Diallo amlipua Lowassa

Diallo amlipua Lowassa

katibu mkuu wa rais mzee luhanjo ndiyo alimfukuza diallo uwaziri, halafu akadanganya umma eti na yeye amestaafu alijiuzulu kama lowassa

mkuu na wewe ni timu gani? Tujuzane ili tukujue maana c.c.m unayoiongelea ilisha choka mithili ya mgonjwa wa ukoma!
 
Katibu Mkuu wa Rais Mzee Luhanjo ndiyo alimfukuza Diallo Uwaziri, halafu akadanganya umma eti na yeye amestaafu alijiuzulu kama Lowassa

Toka lini Waziri uwa anafukuzwa kazi na Karibu Mkuu?kama nyie ndio wapambe wa Lowasa basi ndio maana mnampoteza kuanza kurusha mawe wakati yupo kwenye nyumba ya vioo.

Na hayo ya Diallo ni trailer tu, uchafu wa Lowassa ukianza kusemwa hatatazamwa ata usoni.Lowassa Hasafishiki.
 
Dah! Shughuli zimeanza rasmi kuelekea 2015 asiye na mtoto abebe jiwe. Mkuu Pasco mashambulizi dhidi ya mgombea wako kwa minajili ya kumparua yameanza rasmi kutoka kwenye ile kambi ya nanihii. Pita huku uje umtetee mgombea wako ambaye umeshasema mara nyingi hapa jamvini kwamba "unamkubali sana"
 
Last edited by a moderator:
mimi naona aibu mtu kama dialo naye anajaribu kupimana ubavu na mzee lowasa lakini tunaotoka lakezone sidhani kama kuna mtu hamjui dialo na maisha yake ya kisanii na ndiyo maana naendelea kumpuza mtu kama dialo unasema wapambe wa lowasa wale pesa wewe unafanya nini nafkiri jitafakari upya kama lowasa ni size yako?
 
antony dialo std seven au unachuki na mzee lowasa baada ya kukukata kuwa una uwezo tunajua utaongea mengi sana kuhusu mzee lowasa ila utayumbisha chochote
 
Dah! Shughuli zimeanza rasmi kuelekea 2015 asiye na mtoto abebe jiwe. Mkuu Pasco mashambulizi dhidi ya mgombea wako kwa minajili ya kumparua yam kwenye ile kam
Atakuwa usiogope yupo njiani mgombea wako ambaye umeshasema mara nyingi hapa jamvini kwamba "unamkubali sana"
atakuja usiogope mkuu hii vita tutashinda na ndo Safari ya matumaini umeanza
 
Last edited by a moderator:
Kweli lowasa yupo peupe sasa watu hawatishwi tena na ubabe wake wanasema kweli tupu yote yatakuwa wazi tu.
 
Yaani lowasa ana rotate kwenye vichwa vya watu utadhani matangazo ya kampuni za simu za tigo voda na Airtel yaani kila dakika, kila siku. Tuliosoma masuala ya marketing hii ni advantage kwa mamvi kwenye safari yake... Ni sawa na CCM wanavyoiimba chadema kucha kuchwa...ni advantage kwa sisi makamanda
 
Yaani lowasa ana rotate kwenye vichwa vya watu utadhani matangazo ya kampuni za simu za tigo voda na Airtel yaani kila dakika, kila siku. Tuliosoma masuala ya marketing hii ni advantage kwa mamvi kwenye safari yake... Ni sawa na CCM wanavyoiimba chadema kucha kuchwa...ni advantage kwa sisi makamanda
Lakini kumbuka zipo sifa au matangazo ya aina mbili mazuri na mabaya haya ya lowasa ni matangazo mabaya anachafuka sana mzee lowasa ukweli mwingi unazidi kuwa bayana.
 
Back
Top Bottom