Diallo amlipua Lowassa

Diallo amlipua Lowassa

Wewe kweli chizi..kama ata hujui mamlaka ya uteuzi na ubadilishaji wa mawaziri ipo kwa nani sijui utajua kipi??bure kabisa..

Kwa kukusaidia mamlaka ya uteuzi wa waziri na naibu wake ni ya Rais mwenyewe akishauriana na Makamu wa Rais na Waziri Mkuu, katu Katibu Mkuu Kiongozi hawezi kumfuta kazi Waziri wala Naibu Waziri.

Kama una mtoto aliye shule ya msingi basi muulize atakufundisha vizuri, jinga wewe..
Nadhani huna kumbu kumbu nakupa hii Dialo baada ya kutapeli Dola Laki moja ngoma ilipelekwa ikulu akaitwa Akiwa ni mteuliwa wa Rais lakini ni mtumishi wa umma boss wake ni huyo huyo unayemdharau, aliposomewa mashitaka yake mbele ya katibu Mkuu akaleta dharau ndipo Uteuzi wake ukatenguliwa , kumbuka Pia wakati mawaziri wanaapishwa katibu Mkuu huwasajiri kwenye utumishi wa umma Mara baada ya kuapishwa , katibu Mkuu ni mtu mkubwa kuliko unavyomfikiria. Najua umejitoa Fahamu endelea kumtetea baba yenu membe na wapambe wake akina Dialo.
 
Unakumbuka kilichomfukuzusha Dialo Uwaziri? Uliza uambiwe huyo boss wako ni full fisadi vioja alivyofanya wakati Akiwa Waziri havifai hata kuhadithiwa ,? Nenda kawaulize wafanyakazi wake kwenye miladi yake utaambiwa udhaifu wake Nina imani utazimia ukiamka unawalaani wote waliopata kumteua Kuwa Waziri kwani hakuwa na vigezo.!


Hilo haliondoi ukweli wa alichokisema Diallo!!

Diallo: Lowasa akikimbia raundi moja uwanja wa Taifa atajikuta ICU!! Vitaru, vadacom, MTN, madudu aya Lowasa aliyoyafanya. Diallo akamaliza kwa kusema: HUO URAIS HATOUPATA!! Tafakari mkuu.
 
Ni kweli kuu......ila kwa akili za Diallo mimi sishangai ingawa wasukuma ni watulivu na smart kama unavyonena......amefanya hili kwa msukumo wa makundi kumbe hajui anazidi kujichafulia, na mpaka issue zake za ubakaji, mauhaji, na ulawiti sasa tunazisoma humu jamvini.

Dialo ni janga la nchi
 
Sijui kama ni mzima kweli....alioyaandika kwan hayana ukweli au?.

Mwambie babayako huyo akimbie mita 100 tuuu..uone majibu. acheni kuangaika rais ni DR. W.P.Slaa

Avatar yako imesema kila kitu. Ugoro nuksi....!
 
Nadhani huna kumbu kumbu nakupa hii Dialo baada ya kutapeli Dola Laki moja ngoma ilipelekwa ikulu akaitwa Akiwa ni mteuliwa wa Rais lakini ni mtumishi wa umma boss wake ni huyo huyo unayemdharau, aliposomewa mashitaka yake mbele ya katibu Mkuu akaleta dharau ndipo Uteuzi wake ukatenguliwa , kumbuka Pia wakati mawaziri wanaapishwa katibu Mkuu huwasajiri kwenye utumishi wa umma Mara baada ya kuapishwa , katibu Mkuu ni mtu mkubwa kuliko unavyomfikiria. Najua umejitoa Fahamu endelea kumtetea baba yenu membe na wapambe wake akina Dialo.

Nimekwambia na ninarudia tena....kama una mtoto anayesoma uraia shule ya msingi muulize na atakufundisha vizuri juu ya hili..

Mamlaka ya uteuzi wa Waziri ni Rais. Katibu Mkuu kiongozi hana uwezo wa kumfuta kazi Waziri yeyote, hivyo jitihada zozote za kuungaunga kuwa Luwanjo alimfukuza kazi Diallo ni kuzidi kuthibitisha kuwa kumbe ata hujui kuwa Waziri anawajibishwa na nani.Ni busara tu kukubali kuwa hujui, vinginevyo unazidi kuthibitisha kuwa HUJUI na HUJUI kuwa HUJUI.
 
Mzee wako kumbe ni mbakaji na mlawitaji mkubwa sana.....mpe taarifa Jane wa dodoma pamoja na grace wa mwanza kuleana watakuwa na press conference ijumaa hii...

mtawanunua hadi mabaa medi mwaka huu ila urais hapana.
 
Ushauri wa bure kwa wapambe wa Lowassa: Kuleni fedha yake maana ni halali yenu, fedha za kukwapua kwa njia zisizo halali ni haki ya kila mtu kuzitafuna, ila Urais hatopata.Kidumu Ccm.

Huu ni ushauri wa busara sana, shime wananchi ebu changamkieni hizo pesa za wizi, wakati wa kula hizo pesa ni sasa.

Copy: Pasco, minyoo, Ritz, Kingukitano, ocampo four
 
hakuna cha lengo wala nini, mbona ulipohama ulituambia........kamanda kushindwa katika maisha sio wajibu wa serikali 100% bali kazi kubwa ya serikali ni kuweka miundombinu tu, zaidi ya asilimia 96% is your job kuhakikisha u tackle poverty

Nyanoko ebhe....!
 
ha ha ha ha aisee mzee ametema vina eti akimbie uwanja wa taifa mara moja tu akimaliza kama hatutampeleka ICU
 
Dialo Tv na Radio zako wafanyakazi wanalalamika sana juu ya Rushwa ya ngono kwa wafanyakazi wa kike , mishahara mibovu, full unyanyasaji nenda kasafishe nyumba yako kwanza kabla ya kuleta uongo wako hapa JF.

Hivi wewe huyo fisadi wako lowassa amekuajili na anakuripa shilingi ngapi? ili umpingie kampeni ya uongo kiasi hicho.
 
Ccm wenyewe ndio watafanya kampeni za mwakani zisiwe ngumu kwa Wapinzani maana wanajianika vya kutosha........
 
Hii trailer tu...Lowassa ni mzizi wa uchafu wa kifisadi hapa nchini kwa sasa.
Hebu jiulize:

"Kwa nini hakuna mtaka urais hata mmoja kati ya waliokwishajitokeza mpaka sasa aliyediriki kutamka ya kwamba vita dhidi ya ufisadi itakuwa agenda yake kubwa akiingia ikulu 2015? Jibu ni rahisi; nalo ni kwamba ndani ya CCM ajenda ya vita dhidi ya ufisadi ni ajenda ya kuikwepa kama ukoma kama mtu anataka ateuliwe kugombea urais.

Na inakuwa hivyo kwa sababu wenye nguvu za pesa na wenye uwezo wa kushawishi wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM wakuchague ugombee urais, karibu wote ni washiriki wa ufisadi mkubwa wa aina moja au nyingine nchini
."

Haya nimeyanukuu kutoka TAFAKURI JADIDI ya Johnson Mbwambo-Raia Mwema ya leo.
 
hii ndiyo CCM ninayoifahamu ikifika wakati wauchaguzi nikuumbuana kwa kwenda mbele 2005 walimuumbua Dr Salim leo tunaona matunda yake haya refa kaishapuliza kipenga mpira uko kwenye goli la Lowassa............
 
"Ushauri wa bure kwa wapambe wa
Lowassa: Kuleni fedha yake maana ni
halali yenu, fedha za kukwapua kwa njia
zisizo halali ni haki ya kila mtu
kuzitafuna, ila Urais hatopata.Kidumu
Ccm." Dr Diallo

*Huo ushauri hapo nami naanza.kuufanyia kazi kuna mshikaji frienda of Low-hasa ananiunga nami nijilie pesa kiulaini.
 
ETI KAMA MZIMA akazunguke uwanja wa taifa , akithubutu ICU INAMNGOJA ! HII IMEKAAJE WAKUU ?
 
"Ushauri wa bure kwa wapambe wa
Lowassa: Kuleni fedha yake maana ni
halali yenu, fedha za kukwapua kwa njia
zisizo halali ni haki ya kila mtu
kuzitafuna, ila Urais hatopata.Kidumu
Ccm." Dr Diallo

*Huo ushauri hapo nami naanza.kuufanyia kazi kuna mshikaji frienda of Low-hasa ananiunga nami nijilie pesa kiulaini.

Dah! Eee bhana hiyo imekaa vizuri sana !
 
Tutasikia mengi sana kabla ya october 2015. Baada ya uchaguzi visasi,vifo na matukio mengi,
 
tutajuaje kama hii post in ya dialo?
Mbona hajakanusha??? Dialo ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa na ukisoma Mtiririko Mzima ni UCHAFU MTUPU WA LOWASSA wa kuuwania URAIS ni bora ajipumzikie kwani kwenye CC hatapita na kwenye NFC atamkuta Diallo na kundi
Kama wanasema Lowassa ni mzima, naomba akakimbie uwanja wa Taifa azunguke hata mara moja kama hataishia ICU. Na kama ni mzima, anatumia fedha za nchi kwenda kutibiwa nini ujerumani kila wakati au
 
"Ushauri wa bure kwa wapambe wa
Lowassa: Kuleni fedha yake maana ni
halali yenu, fedha za kukwapua kwa njia
zisizo halali ni haki ya kila mtu
kuzitafuna, ila Urais hatopata.Kidumu
Ccm." Dr Diallo

*Huo ushauri hapo nami naanza.kuufanyia kazi kuna mshikaji frienda of Low-hasa ananiunga nami nijilie pesa kiulaini.


Mkuu wangu, huyu Mzee Diallo ana busara sana!! Msome katikati ya mistari utamuelewa!! Anakipenda sana chama chake ndio maana amekipa ushauri "kuntu" usiopepesa macho!! Ccm fuateni ushauri wa huyu Mzee!!
 
Back
Top Bottom