Diallo amlipua Lowassa

Diallo amlipua Lowassa

asante mzee Diallo mfukunyue huyo low-asa mapema wananchi tupate kumfahamu.

Asante ya nini?afukunyue nini ? Wananchi wapi? ni wewe pekee na wajinga wachache sana wanaweza kukaa na kumsikiliza Dialo, usifikiri kwa kisogo jitambue.
 
Nimekaa najiuliza hivi huyu aliyeandika hii habari ni Dialoau la?Kama kweli ni Dialo basi Rais alifanya makosa makubwa sana kumchaguaDiallo kuwa Waziri wa Nchi hii wakati ule.Pia niwapongeze wananchi wa ILEMELAkwa kumtambua na kujua uwezo mdogo wa kiuongozi alio nao na hatimae kumpigachini kwenye ubunge.Hebu niwaulize wana CCM wenzangu hivi Mwenyekiti wa CCM Mkoa tena wa Mwanza na mjumbe wa NEC anawezaje kuandika vitu vya ainahii?Hivi walie waliomchagua kumpa uenyekiti waliangalia kitu gani hasa? Maanaanatia aibu sana mpaka naona aibu.Nilitegemea Diallo kutokana na utajiriwake,nafasi alizo nazo ndani ya Chama na alizowahi kushika asingehangaikakabisa na Siasa za mitandaoni kuandika vitu ambavyo havitamsaidia kuongeza aukukuza ukubwa wa biashara zake Zaidi ni za kujionyesha yuko upande wa kundigani katika kinyang’anyilo cha Urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi.
Ndugu zangu Dialo ni mjumbe wa NEC kikao ambacho hupitishamajina 5 ya wagombea na katika hali ilivyo ndani ya kikao hicho pia kunawajumbe wa NEC wengi sana wanao muunga mkono Lowasa katika mbio za kuutakaUongozi wa nchi yetu.Tujiulize swali kutatokea nini ndani ya kikao hicho mwaka2015? Kama viongozi wenyewe ndio kama Dialo si watapigana ngumi na mwisho wakekusambaratika bila kufikia muafaka?
Dialo kama mjumbe wa NEC atajisikiaje au atafanya nini iwapoMh Lowasa ndio atachaguliwa kupeperusha bendera ya CCM na kuwa Rais wa 5 waTanzania? Sisi yetu ni macho na masikio ila siku hiyo itafika na wale wotewaliojiapiza kwenye mitandao au vyombo vya habari tutawaona maana huwezikujifanya wewe ndio mungu na unayoyawazawewe ndio sahihi.
Kwa hali ilivyo watu kama Diallo wamemuongezea umaaurfu sanaMh Lowasa na wananchi wengi sana wanaamini Lowasa ndio atakayeisaidia Tanzaniakwa sasa kwani mti wenye matunda mazuri ndio hushambuliwa siku zote.Hebu nduguzangu kesho kila mmoja wetu ajaribu kufanya research ya kuuliza watu watano 5ni nani wanataka awe Rais wa Tanzania? Majibu mengi yatakuwa ni Mh LOWASA nikwa nini? Dialo amka unajidhalilisha sana.
Kosa kubwa afanyalo Dialo ni kufikiri yeye ni kila kitu Mkoawa Mwanza yaani wajumbe wote wa Halmashauri kuu na Mkutano mkuu kutoka kanda yaziwa wanamsikiliza yeye akisema tumpigie kura Fulani basi wotewanafuata,anajidanganya sana kwani wapiga kura wote wa 2015 wana akili sana nani tofauti sana na mwaka 2010 au 2005.Dialo akae asubiri atapata majibu ya kandaya ziwa ndio atajua yeye ni mwenyekiti wa Chama tu wala hana mamlaka yakuwapangia wana CCM wampitishe nani.
Halafu najiuliza hivi anayemtuma Dialo afanye hayaanayofanya anajisikia furaha au anajiharibia? Anakisaidia chama kujenga UMOJAau Kujenga UADUI? maana lazima anajulikana.

Mkuu,,nawewe ndo umendika nn? yaani nyinyi hamtaki Wananch wajue madhambi ya wagombea wenu mnataka muendelee kuwauzia watu mbuz kwenye gunia km 2005 kwa lipi mtu kutoka ccm akaweza kuisaidia Nch hii mnadhani bado watu wengi ni mapunguaan? Tunachojua nyote mnaongozwa na SIASA za TUMBO
 
Uzuri ni kwamba Lowassa anawapuuza watu kama hawa wakina Diallo hana muda wa kubishana nao, maana siyo level zake wataangaika sana ila mwisho wa siku time will tell mwakani siyo mbali

Ukimya wa EL Kwa ma snitch kama hawa ni njia bora na sahihi, watahangaika sanaa wanachokifanya ni kama kupiga ngumi kinyago.
 
Rais zitto kabwe tu hawa wengine msiba tu..sasa yeye diallo kama aliyajua haya kwa nini asiyaseme kitambo na kuyaripot sehemu husika?

Safi sana mkuu, zitto ndiye raisi. sema umri tu.
 
Mkuu,,nawewe ndo umendika nn? yaani nyinyi hamtaki Wananch wajue madhambi ya wagombea wenu mnataka muendelee kuwauzia watu mbuz kwenye gunia km 2005 kwa lipi mtu kutoka ccm akaweza kuisaidia Nch hii mnadhani bado watu wengi ni mapunguaan? Tunachojua nyote mnaongozwa na SIASA za TUMBO

Je ? Unawajua wana ccm wote waliotangaza nia ? Je? Umejiuliza ni kwa nini Lowasa pekee ndiye anaandamwa ? Hayo unayoyaita Madhambi hayapo kwa hao wengine ?!
 
Diallo mlia njaa tu kanafiki ka siku zote.
maovu yake tumeweka ubavuni et leo anatumiwa na kambi ya mtu fulani kumchafua lowasa!
hiyo star tv na redio zake zimetokea wapi!
AFANYE BIASHARA, SIASA IMEMPITA NYUMA

Nimepitia kwa ukaribu uzi huu wa vita ya maneno kati ya timu EL na Diallo. Watu wameacha kujadiri kilicho wekwa mbele yetu na kujikita kwenye personal issues. Je ni kweli EL alikwamisha dili la ccm na MTN? Je afya ya mamvi ni mgogoro? Je ni kweli EL aliwasaidia vodacom SA na akapatiwa hisa za vodacom tz? Je watoto wa EL ni super-dealer wa voda? Hayo ndo tujadiri hapa tuache kuwazia makalio. Kwa ufahamu wangu vodacom tz inamilikiwa na vodacom SA, Roastam aziz, peter noni na alphatel!! Sasa alphatel ni nani? Watetezi wakina pasco watusaidie
 
Tuhuma za Kundi la Makuwadi wa EL dhidi yangu hayana msingi wowote na kama ni kweli Edward amewapa waziseme kwangu na kuhusisha Mheshimiwa Rais ni mwendelezo wa EL kumdharau Rais ambaye alimpa madaraka makubwa na kosa likiwa kukubali ajiudhuru baada ya kufanya madudu aliyoyafanya. Huu ni mwendelezo wa kumsumbus Rais ambao ulianza tangu 2008 baada ya kujiuzulu uwaziri mkuu. Anayoyasema haya sipendi kuyajibu ila kwa ajili ya kuweka kumbukumbu sawa, imebidi niyajibu lakini nikizingatia kuwa sitaweza kuyajibu yale ninayoyajua chini ya kiapo:

1: Sijamtuma Mzee yeyote kwenda kwa Lowasa kwa sababu sio waziri mkuu tena na hata kama angekuwa bado waziri mkuu nisingeweza kumwambia mtu akaniombee vyeo kwa Lowassa. Hao wazee aliowataja wapo Mwanza na mnaweza kupata namba zao za simu na kuwauliza kama nilishawahi kufanya hivyo. Pili, mwaka 2003/4 haukuwa mwaka wa uchaguzi, ilikuwaje niende kuomba cheo wakati niliingia baraza la Mhe. Rais Mkapa 2001? Wakati huo Lowassa hakuwa waziri mkuu! Tatu, mwaka 2004 sijaonana na JK na Karamagi hajanishawishi kumuunga mkono JK mwaka 2005. Mimi ndiye niliyetumwa kumwambia Lowassa asigombee 2005 kwavile dhambi na tuhuma dhidi yake zilizotolewa na Mwalimu zilikuwa kwenye mioyo ya watanzania na asingeweza kupata kura za ushindi isipokuwa angempunguzia JK kura zake na wote kukosa. Karamagi tumekutana naye bungeni baada ya kuchaguliwa ubunge baada ya kifo cha Mhe. Kinyondo. Mimi nimezaliwa na kukua kwa kuzingatia nidhamu ya Kisukuma, sijalelewa kihuni kufika kumsema mtu kama JK. Namsema EL kwa sababu ni mchafu, na sasa sitayasema yaliyo mazito au machafu zaidi dhidi yake, hadi nitakapoona kweli kachukua fomu kugombea Urais! Mimi sijasema Lowassa alidhulumu CCM kupata hisa Vodacom, nilichosema CCM ilikuwa iwe mbia wa MTN, kampuni iliyonyimwa leseni wakijua fika kuwa ilikuwa ikisaidie chama, badala yake wakafanya njama kuvunja tume ya mawasiliano kihuni, na hapohapo wakaipatia vodacom leseni lowasa kwa kutumia watoto wake, alipata walikipata. Ushahidi kuhusu hili ni kampuni yake kupewa U-Super Dealer wa Vodacom ambayo uliwafanya wanufaike kwa kuuza simu nchi nzima.

Kama wanasema Lowassa ni mzima, naomba akakimbie uwanja wa Taifa azunguke hata mara moja kama hataishia ICU. Na kama ni mzima, anatumia fedha za nchi kwenda kutibiwa nini ujerumani kila wakati au Ujerumani nako siku hizi kuna waganga wa kienyeji? Pili kwanini alikwenda kuombewa kwa Emmanuel Ministries huko Nigeria? Kampeni za Urais zinahitaji afya nzuri, sio mzaha kuweka mgonjwa akatufia kwenye jukwaa! Kuhusu tuhuma ya rushwa toka kwa Kimaro, nina hakika Kimaro bado yupo hai, na kama ni mkweli aseme ukweli. Kimaro ni rafiki yangu na nilimshawishi akawekeza hoteli ya Nyumbani sasa ni JB Belmonte, Mwanza. Sijachukua fedha ili nimpatie kitalu kwavile yeye sio mwindaji na sijasikia kuwa ana hiyo biashara. Ninachofahamu ana mahoteli na ndiyo biashara yake. Rais yupo kama alishaniita kunieleza hilo anaweza akasema, ni mkweli. Tuhuma za mimi kuhongwa na Kimaro alizianzisha Lowassa baada ya mimi kutaka kumuondoa Mkurugenzi wanyama pori wizara ya Maliasili. Mkurugenzi huyo alikuwa na mahusiano naye na baadae walikuja kuoza watoto wao. Hilo kila mtanzania analifahamu, na alimtetea sana abaki wizarani wakati huo. Lowassa yupo kwenye mtandao wa yote yanayosemwa kuhusu wanyama pori. Pia tuhuma za kumtapeli aliyekuwa Rais wa Zanzibar, Mhe Karume ndio nazisikia leo. Karume sijafika nyumbani kwake Zanzibar na wala hata alipokuwa Ikulu Zanzibar. Yupo na anaweza kuulizwa, ni mkweli atasema yaliyo kweli.

Huyo msichana anayesemekana nilimpa mimba, mhudumu wa Dodoma hotel, ndiyo namsikia leo, na kama yupo aniletee mtoto huyo kwani ndio nasikia kwenye watu wa Lowassa baada ya kuweweseka na machache tu tuliyoyaweka hadharani. Mwisho la kupewa fedha na mtuhumiwa wa IPTL nalo jipya simfahamu, labda Lowassa anamfahamu! Tatizo la huyu Lowassa, ni kupata URAIS, asipoupata sijui kama atabaki na afya ya kuridhisha. Anatuhumu watu tusiounga mkono jitihada zake tu, je wanaogombea watakuwa na hali gani mbele yake? Ushauri wa bure kwa wapambe wa Lowassa: Kuleni fedha yake maana ni halali yenu, fedha za kukwapua kwa njia zisizo halali ni haki ya kila mtu kuzitafuna, ila Urais hatopata.Kidumu Ccm.
[h=2]uanguka kwa Hekalu La TB Jushua na Utabiri wa Lowasa kuwa rais!![/h]
Edward Lowassa alianza na Babu wa Loliondo ambapo Marehem Askof Thomas Laizer KKT alikuwa mstari wa Mbele .
Wakati Tiba la Kikombe ikiyumba kutokana na mashambaulizi ya baadhi ya watumishi wa Mungu waaminifu, Lowassa alikimbilia haraka Nigeria na kule ukatoka utabiri kuwa ,Lowassa ndiye Rais 2015.

Baada ya hapo nguvu za Lowassa zimeimarika sana kama kazi ya TB ilivyoimarika hadi CCM wanamuogopa Lowassa.

Kwa sasa Jengo la Tb Joshua limeporomoka na halitainuka tena na pamoja na TB Joshua kutabiri mambo mengi kwa kutumia miungu yake lakini hakuweza kutabiri anguko la jengo lake!!
Sasa yamkini Lowassa ambaye ni muumini wa TB Joshua ajitokeze kwenda huko kutoa pole kama alivyotoa msikiti wa idrisa

Hata hivyo ni hatima ya imani ya Lowassa kufuatia utabiri wa TB ambaye ameshindwa kutabiri anguka la Jengo lake??

Edward Lowasa, atabiriwa na TB Joshua?


13/06/2011 by Strictly Gospel
41

Pichani Lowasa akiwa kanisani kwa TB Joshua kama anavyoonekana kwenye Emmanuel TV, 12 June 2011
MBINU za Edward Lowassa kutaka kurejea kileleni katika ulingo wa kisiasa zimemnasa mbunge wa Kilindi (CCM), Beatrice Shelukindo, imefahamika. Beatrice ambaye alikuwa akijitambulisha kuwa mmoja wa “wapambanaji dhidi ya ufisadi,” waliopachikwa jina la “Mitume kumi na miwili,” sasa anatajwa kuhamia rasmi mtandao wa Lowassa. Gazeti hili limepata ushahidi wa maandishi ya mkono wa Beatrice mwenyewe yanayoonyesha kuwa amekuwa mfuasi muhimu wa Lowassa kiasi cha kushawishi wengine kujiunga katika mtandao wake. Akiandika kwa Pindi Chana, mbunge wa Viti Maalum (CCM), tarehe 14 Februari mwaka huu, Beatrice alieleza mambo matatu katika ujumbe wake kwa Chana. Kwanza, kumshukuru Chana kwa kukubali kulinda kura zake. Pili, kumshawishi kumuunga mkono Lowassa. Tatu, kumweleza juu ya ulokole wake na “mtumishi aliyepakwa mafuta” kutoka Nigeria. Beatrice anamwambia Chana kuwa Lowassa ndiye kampeni meneja wake. Hii ilikuwa katika uchaguzi wa makamishina wa Bunge; nafasi aliyogombea na kushinda. “Mungu ni wa ajabu, (Lowassa) ameniombea kura pasipo maelezo. Ameandaa lunch na dinner (vyakula vya mchana na usiku) ambako amekuwa akiniombea kura. Ana njia za ajabu za kufanya mambo. Ahsante kwa kukubali kuhesabu kura,” inasema sehemu ya ujumbe huo. Chana, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu (CC) na Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM, ndiye alihesabu kura za Beatrice kwenye uchaguzi wa kutafuta makamishina wa Bunge. Ni kwenye ujumbe huo ambamo Beatrice anatoboa kuwa siri ya ushindi wake ni Lowassa aliyekuwa kampeni meneja wake. Katika kusisitiza hoja yake, Beatrice anasema, “Nimezungumza na TB Joshua wa Emmanuel TV Nigeria aliyenipa unabii kuwa rais ajaye Tanzania ni Edward Lowassa, nikamuambia haiwezekani kwani amechafuka sana.” Anasema Joshua alimjibu, “…alikuwa amechafuka sasa amesafishwa kwani katubu. Akaniambia his past is over (maisha yake ya nyuma si kitu). Akaongeza kwa kusema, wewe Beatrice ningeangalia your past (maisha yako ya nyuma) pengine nisingekuombea kabisa. Akasema my past is over (hajali maisha yangu ya nyuma),” inasema sehemu ya ujumbe huo wa Beatrice. Hata hivyo, Beatrice hakueleza katika waraka wake kwa Chana maisha yake ya nyuma yalikuwa vipi. Wala hajaeleza alifanya nini, hadi kuamini kuwa kama Nabii Emmanuel angeyatazama, basi asingemuombea. Kuvuja kwa taarifa hizi kumekuja wiki tatu baada ya Lowassa kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge, Ulinzi, Usalama na Mambo ya Nje. Mume wa Beatrice, William Shelukindo alikuwa mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ambayo iliongoza harakati za kuundwa Kamati Teule ya Bunge iliyochunguza mkataba tata wa Richmond. Ni taarifa ya kamati hiyo iliyosababisha Lowassa kujiuzulu wadhifa wake wa waziri mkuu, Februari 2008. Kwa mujibu wa watu waliokaribu na Beatrice na kwa ushuhuda wake mwenyewe, mwanasiasa huyo ameamua kujisalimisha kwa Lowassa kwa kile kinachoelezwa kuwa “Lowassa ndiye rais ajaye wa Tanzania.” Aidha, kupatikana kwa taarifa hizi kumekuja huku kukiwa na juhudi kubwa zinazofanywa na Lowassa na kundi lake kutaka kujisafisha kwa lengo la kujitosa katika kinyang’anyiro cha urais mwaka 2015. Miongoni mwa mikakati aliyojiwekea Lowassa na kundi lake ni kujitokeza katika maeneo yote muhimu na kutoa kauli ambazo zitafanya wananchi waanze kumkubali kuwa ni kiongozi anayefaa. Katika kutekeleza mkakati huo, Januari mwaka huu, Lowassa alijitokeza kuzungumzia vurugu zilizotokea mkoani Arusha zilizotokana na mvutano katika uchaguzi wa meya wa jiji hilo kati ya CCM na CHADEMA. Katika mnyukano huo, watu watatu walipigwa risasi na polisi na kufariki dunia baada ya polisi kutumia nguvu isiyo ya kawaida kuzima maandamano ya CHADEMA. Kauli hiyo ya Lowassa ilikuwa tofauti na msimamo wa Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba aliyemtaka kuwasilisha maoni yake katika vikao vya chama badala ya kutumia vyombo vya habari. Kauli nyingine ya Lowassa ilihusu nyongeza ya viwango vya mishahara kwa wafanyakazi, kutokana na kile alichoita mfumuko wa bei kuwa mkubwa. Bali wiki moja iliyopita, Naibu Katibu Mkuu wa vyama vya wafanyakazi nchini (TUCTA), Nicholas Mganya alimtuhumu Lowassa kwa kutoa kauli hiyo akisema ana ajenda ya siri nyuma yake. Mgaya alisema TUCTA haihitaji msaada wa Lowassa katika kusimamia madai yao. Alisema “mbunge huyo wa Monduli inaonekana ana ajenda yake mgongoni.” Hatua nyingine ya Lowassa katika kujikarabati kisiasa ni kugombea na kupata nafasi ya Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama. Lowassa amekuwa pia akihudhuria hafla nyingi, hasa za madhehebu ya Kikiristo (KKKT) ambao anaonekana akitoa maoni mbalimbali kama ilivyokuwa Jumapili iliyopita ukumbi wa Dimaond Jubilee kwenye uzinduzi wea albamu ya moja ya kwaya za injili. Kwenye kusanyiko hilo, Beatrice naye alikuwepo. Lowassa alimtaka asome maoni ya gazeti la The Citizen juu ya ushirikina uliokithiri nchini; jambo ambalo Lowassa alizungumzia kwa urefu. ----------- lilipowasiliana na Beatrice ili kupata maoni yake juu ya ushwahiba wake mpya na Lowassa, mahojiano yalikuwa kama ifuatavyo: Mwandishi: Tusaidie maelezo kidogo juu ya ujumbe uliomwandikia Mheshimiwa Pindi Chana kumjulisha kuwa uliambiwa Edward Lowassa atakuwa rais. Ni kweli? Beatrice: Barua ameandika nani na umeipata wapi? Mwandishi: Hii barua fupi – memo ndani ya Bunge, uliposema Mheshimiwa Lowassa ambaye amesimamia vizuri kura zako za ukamishna wa Bunge. Beatrice: Sina taarifa hiyo. Wala siikumbuki. Unajua ndani ya Bunge tunaandikiana mambo mengi, tena mengine ya utani tu. Na mimi na Mheshimiwa Chana sote ni “walokole,” tunafanyiana utani sana. Mwandishi: Kwani mheshimiwa Shelukindo, mkiwa ndani ya bunge kuna utani mwingi, kwamba huwa mnaandikiana utani sana? Beatrice: Kabisa, unajua tunaandika mambo mengi. Na kama unaandika kwa utani kwa mwenzako inabaki hivyo ni utani tu. Sasa tatizo hao wanaowaletea mambo haya wanatumia mambo haya kutafuta mipango yao ya kufikia mwaka 2015. Alisema, “Mimi najua hakuna anayenibeba ndugu yangu. Mimi ni very solid (ngangari), sibebeki. Nakwambia, mbona mimi nina nguvu nyingi mimi mwenyewe; sihitaji kubebwa. Najua wanajaribu kuonyesha tunabebwa, lakini huo ni ujinga wao wa kufikiri. Mwandishi: Mheshimiwa Shelukindo, kwani nyie waheshimiwa huwa mnatafutana (kufitiniana)? Beatrice: Hiyo inafanyika sana, watu wakishakuwa na mambo yao wanatumia wengine kutimiza dhamira zao. Lakini mimi ninafikiria wananchi. Nimeshaamua kwamba Beatrice nashughulikia shida za wananchi jimboni. Ninatafuta njia za kuwaondolea umasikini, njaa na mambo kama hayo. Sasa wengine wanatafuta tu pa kunishika. Mwandishi: Kwa hiyo Mh. Lowassa ndiye alikuwa kampeni meneja wako katika kutafuta ukamishna pale bungeni, au siyo Mheshimiwa? Beatrice: Lakini kama anafanya kazi ya kampeni vizuri; ni vizuri tu. Isipokuwa kila mtu anajichukulia mwenyewe alivyo. Mimi ni mtu wa kazi sihitaji kusimamiwa hivyo. Na hebu tujadili hili; unajua kaka nyinyi mnafanya kazi kubwa. Sasa hii kusikia, sijui ----------- hivi, sijui hivi, pengine kuna watu wanachomekea vitu vyao. Tunapenda kazi yenu. Mwandishi: Mheshimiwa nakushukuru sana. Beatrice: Karibu sana tutafanya kazi pamoja. Akiwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, mume wa Beatrice, William Shellukindo, alikuwa na msimamo mkali dhidi ya watuhumiwa wakuu wa ufisadi nchini na hiyo ndiyo inayoelezwa kuwa sababu ya kushindwa kwake ubunge katika mchakato wa ndani ya CCM. Shellukindo alikuwa mbunge wa jimbo la Bumbuli mkoani Tanga kwa zaidi ya miaka 20, alishindwa katika kura za maoni na January Makamba, mtoto wa katibu mkuu wa CCM anayetajwa kuwa mfuasi wa mtandao wa Lowassa. S0urce by ----------- – 9 March 2011
 
Join Date : 5th September 2014
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received: 0

Likes Given: 0



Hizi njaa mbaya jamani! Maana umejiuliza na kujijibu mwenyewe.
Unajua ukikubali kutumiwa kwa manufaa ya mtu...... you defeat the purpose of you being born......! Shtuka ndugu...find something useful to do....


Hakuna jambo linalostaajabisha na kuudhi kama pale mtu anapoacha kufanya counter argument na badala yake akaanza kumjadili au kum-attack mtoa mada. Hii ni tabia ya kijinga sana. Ile sifa ya jamii forums kama jukwaa la great thinkers inapotea kwa kasi ya ajabu.

Mtu akitoa madai/ hoja ya uongo, jibu kwa nguvu ya hoja kuonyesha ukweli/ usahihi ni upi. Toka enzi na enzi hii ndio namna mijadala ya watu wazima na wasomi ilivyokuwa inafanyika,hii ndio namna pekee na halali kimantiki ya kujibu hoja mtu aliyepevuka kiakili anayotumia. Anything more or less than that fact is nothing but rundo kuuuuubwa la takataka na uchafu.
 
Siamini kama kweli ni Dialo aliyeandika haya, Nimesoma na kuishi kwa muda na wasukuma, ni watu smart sana . Kama ndiye aliyeandika haya amepotoka sana na hana pa kuficha uso wake.
 
Tuhuma za Kundi la Makuwadi wa EL dhidi yangu hayana msingi wowote na kama ni kweli Edward amewapa waziseme kwangu na kuhusisha Mheshimiwa Rais ni mwendelezo wa EL kumdharau Rais ambaye alimpa madaraka makubwa na kosa likiwa kukubali ajiudhuru baada ya kufanya madudu aliyoyafanya. Huu ni mwendelezo wa kumsumbus Rais ambao ulianza tangu 2008 baada ya kujiuzulu uwaziri mkuu. Anayoyasema haya sipendi kuyajibu ila kwa ajili ya kuweka kumbukumbu sawa, imebidi niyajibu lakini nikizingatia kuwa sitaweza kuyajibu yale ninayoyajua chini ya kiapo:

1: Sijamtuma Mzee yeyote kwenda kwa Lowasa kwa sababu sio waziri mkuu tena na hata kama angekuwa bado waziri mkuu nisingeweza kumwambia mtu akaniombee vyeo kwa Lowassa. Hao wazee aliowataja wapo Mwanza na mnaweza kupata namba zao za simu na kuwauliza kama nilishawahi kufanya hivyo. Pili, mwaka 2003/4 haukuwa mwaka wa uchaguzi, ilikuwaje niende kuomba cheo wakati niliingia baraza la Mhe. Rais Mkapa 2001? Wakati huo Lowassa hakuwa waziri mkuu! Tatu, mwaka 2004 sijaonana na JK na Karamagi hajanishawishi kumuunga mkono JK mwaka 2005. Mimi ndiye niliyetumwa kumwambia Lowassa asigombee 2005 kwavile dhambi na tuhuma dhidi yake zilizotolewa na Mwalimu zilikuwa kwenye mioyo ya watanzania na asingeweza kupata kura za ushindi isipokuwa angempunguzia JK kura zake na wote kukosa. Karamagi tumekutana naye bungeni baada ya kuchaguliwa ubunge baada ya kifo cha Mhe. Kinyondo. Mimi nimezaliwa na kukua kwa kuzingatia nidhamu ya Kisukuma, sijalelewa kihuni kufika kumsema mtu kama JK. Namsema EL kwa sababu ni mchafu, na sasa sitayasema yaliyo mazito au machafu zaidi dhidi yake, hadi nitakapoona kweli kachukua fomu kugombea Urais! Mimi sijasema Lowassa alidhulumu CCM kupata hisa Vodacom, nilichosema CCM ilikuwa iwe mbia wa MTN, kampuni iliyonyimwa leseni wakijua fika kuwa ilikuwa ikisaidie chama, badala yake wakafanya njama kuvunja tume ya mawasiliano kihuni, na hapohapo wakaipatia vodacom leseni lowasa kwa kutumia watoto wake, alipata walikipata. Ushahidi kuhusu hili ni kampuni yake kupewa U-Super Dealer wa Vodacom ambayo uliwafanya wanufaike kwa kuuza simu nchi nzima.

Kama wanasema Lowassa ni mzima, naomba akakimbie uwanja wa Taifa azunguke hata mara moja kama hataishia ICU. Na kama ni mzima, anatumia fedha za nchi kwenda kutibiwa nini ujerumani kila wakati au Ujerumani nako siku hizi kuna waganga wa kienyeji? Pili kwanini alikwenda kuombewa kwa Emmanuel Ministries huko Nigeria? Kampeni za Urais zinahitaji afya nzuri, sio mzaha kuweka mgonjwa akatufia kwenye jukwaa! Kuhusu tuhuma ya rushwa toka kwa Kimaro, nina hakika Kimaro bado yupo hai, na kama ni mkweli aseme ukweli. Kimaro ni rafiki yangu na nilimshawishi akawekeza hoteli ya Nyumbani sasa ni JB Belmonte, Mwanza. Sijachukua fedha ili nimpatie kitalu kwavile yeye sio mwindaji na sijasikia kuwa ana hiyo biashara. Ninachofahamu ana mahoteli na ndiyo biashara yake. Rais yupo kama alishaniita kunieleza hilo anaweza akasema, ni mkweli. Tuhuma za mimi kuhongwa na Kimaro alizianzisha Lowassa baada ya mimi kutaka kumuondoa Mkurugenzi wanyama pori wizara ya Maliasili. Mkurugenzi huyo alikuwa na mahusiano naye na baadae walikuja kuoza watoto wao. Hilo kila mtanzania analifahamu, na alimtetea sana abaki wizarani wakati huo. Lowassa yupo kwenye mtandao wa yote yanayosemwa kuhusu wanyama pori. Pia tuhuma za kumtapeli aliyekuwa Rais wa Zanzibar, Mhe Karume ndio nazisikia leo. Karume sijafika nyumbani kwake Zanzibar na wala hata alipokuwa Ikulu Zanzibar. Yupo na anaweza kuulizwa, ni mkweli atasema yaliyo kweli.

Huyo msichana anayesemekana nilimpa mimba, mhudumu wa Dodoma hotel, ndiyo namsikia leo, na kama yupo aniletee mtoto huyo kwani ndio nasikia kwenye watu wa Lowassa baada ya kuweweseka na machache tu tuliyoyaweka hadharani. Mwisho la kupewa fedha na mtuhumiwa wa IPTL nalo jipya simfahamu, labda Lowassa anamfahamu! Tatizo la huyu Lowassa, ni kupata URAIS, asipoupata sijui kama atabaki na afya ya kuridhisha. Anatuhumu watu tusiounga mkono jitihada zake tu, je wanaogombea watakuwa na hali gani mbele yake? Ushauri wa bure kwa wapambe wa Lowassa: Kuleni fedha yake maana ni halali yenu, fedha za kukwapua kwa njia zisizo halali ni haki ya kila mtu kuzitafuna, ila Urais hatopata.Kidumu Ccm.
Jambo muhimu kuelewa ni kuwa ni kuwa Diallo is just another culprit!! haihitaji akili ya chuo kikuu kufahamu kuwa hili ni pandikizi lililofanikiwa kutinga katika safu za uongozi bahati mbaya!!. Diallo mama kuku wa shinyanga uliyemtelekeza hadi akapata stroke yupo au ameisha aga dunia! CCM imejaa viatu!!
 
hivi lowassa ameshaanguka mara ngapi jukwaani?majizi mkija kuacha kulumbana mtaikuta chadema ikulu...
 
Nimepitia kwa ukaribu uzi huu wa vita ya maneno kati ya timu EL na Diallo. Watu wameacha kujadiri kilicho wekwa mbele yetu na kujikita kwenye personal issues. Je ni kweli EL alikwamisha dili la ccm na MTN? Je afya ya mamvi ni mgogoro? Je ni kweli EL aliwasaidia vodacom SA na akapatiwa hisa za vodacom tz? Je watoto wa EL ni super-dealer wa voda? Hayo ndo tujadiri hapa tuache kuwazia makalio. Kwa ufahamu wangu vodacom tz inamilikiwa na vodacom SA, Roastam aziz, peter noni na alphatel!! Sasa alphatel ni nani? Watetezi wakina pasco watusaidie

Kwanza Tengua Kauli yako . Hii si vita ya Maneno Kati ya Lowasa na Dialo . Kumbuka hapa Lowasa hajaongea kitu yupo Kiimya tu, sasa watu wapo busy kujadili huu uzushi na Uchanganishi mpya Ulioanzishwa na Dialo ambaye anaonekana kucopy Yale Yale ya mtaani kisha kuja na Uongo wa kawaida akidhani utawasaidia kumshusha Chini Lowasa. Ebu jaribuni kutafakari ni kwa nini kila siku Lowasa , lowasa ? Wanaogopa nini ? Waacheni wananchi ndio wataamua Rais wao.
 
Kwa kuwa na wewe akili yako ni mgando,

ndiyo maana umeandika hivyo, hukujua kwamba ule uzi niliuleta hapa jamvini, kwa lengo ngani?
lengo langu lilikuwa ni kufikisha ujumbe kwa serikali na kwa watu, kwamba ni kwa nini wafanye biashara ile ili hari kuna watoto wandogo wa kike hamali pale.
wanajifunza nini? kupitia wale machangudoa.

hakuna cha lengo wala nini, mbona ulipohama ulituambia........kamanda kushindwa katika maisha sio wajibu wa serikali 100% bali kazi kubwa ya serikali ni kuweka miundombinu tu, zaidi ya asilimia 96% is your job kuhakikisha u tackle poverty
 
Dialo anaoneka mpuuzi tu, mbaya zaidi mtu unayemshambulia hana muda na wewe, Dialo wewe pambana kurudisha ubunge wako mipasho haitakusaidia.
 
Back
Top Bottom