Nadhani huna kumbu kumbu nakupa hii Dialo baada ya kutapeli Dola Laki moja ngoma ilipelekwa ikulu akaitwa Akiwa ni mteuliwa wa Rais lakini ni mtumishi wa umma boss wake ni huyo huyo unayemdharau, aliposomewa mashitaka yake mbele ya katibu Mkuu akaleta dharau ndipo Uteuzi wake ukatenguliwa , kumbuka Pia wakati mawaziri wanaapishwa katibu Mkuu huwasajiri kwenye utumishi wa umma Mara baada ya kuapishwa , katibu Mkuu ni mtu mkubwa kuliko unavyomfikiria. Najua umejitoa Fahamu endelea kumtetea baba yenu membe na wapambe wake akina Dialo.