michepuko huwa ni Ukimwi .je? Una una uhakika na Uzushi wako? Acha hizo vigezo vyako vya uwanja wa Taifa, Lowasa anaweza kukimbia hata mita 10,000 acheni kukariri Fikra za membe.