Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,021
- 9,177
Naona kuna Juhudi kubwa za kumgombanisha LOWASSA na KIKWETE.
mkuu membe anatumia watu kama akina dialo kuplay part ya uchonganishiNaona kuna Juhudi kubwa za kumgombanisha LOWASSA na KIKWETE.
Lakini kumbuka zipo sifa au matangazo ya aina mbili mazuri na mabaya haya ya lowasa ni matangazo mabaya anachafuka sana mzee lowasa ukweli mwingi unazidi kuwa bayana.
Kweli lowasa yupo peupe sasa watu hawatishwi tena na ubabe wake wanasema kweli tupu yote yatakuwa wazi tu.
kaka njia iliomuingiza jk ikulu ndo itamuingiza lowasa ikulu 2015 membe atake au asitakeMkuu simiyu@Yetu huku mitaani watu nao sio wajinga watajiuliza "why always him?" Kila anayetangaza nia anawaza kupambana na mamvi....Ila mkubali mkatae huyu mwanachama mwenzen
anasiasa za akili sana na ndio sehemu anayowazidi kete na amini nakwambia aliyekuwa na ubavu wa kumvuruga ni nyerere peke yake zaidi ya hapo mamvi ikulu yake 2015
kaka njia iliomuingiza jk ikulu ndo itamuingiza lowasa ikulu 2015 membe atake au asitake
Mzee Diallo anasumbuka na frustrations za kufulia, hata mishahara ya wafanyakazi wake ngumu kulipa. Ataweza kweli kushindana na Laigwanan kama alishindwa kwa Kiwia Ilemela? But hadi nione picha ndio nitaamini Diallo kaongea haya, na kama Ni kweli CCM itarest in peace very soon
Hahhaha asante kaka umenifurasha sana sasa anaweza kulala membe amevunja ndoa ya Ckristina ShushoMembe Ni kama popo, sio mnyama, sio ndege. Nani ampe uraisi popo? Akienda arabuni Ni muislam swala tano, akirudi bongo Ni mkristo. Huyu Joka la Mdimu Ni janga la kitaifa