Dhihaka ya karne: Eti wanataka kuhama CHADEMA

Dhihaka ya karne: Eti wanataka kuhama CHADEMA

Naona mnaendeleza ngonjera zenu kila viongozi wenu wanapo end kombo.. Mnasifia tu (Wafia Mbowe)... Huu ushauri ungewapa Chadema wakati wanasema wataandamana tu Kwa lazima.. Ila kusubiri waghairishe, alafu uje kukosoa wanachadema waliopanga kuandamana sio haki yako...


Ningekuona wa maana na unatumia bando lako vizuri kama kule katika mada za magari, kama ungetoa ushauri kwa Chadema kama alivyotoa ushauri Pasco kua kama yatafuata sheria na yeye ataingia barabarani, ila kama sio, hatoandamna.. Sasa Leo unaonekana mganga njaa tu
 
Cha ajabu wanaobweka kuwa watahama CHADEMA hajawahi hata kuwa na Mapenzi mema na CHADEMA.
Wengi wao ni wa Lumumba ambao wamejawa na upuuzi wa kiwango cha juu sana
 
Naona mnaendeleza ngonjera zenu kila viongozi wenu wanapo end kombo.. Mnasifia tu (Wafia Mbowe)... Huu ushauri ungewapa Chadema wakati wanasema wataandamana tu Kwa lazima.. Ila kusubiri waghairishe, alafu uje kukosoa wanachadema waliopanga kuandamana sio haki yako...


Ningekuona wa maana na unatumia bando lako vizuri kama kule katika mada za magari, kama ungetoa ushauri kwa Chadema kama alivyotoa ushauri Pasco kua kama yatafuata sheria na yeye ataingia barabarani, ila kama sio, hatoandamna.. Sasa Leo unaonekana mganga njaa tu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Adharusi bwana haya asante kwa kuchangia
 
Chama cha walaghai na mataahira!!
Kumbe aliyewaambia muandamane kabla ya jitihada nyingine zote kushindikana ni nani? Au ni lini katika umri wenu wa miaka zaidi ya ishirini mlijua kuwa maandamano ni silaha ya mwisho kabisa enyi chama chenye ombwe la uongozi, chama kilichobemendwa kisikue?
A good thing ni kwamba mmeshajionea kuwa watu wenye utayari wa kuandamana ni wachache kiasi hicho, wengineo ni viongozi wenu wenye makengeza ya macho na masikio yasiyosikia kwa tamaa, rushwa na ufisadi.
Na habari ndo hiyo, hakuna wananchi nyuma ya hoja zenu za kipumbavu...
 
Chama cha walaghai na mataahira!!
Kumbe aliyewaambia muandamane kabla ya jitihada nyingine zote kushindikana ni nani? Au ni lini katika umri wenu wa miaka zaidi ya ishirini mlijua kuwa maandamano ni silaha ya mwisho kabisa enyi chama chenye ombwe la uongozi, chama kilichobemendwa kisikue?
A good thing ni kwamba mmeshajionea kuwa watu wenye utayari wa kuandamana ni wachache kiasi hicho, wengineo ni viongozi wenu wenye makengeza ya macho na masikio yasiyosikia kwa tamaa, rushwa na ufisadi.
Na habari ndo hiyo, hakuna wananchi nyuma ya hoja zenu za kipumbavu...
Kuandika unachomaanisha ni ngumu kuliko kuthibitisha uhalisia wake
 
Baada ya jana kuahirishwa maandamano ya UKUTA kwa mwezi mmoja zimefumuka post za kukejeli hiki kitendo

Kila mtu kasema lake, lakini wengi wakijikita kwenye kusema kuwa eti

-CHADEMA ni vigeugeu
-CHADEMA ni mabingwa wa kubadili gia angani
-CHADEMA inapoteza mwelekeo chini ya Lowassa (utafikiri ndio mwenyekiti)

Kejeli ni nyingi kweli na hili halina tatizo kwakuwa wale waliokuwa wamejiandaa kuumiza wananchi wasio na hatia hawataweza tena kufanya hivyo! Maandalizi yalikuwa mengi na kabambe mno ya kukipaka damu chadema kama maandamano haya yangefanyika
Kichekesho na dhikaha ya kukera sana ni wale wanaojifanya kutaka kuihama CHADEMA eti tu kwakuwa wameahirisha maandamano! Hilo tu likufanye uhame chama? Maandamano yangefanyika wewe ungeenda? Uhame Chadema uende chama gani? CCM? kama kuhama chama kungekuwa rahisi hivyo Lipumba asingeng'ang'ania cuf....unazi wetu uko nyuma ya keyboard tuu lakini waandamanaji wa kweli wasioogopa chochote iwe virungu iwe maji ya kuwasha ile jela, hawapo hapa na hawa wamekubaliana na maamuzi! Hakuna haja ya kutishia kuhama FANYA SASA

Dhima ya CHADEMA haikuwa kuandamana!maandamano huwa silaha ya mwisho kabisa kwenye nchi ya kidemokrasia kama njia zote zikishindikana

CHADEMA kwenye hili wamefanikiwa sana tena sana, harakati za ukuta zimeleta matunda mengi

Maamuzi mengi ya kibabe yamepungua ama kubatilishwa

Kupayuka payuka kumepungua

Utawala wa sheria unaanza kurejewa

Utawala ulioanza kujisahau umekuwa makini zaidi sasa

Viongozi wengi wameamua kuingia kwenye mazungumzo

CHADEMA SASA IMEANZA KUSIKILIZWA NA ITASILIKOLIZWA..hii ndio ilikuwa dhima ya yao KUSIKILIZWA

CHADEMA itasikilizwa bila kusababisha madhara kwa wananchi bila uharibifu wa mali na kwa gharama bei chee kabisa

CHADEMA imepiga hatua kumi zaidi mbele waliokamatwa kwa mashtaka ya kutunga na kunjuka ni viongozi tuu raia hawafiki watano! Huu ni ushindi mkubwa sana
Kama unahama CHADEMA Salam zao huko uendako
Mkuu tena tuweke utaratibu wa kuwakata mikia sisi wenyewe ili wanapoenda huko waendako wawe hawana mikia
 
Baada ya jana kuahirishwa maandamano ya UKUTA kwa mwezi mmoja zimefumuka post za kukejeli hiki kitendo

Kila mtu kasema lake, lakini wengi wakijikita kwenye kusema kuwa eti

-CHADEMA ni vigeugeu
-CHADEMA ni mabingwa wa kubadili gia angani
-CHADEMA inapoteza mwelekeo chini ya Lowassa (utafikiri ndio mwenyekiti)

Kejeli ni nyingi kweli na hili halina tatizo kwakuwa wale waliokuwa wamejiandaa kuumiza wananchi wasio na hatia hawataweza tena kufanya hivyo! Maandalizi yalikuwa mengi na kabambe mno ya kukipaka damu chadema kama maandamano haya yangefanyika
Kichekesho na dhikaha ya kukera sana ni wale wanaojifanya kutaka kuihama CHADEMA eti tu kwakuwa wameahirisha maandamano! Hilo tu likufanye uhame chama? Maandamano yangefanyika wewe ungeenda? Uhame Chadema uende chama gani? CCM? kama kuhama chama kungekuwa rahisi hivyo Lipumba asingeng'ang'ania cuf....unazi wetu uko nyuma ya keyboard tuu lakini waandamanaji wa kweli wasioogopa chochote iwe virungu iwe maji ya kuwasha ile jela, hawapo hapa na hawa wamekubaliana na maamuzi! Hakuna haja ya kutishia kuhama FANYA SASA

Dhima ya CHADEMA haikuwa kuandamana!maandamano huwa silaha ya mwisho kabisa kwenye nchi ya kidemokrasia kama njia zote zikishindikana

CHADEMA kwenye hili wamefanikiwa sana tena sana, harakati za ukuta zimeleta matunda mengi

Maamuzi mengi ya kibabe yamepungua ama kubatilishwa

Kupayuka payuka kumepungua

Utawala wa sheria unaanza kurejewa

Utawala ulioanza kujisahau umekuwa makini zaidi sasa

Viongozi wengi wameamua kuingia kwenye mazungumzo

CHADEMA SASA IMEANZA KUSIKILIZWA NA ITASILIKOLIZWA..hii ndio ilikuwa dhima ya yao KUSIKILIZWA

CHADEMA itasikilizwa bila kusababisha madhara kwa wananchi bila uharibifu wa mali na kwa gharama bei chee kabisa

CHADEMA imepiga hatua kumi zaidi mbele waliokamatwa kwa mashtaka ya kutunga na kunjuka ni viongozi tuu raia hawafiki watano! Huu ni ushindi mkubwa sana
Kama unahama CHADEMA Salam zao huko uendako
Amani ya nchi hii haiko mikononi kwa jeshi la polisi au vyombo vingine vya usalama
 

Attachments

  • FB_IMG_1472668457656.jpg
    FB_IMG_1472668457656.jpg
    11.7 KB · Views: 36
Baada ya jana kuahirishwa maandamano ya UKUTA kwa mwezi mmoja zimefumuka post za kukejeli hiki kitendo

Kila mtu kasema lake, lakini wengi wakijikita kwenye kusema kuwa eti

-CHADEMA ni vigeugeu
-CHADEMA ni mabingwa wa kubadili gia angani
-CHADEMA inapoteza mwelekeo chini ya Lowassa (utafikiri ndio mwenyekiti)

Kejeli ni nyingi kweli na hili halina tatizo kwakuwa wale waliokuwa wamejiandaa kuumiza wananchi wasio na hatia hawataweza tena kufanya hivyo! Maandalizi yalikuwa mengi na kabambe mno ya kukipaka damu chadema kama maandamano haya yangefanyika
Kichekesho na dhikaha ya kukera sana ni wale wanaojifanya kutaka kuihama CHADEMA eti tu kwakuwa wameahirisha maandamano! Hilo tu likufanye uhame chama? Maandamano yangefanyika wewe ungeenda? Uhame Chadema uende chama gani? CCM? kama kuhama chama kungekuwa rahisi hivyo Lipumba asingeng'ang'ania cuf....unazi wetu uko nyuma ya keyboard tuu lakini waandamanaji wa kweli wasioogopa chochote iwe virungu iwe maji ya kuwasha ile jela, hawapo hapa na hawa wamekubaliana na maamuzi! Hakuna haja ya kutishia kuhama FANYA SASA

Dhima ya CHADEMA haikuwa kuandamana!maandamano huwa silaha ya mwisho kabisa kwenye nchi ya kidemokrasia kama njia zote zikishindikana

CHADEMA kwenye hili wamefanikiwa sana tena sana, harakati za ukuta zimeleta matunda mengi

Maamuzi mengi ya kibabe yamepungua ama kubatilishwa

Kupayuka payuka kumepungua

Utawala wa sheria unaanza kurejewa

Utawala ulioanza kujisahau umekuwa makini zaidi sasa

Viongozi wengi wameamua kuingia kwenye mazungumzo

CHADEMA SASA IMEANZA KUSIKILIZWA NA ITASILIKOLIZWA..hii ndio ilikuwa dhima ya yao KUSIKILIZWA

CHADEMA itasikilizwa bila kusababisha madhara kwa wananchi bila uharibifu wa mali na kwa gharama bei chee kabisa

CHADEMA imepiga hatua kumi zaidi mbele waliokamatwa kwa mashtaka ya kutunga na kunjuka ni viongozi tuu raia hawafiki watano! Huu ni ushindi mkubwa sana
Kama unahama CHADEMA Salam zao huko uendako
Labda kuna jambo unaloshindwa kulielewa kuhusu maandamano, umesema vizuri sana kwamba maandamano ni njia ya mwisho ya kudai haki, sasa mimi naona kwa hilo ni kama Chadema wamepiga reverse kwenye hilo. Sikuona juhudi zozote kama za kusaka hiyo haki kwa njia kama hizi, wangefanya walivyosema jana halafu isisaidie ndio wangetangaza maandamano yao, sasa wametangaza halafu ndio kama wanambembeleza Mheshimiwa Rais wakae wazungumze....
Ndio maana watu wanabeza
 
UKUTA ni DHANA, UKUTA ni MCHAKATO yaelewe haya utajua nini kina-endelea.
 
Hawa ukawa, ilikuwa ni gia tu. Sasa CCM walisha wajua janja yao, hamna cha mazungumzo, tusubiri tu kampeni mwaka 2020. Tuache Mheshimiwa atuletee maendeleo. Kikwete mlisema alikuwa mbaya, leo magufuli mbaya tena??? Go magufuli, go

Ilikuwa gia ya kutafuta kualikwa kahawa na sharubati ikulu. Ama kweli Magafuli hajaribiwi.
 
Tuwape zawadi ya visu vikali wakataji wa mikia. Mimi nachofurahi ni kuwa mesage sent locally na internationally. nauhakika hili limeach mgawanyiko mkubwa hata kwenye chama kikongwe na uongozi, walio madarakani na wastaafu.
Waende tu kwa wakatwa mikia wenzao...
 
Kabla hata ya iliyokuwa tarehe ya maandamano mafanikio makubwa CHADEMA ilikuwa imeyapata! Na ninachokiona hapa ni Busara kubwa ya mwenyekiti MBOWE kutaka kupata suruhu zaidi pasipo gharama ya damu za watu! Hatua walioichukua CHADEMA ni ya utu na Uungwana mkubwa ambayo kama itabezwa, hapo baadae si CHADEMA itakayo beba lawana kwa yatakayo tokea endapo serikali itapuuza mazungumzo na maelewano! Nathubutu kesema watu wasitegemee tena kuahirishwa kwa maandamano ya hapo October endapo muafaka hautopatikana!
 
Baada ya jana kuahirishwa maandamano ya UKUTA kwa mwezi mmoja zimefumuka post za kukejeli hiki kitendo

Kila mtu kasema lake, lakini wengi wakijikita kwenye kusema kuwa eti

-CHADEMA ni vigeugeu
-CHADEMA ni mabingwa wa kubadili gia angani
-CHADEMA inapoteza mwelekeo chini ya Lowassa (utafikiri ndio mwenyekiti)

Kejeli ni nyingi kweli na hili halina tatizo kwakuwa wale waliokuwa wamejiandaa kuumiza wananchi wasio na hatia hawataweza tena kufanya hivyo! Maandalizi yalikuwa mengi na kabambe mno ya kukipaka damu chadema kama maandamano haya yangefanyika
Kichekesho na dhikaha ya kukera sana ni wale wanaojifanya kutaka kuihama CHADEMA eti tu kwakuwa wameahirisha maandamano! Hilo tu likufanye uhame chama? Maandamano yangefanyika wewe ungeenda? Uhame Chadema uende chama gani? CCM? kama kuhama chama kungekuwa rahisi hivyo Lipumba asingeng'ang'ania cuf....unazi wetu uko nyuma ya keyboard tuu lakini waandamanaji wa kweli wasioogopa chochote iwe virungu iwe maji ya kuwasha ile jela, hawapo hapa na hawa wamekubaliana na maamuzi! Hakuna haja ya kutishia kuhama FANYA SASA

Dhima ya CHADEMA haikuwa kuandamana!maandamano huwa silaha ya mwisho kabisa kwenye nchi ya kidemokrasia kama njia zote zikishindikana

CHADEMA kwenye hili wamefanikiwa sana tena sana, harakati za ukuta zimeleta matunda mengi

Maamuzi mengi ya kibabe yamepungua ama kubatilishwa

Kupayuka payuka kumepungua

Utawala wa sheria unaanza kurejewa

Utawala ulioanza kujisahau umekuwa makini zaidi sasa

Viongozi wengi wameamua kuingia kwenye mazungumzo

CHADEMA SASA IMEANZA KUSIKILIZWA NA ITASILIKOLIZWA..hii ndio ilikuwa dhima ya yao KUSIKILIZWA

CHADEMA itasikilizwa bila kusababisha madhara kwa wananchi bila uharibifu wa mali na kwa gharama bei chee kabisa

CHADEMA imepiga hatua kumi zaidi mbele waliokamatwa kwa mashtaka ya kutunga na kunjuka ni viongozi tuu raia hawafiki watano! Huu ni ushindi mkubwa sana
Kama unahama CHADEMA Salam zao huko uendako


Duh...tehtehtehtehtehteh....mshana jr nakuheshimu mno....siwezi ku-comment chochote kwenye post hii....siku njema mshana jr....
 
HEKIMA KUBWA MSHANA. HEKIMA KUBWA
Mimi nimeandika humu JF kuwa , CDM imeshinda ushindi mkubwa. Kama dignitaries wote wamekusihi kuwa sitisha tuzungumze na Bwana mkubwa, WHAT DOES THAT IMPLY: WANAKUUNGA MKONO AND YOU HAVE A JUST CAUSE! WASINGELIKUSIHI KAMA WANGELIKUWA NA DHANA YA UHALIFU DHIDI YAKO. INA MAANA WAMEONA KUWA UNA HOJA YA MSINGI, NAO WAMEJITOSA KUISIMAMIA

tehtehtehtehtehtehtehteh
 
Back
Top Bottom