Diallo amlipua Lowassa

Diallo amlipua Lowassa

Dialo amepiga penyewe, naona team Lowassa povu linawatoka kama vile mmemeza paketi nzima ya Omo!

Kapiga penyewe wapi ? Povu lipi? Hivi kwa Akili yako ndogo Dialo anaweza kumsumbua lowasa ? Acha kuishi kwa mazoea jitambue huu ulimwengu wa Digtal watu Kama Dialo hawana nafasi ya kusikilizwa wanapuuzwa kwa kwenda mbele.
 
Join Date : 5th September 2014
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received: 0

Likes Given: 0



Hizi njaa mbaya jamani! Maana umejiuliza na kujijibu mwenyewe.
Unajua ukikubali kutumiwa kwa manufaa ya mtu...... you defeat the purpose of you being born......! Shtuka ndugu...find something useful to do....

Sijui kama ni mzima kweli....alioyaandika kwan hayana ukweli au?.

Mwambie babayako huyo akimbie mita 100 tuuu..uone majibu. acheni kuangaika rais ni DR. W.P.Slaa.
 
Amaaa kweli ivi huyu kasoma kweli ndo nini anamtuhumu mwenzake kwa mambo mazito waka kayasikia kwa watu wa pemben Huyu nae poyoyo kichwan ulojo tu umejaa

Anasaka Kiki kupitia jina la Lowasa lakini kasahau Kuwa hapa JF wengi wamepevuka kuluko yeye.
 
Join Date : 5th September 2014
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received: 0

Likes Given: 0



Hizi njaa mbaya jamani! Maana umejiuliza na kujijibu mwenyewe.
Unajua ukikubali kutumiwa kwa manufaa ya mtu...... you defeat the purpose of you being born......! Shtuka ndugu...find something useful to do....

Sijui kama ni mzima kweli....alioyaandika kwan hayana ukweli au?.

Mwambie babayako huyo akimbie mita 100 tuuu..uone majibu. acheni kuangaika rais ni DR. W.P.Slaa
 
Kapiga penyewe wapi ? Povu lipi? Hivi kwa Akili yako ndogo Dialo anaweza kumsumbua lowasa ? Acha kuishi kwa mazoea jitambue huu ulimwengu wa Digtal watu Kama Dialo hawana nafasi ya kusikilizwa wanapuuzwa kwa kwenda mbele.
Mada kama hizi minyoo, funza na wengine wa aina hiyo hawakosekani
 
Lakini kumbuka zipo sifa au matangazo ya aina mbili mazuri na mabaya haya ya lowasa ni matangazo mabaya anachafuka sana mzee lowasa ukweli mwingi unazidi kuwa bayana.

Acha hizo Ukweli mwingi upi ? Mnapika Uongo kisha mnataka uonekane Ukweli kwa wajinga tu, welevu wameshajua kitambo hata mje na nini mataishia kuwakata wajinga wajinga tu.
 
Sijui kama ni mzima kweli....alioyaandika kwan hayana ukweli au?.

Mwambie babayako huyo akimbie mita 100 tuuu..uone majibu. acheni kuangaika rais ni DR. W.P.Slaa
Mkuu, japo sikubaliani na urais wa Dr Slaa, ila nakubaliana na wewe kuwa hata ukimpa mita kumi, nakuhakikishia kuwa Lowasa hawezi kumudu hata kidogo
 
Nimekaa najiuliza hivi huyu aliyeandika hii habari ni Dialoau la?Kama kweli ni Dialo basi Rais alifanya makosa makubwa sana kumchaguaDiallo kuwa Waziri wa Nchi hii wakati ule.Pia niwapongeze wananchi wa ILEMELAkwa kumtambua na kujua uwezo mdogo wa kiuongozi alio nao na hatimae kumpigachini kwenye ubunge.Hebu niwaulize wana CCM wenzangu hivi Mwenyekiti wa CCM Mkoa tena wa Mwanza na mjumbe wa NEC anawezaje kuandika vitu vya ainahii?Hivi walie waliomchagua kumpa uenyekiti waliangalia kitu gani hasa? Maanaanatia aibu sana mpaka naona aibu.Nilitegemea Diallo kutokana na utajiriwake,nafasi alizo nazo ndani ya Chama na alizowahi kushika asingehangaikakabisa na Siasa za mitandaoni kuandika vitu ambavyo havitamsaidia kuongeza aukukuza ukubwa wa biashara zake Zaidi ni za kujionyesha yuko upande wa kundigani katika kinyang’anyilo cha Urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi.
Ndugu zangu Dialo ni mjumbe wa NEC kikao ambacho hupitishamajina 5 ya wagombea na katika hali ilivyo ndani ya kikao hicho pia kunawajumbe wa NEC wengi sana wanao muunga mkono Lowasa katika mbio za kuutakaUongozi wa nchi yetu.Tujiulize swali kutatokea nini ndani ya kikao hicho mwaka2015? Kama viongozi wenyewe ndio kama Dialo si watapigana ngumi na mwisho wakekusambaratika bila kufikia muafaka?
Dialo kama mjumbe wa NEC atajisikiaje au atafanya nini iwapoMh Lowasa ndio atachaguliwa kupeperusha bendera ya CCM na kuwa Rais wa 5 waTanzania? Sisi yetu ni macho na masikio ila siku hiyo itafika na wale wotewaliojiapiza kwenye mitandao au vyombo vya habari tutawaona maana huwezikujifanya wewe ndio mungu na unayoyawazawewe ndio sahihi.
Kwa hali ilivyo watu kama Diallo wamemuongezea umaaurfu sanaMh Lowasa na wananchi wengi sana wanaamini Lowasa ndio atakayeisaidia Tanzaniakwa sasa kwani mti wenye matunda mazuri ndio hushambuliwa siku zote.Hebu nduguzangu kesho kila mmoja wetu ajaribu kufanya research ya kuuliza watu watano 5ni nani wanataka awe Rais wa Tanzania? Majibu mengi yatakuwa ni Mh LOWASA nikwa nini? Dialo amka unajidhalilisha sana.
Kosa kubwa afanyalo Dialo ni kufikiri yeye ni kila kitu Mkoawa Mwanza yaani wajumbe wote wa Halmashauri kuu na Mkutano mkuu kutoka kanda yaziwa wanamsikiliza yeye akisema tumpigie kura Fulani basi wotewanafuata,anajidanganya sana kwani wapiga kura wote wa 2015 wana akili sana nani tofauti sana na mwaka 2010 au 2005.Dialo akae asubiri atapata majibu ya kandaya ziwa ndio atajua yeye ni mwenyekiti wa Chama tu wala hana mamlaka yakuwapangia wana CCM wampitishe nani.
Halafu najiuliza hivi anayemtuma Dialo afanye hayaanayofanya anajisikia furaha au anajiharibia? Anakisaidia chama kujenga UMOJAau Kujenga UADUI? maana lazima anajulikana.

Sasa na wewe umeandika nini hapa mbona uwezo wako pia unatia mashaka?!
 
Dah! Shughuli zimeanza rasmi kuelekea 2015 asiye na mtoto abebe jiwe. Mkuu Pasco mashambulizi dhidi ya mgombea wako kwa minajili ya kumparua yameanza rasmi kutoka kwenye ile kambi ya nanihii. Pita huku uje umtetee mgombea wako ambaye umeshasema mara nyingi hapa jamvini kwamba "unamkubali sana"
Mkuu BAK, asante kwa hii, naendelea kukiri, jamaa nanmkubali sana!, ila mimi pia ni muumini wa any publicity is promo, iwe ni good publicity or bad publicity, its publicity, hivyo wanachofanya hii kambi ya naniliu, ni kumpa promo tuu jamaa yangu!.

Nikija kwenye utetezi, sometime kukaa kimya bila kujibu chochote kwenye tuhuma utumbo utumbo, ni utetezi tosha!.

Thanks.

Pasco
 
Daillo jibu issue ya mauaji kaka....na issue ya kumbaka Grace mhudumu wa kuleana mwanza....tena mbaya zaidi mpaka ulimlawiti na kashatua dar ijumaa atakuwa na press confrance pamoja na Jane...pole sana this time your over
 
Mada kama hizi minyoo, funza na wengine wa aina hiyo hawakosekani

Minyoo nipo Tumboni mwako na mie ndiye nilikuletea njaa lakini ulikosea kwenda kuchukua Mlungula kwa wabaya wa Lowasa ili ushiriki kumchafua ingawa moyoni najua unamkubali Lowasa.
 
Lowassa akiwa raisi, nahama tanzania, bora nikawe mkimbizi,
kuliko kutawaliwa na fisadi namna hiyo.

CHEDEMA JUU,
 
Daillo jibu issue ya mauaji kaka....na issue ya kumbaka Grace mhudumu wa kuleana mwanza....tena mbaya zaidi mpaka ulimlawiti na kashatua dar ijumaa atakuwa na press confrance pamoja na Jane...pole sana this time your over

Dialo na Lowasa ni sawa na kichuguu na mlima Kilimanjaro , Dialo hana jipya kaamua kusaka Kiki kupitia jina la lowasa jawabu la Ujinga wake atalipata hapa hapa JF .
 
Mkuu, japo sikubaliani na urais wa Dr Slaa, ila nakubaliana na wewe kuwa hata ukimpa mita kumi, nakuhakikishia kuwa Lowasa hawezi kumudu hata kidogo
Mtahangaika sana mkuu...njooo fasta area D napita hapa naona Lweigwanan yuko fiti ile mbaya katika mazoezi...wananchi kibao wamemsimamisha japo wamsalimie hahahahahahaha Lowassa for 2015
 
Mkuu BAK, asante kwa hii, naendelea kukiri, jamaa nanmkubali sana!, ila mimi pia ni muumini wa any publicity is promo, iwe ni good publicity or bad publicity, its publicity, hivyo wanachofanya hii kambi ya naniliu, ni kumpa promo tuu jamaa yangu!.

Nikija kwenye utetezi, sometime kukaa kimya bila kujibu chochote kwenye tuhuma utumbo utumbo, ni utetezi tosha!.

Thanks.

Pasco

Mkuu hili la Afya ya mzee lina ukweli kiasi gani? Maana marathon ya kampeni sio mchezo. Atamaliza kweli?
 
Back
Top Bottom