mkafrend
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,045
- 1,503
Katibu Mkuu wa Rais Mzee Luhanjo ndiyo alimfukuza Diallo Uwaziri, halafu akadanganya umma eti na yeye amestaafu alijiuzulu kama Lowassa
My God!
Kumbe Lowasa hawezi kuzunguka uwanja wa taifa hata mara moja?
Kumbe Lowasa aliyesema hivi karibuni kuwa hata utajiri badala ya ng'ombe 800 ana hisa vodacom?
Kumbe Lowasa anatumia fedha za nchi kwenda kutibiwa ujerumani?
Kumbe Lowasa alimkingia kifua haramia wa maliasili na utalii anayetesa wizara hiyo kwa sasa?
CCM tutamkataa mchana, tutamnyima kura za ndiyo mwaka 2015!