Diallo amlipua Lowassa

Mkuu wangu, huyu Mzee Diallo ana busara sana!! Msome katikati ya mistari utamuelewa!! Anakipenda sana chama chake ndio maana amekipa ushauri "kuntu" usiopepesa macho!! Ccm fuateni ushauri wa huyu Mzee!!

sure mkuu vijana kwanini tuhangaike wakati kuna mapesabya bure kutoka kwa mamvi kweli ushauri wa Dialo ni kuntu.
 
Mkuu wangu, huyu Mzee Diallo ana busara sana!! Msome katikati ya mistari utamuelewa!! Anakipenda sana chama chake ndio maana amekipa ushauri "kuntu" usiopepesa macho!! Ccm fuateni ushauri wa huyu Mzee!!
Dialo ni mzee daa! Kumbe tunafanya mijadala watoto na wetu.
 
Mwaka huu lazima mtungemimba za uongo.
 
kajiunga jf kwa ajili ya suala hilo tu, kila kitu zero isipokuwa posts ndo 1. JF babalao
 

Dialo ni academic dwarf na kinara wao is completely weak hauziki. Ni mtu wa kukurupuka akamuombe mzee Kitine msamaha kwa uongo aliyoupika dhidi yake.
 
Je ? Unawajua wana ccm wote waliotangaza nia ? Je? Umejiuliza ni kwa nini Lowasa pekee ndiye anaandamwa ? Hayo unayoyaita Madhambi hayapo kwa hao wengine ?!

Ndio maana tunasema ndani ya CCM hatuamini km kuna mtu anaweza kuivusha hii Nch tunachoshuhudia ni watu kugombania kwenda IKULU kwiba 50yrs watu bado tunazungumzia Ukosefu wa maDAWATI Realy? then watu hao waliokulia kwenye hiyo Serikali wanatudanganya kwamba wanaweza cc wengine hatuna Imani na mwana CCM yoyote,,,,,!!!
 
Kapiga penyewe wapi ? Povu lipi? Hivi kwa Akili yako ndogo Dialo anaweza kumsumbua lowasa ? Acha kuishi kwa mazoea jitambue huu ulimwengu wa Digtal watu Kama Dialo hawana nafasi ya kusikilizwa wanapuuzwa kwa kwenda mbele.
Njaa mbaya sana,minyoo imekujaa hadi kichwani. fanya kazi kijana jitume upate chako acha kushabikia wanaume wenzio, utaolewa!
 
Hadi raha! Mwakani ni burudani tupu kwani kitakacho leta burudani murua ni minyukano ndani ya CCM na hapo siri zote zitafichuka. Ni mwaka wa kuwajua wezi wote wa EPA "waliorudisha" pesa walizoiba na wasio "rudisha" Madhambi yote mpaka ya bosi wao tutayajua. Wavuane nguo tu tuone nani hajatahiriwa!
 

WOTE nyinyi mko sawa tuhuma zako za vitalu unatukumbusha ulivyokuwa unatoa majibu ya kibabe bungeni sio wewe na wala huyo unaemtaka mnatufaa nyie mko zizi 1 mnatofautiana MAPEMBE TU, KOSA LA LOWASA NI KUKUBALI KUKAA KIMYA KIPINDI CHA SAKATA LA RICHMOND laiti angejua watamtosa sidhani kama angekubali na leo hii tungekuwa na rais mwingine tangu 2008, kwani alichofanya LOWASA ni kumuokoaJK asianguke ila ndio ivyo tena, JK richmond anaijua, wakati LOWASA anaongea kwenye kikao cha NEC JK alikuwa ameinamisha kichwa chini, MZEE MKAPA akamcheki akajua huyu ndio anahusika akamnong'oneza kwamba twende lunch waliporudi VUA GAMBA YA NAPE ikaishia hapo hawa wote wanaotajwa kuusaka URAIS hakuna msafi, maradhi ya EL kama kweli anaumwa tusiyatumie kishabiki MWENYEZI MUNGU ndie anajua HATUJUI KESHO YETU
 

samahani mkuu! hapo nilimnukuu Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Mwanza Bw. Antony Diallo na sio maneno yangu!

  • :wacko:
 
Membe Ni kama popo, sio mnyama, sio ndege. Nani ampe uraisi popo? Akienda arabuni Ni muislam swala tano, akirudi bongo Ni mkristo. Huyu Joka la Mdimu Ni janga la kitaifa

Hapo umenena mkuu membe hafai kabisa kupewa nchi hajulikani kama muislam au mkristo ni hatari sana kwa uwahi wa taifa
 
Hapo umenena mkuu membe hafai kabisa kupewa nchi hajulikani kama muislam au mkristo ni hatari sana kwa uwahi wa taifa

Membe amehakikisha anamgombanisha JK na kila rafiki yake akitegemea urais ataupata kwa mgongo wa familia ya JK huku akisahau kuwa nani alimuweka JK madarakani.
 

Diallo huwa hawezi kufikiri kwa kina yeye ni mwanachama wa ccm halafu ni kiongozi hakutakiwa kutoa kashfa kama hz ambazo hata hajasikia zikisemwa na el.cjui anafanya haya kwa faida ya kukiunganisha chama au kusambaratisha,naona ndo type akina paul makonda na wenzake samuel malchela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…