minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 23,313
- 22,320
Dialo amepiga penyewe, naona team Lowassa povu linawatoka kama vile mmemeza paketi nzima ya Omo!
Kapiga penyewe wapi ? Povu lipi? Hivi kwa Akili yako ndogo Dialo anaweza kumsumbua lowasa ? Acha kuishi kwa mazoea jitambue huu ulimwengu wa Digtal watu Kama Dialo hawana nafasi ya kusikilizwa wanapuuzwa kwa kwenda mbele.