Dhihaka ya karne: Eti wanataka kuhama CHADEMA

Dhihaka ya karne: Eti wanataka kuhama CHADEMA

Siasa za Chadema zimebadilika sana, Enzi za Dr. Slaa hatukuzoea kusikia hadithi kama hizi. Wakiamua kuandamana hakuna wa kuwazuia walihakikisha wanaandamana. Polisi wakiua kama ilivyotokea Morogoro na Iringa Chama kiliona fahari kupata picha za matukio, zinachukuliwa zinaenda kuanikwa kwenye mitaa ya London kuonyesha Demokrasia inavyominywa Tanzania.
Kumbuka mahitaji ya nyakati hata ccm ya 2010 sio ya sasa! Hebu tuwe wakweli ukiacha mkutano wa bob kukabidhiwa chama na copy n paste ya uvccm kuhusiana na maandamano ccm inasikika wapi pengine?
 
Kumbuka mahitaji ya nyakati hata ccm ya 2010 sio ya sasa! Hebu tuwe wakweli ukiacha mkutano wa bob kukabidhiwa chama na copy n paste ya uvccm kuhusiana na maandamano ccm inasikika wapi pengine?
Kumbuka CCM ndiyo imepewa ridhaa na wananchi kuunda serikali, Rais akiongea ni CCM imeongea kadharika wakuu wa wilaya, mkoa achilia mbali wakurugenzi. ukiuliza CCM inasikika wapi nakushangaa
 
Hapana comment tu lakini kwa staha! Tofauti za kimtazamo zipo tu siku zote kibaya ni matusi kejeli na lugha za kukera

Hapana mshana jr...wakati mwingine ni vizuri kunyamaza kwa mtu unayemheshimu...usiku mwema...
 
Baada ya jana kuahirishwa maandamano ya UKUTA kwa mwezi mmoja zimefumuka post za kukejeli hiki kitendo

Kila mtu kasema lake, lakini wengi wakijikita kwenye kusema kuwa eti

-CHADEMA ni vigeugeu
-CHADEMA ni mabingwa wa kubadili gia angani
-CHADEMA inapoteza mwelekeo chini ya Lowassa (utafikiri ndio mwenyekiti)

Kejeli ni nyingi kweli na hili halina tatizo kwakuwa wale waliokuwa wamejiandaa kuumiza wananchi wasio na hatia hawataweza tena kufanya hivyo! Maandalizi yalikuwa mengi na kabambe mno ya kukipaka damu chadema kama maandamano haya yangefanyika
Kichekesho na dhikaha ya kukera sana ni wale wanaojifanya kutaka kuihama CHADEMA eti tu kwakuwa wameahirisha maandamano! Hilo tu likufanye uhame chama? Maandamano yangefanyika wewe ungeenda? Uhame Chadema uende chama gani? CCM? kama kuhama chama kungekuwa rahisi hivyo Lipumba asingeng'ang'ania cuf....unazi wetu uko nyuma ya keyboard tuu lakini waandamanaji wa kweli wasioogopa chochote iwe virungu iwe maji ya kuwasha ile jela, hawapo hapa na hawa wamekubaliana na maamuzi! Hakuna haja ya kutishia kuhama FANYA SASA

Dhima ya CHADEMA haikuwa kuandamana!maandamano huwa silaha ya mwisho kabisa kwenye nchi ya kidemokrasia kama njia zote zikishindikana

CHADEMA kwenye hili wamefanikiwa sana tena sana, harakati za ukuta zimeleta matunda mengi

Maamuzi mengi ya kibabe yamepungua ama kubatilishwa

Kupayuka payuka kumepungua

Utawala wa sheria unaanza kurejewa

Utawala ulioanza kujisahau umekuwa makini zaidi sasa

Viongozi wengi wameamua kuingia kwenye mazungumzo

CHADEMA SASA IMEANZA KUSIKILIZWA NA ITASILIKOLIZWA..hii ndio ilikuwa dhima ya yao KUSIKILIZWA

CHADEMA itasikilizwa bila kusababisha madhara kwa wananchi bila uharibifu wa mali na kwa gharama bei chee kabisa

CHADEMA imepiga hatua kumi zaidi mbele waliokamatwa kwa mashtaka ya kutunga na kunjuka ni viongozi tuu raia hawafiki watano! Huu ni ushindi mkubwa sana
Kama unahama CHADEMA Salam zao huko uendako

Acheni kujipa moyo na kujipa matumaini kuwa mmelala wakati mko macho. Ni matunda gani ambayo ukuta imeleta zaidi ya kupunguza matumaini na imani ya wanachama wenu dhidi ya hicho chama cha kilaghai. Even lile tarumbeta lenu kule instagram Mange Kimambi kaacha kuushabikia ukuta kwa upuuzi mlioufanya.

Eti utawala wa sheria umerejea. Hivi swali dogo tuu katika yale aliyoanisha mbowe kuwa ni dalili za udikteta lipi limetekelezwa?

1. Marufuku ya mikutano ya siasa iko pale pale
2. Hakuna Bunge live
3. Sheria ya makosa mitandaoni bado ipo.
4. Leo mmeonyeshwa ubabe kwa kuaibishwa ki jarida chenu cha Tanzania Daima

Kipi kilichobadilika kabla ya ukuta na baada ya ukuta? HAMNA.

Safari hii sio awamu ya Mh Jakaya Kikwete aliyekuwa anawapa diplomasia na nafasi msiyostahili. Mlitegemea kuwa kwa sababu mmetangaza maandamano basi mtaogopwa na kuitwa ikulu kunywa chai. Sahauni huu utawala ni wa hapa kazi tuu na hapa kodi tuu. Hamuitwi ikulu na matamko yenu mtakuwa mnayakana au kuyahairisha kwa uoga.

Eti chadema inasikilizwa taja hapa siku na wakati au tamko la taasisi kubwa za dini namaanisha wakatoliki na waislam walipoomba msitishe ukuta ili mazungumzo yafanyike.

Ugumu wa maisha usizibe milango yenu ya fahamu chukueni hatua otherwise mtaonekana bendera fuata upepo kila siku iko siku mkuu wa chama cha kaskazini ataawaaminisha kuwa kinyesi ni Keki na mtakula.
 
Ukuta haujafeli angali mapambano ya gov ilivo jpanga kunyongaa RAIA kwa vifaru na bunduki.so hata wananchi wanajua na dunia inajuaaa hatupo sawa mana aman hailindwi kwa bunduk
 
Ambaye bado anashabikia majizi Chadema anatakiwa kupelekwa mirembe
 
Hahaha umeandika pumba tupu. Roho inakuuma kwa kuwa mmeshindwa kila kitu. Tuliwaambia Dj ni muongo. Sasa hela mmepoteza mlizokuwa mmehonga watu na watakuwa wameshazitumia mpaka octoba

Unaandika tu bila kufikiri utadhani kichwa chako kimechomolewa na kutengwa na kiwiliwili!!
 
Ukuta haujafeli angali mapambano ya gov ilivo jpanga kunyongaa RAIA kwa vifaru na bunduki.so hata wananchi wanajua na dunia inajuaaa hatupo sawa mana aman hailindwi kwa bunduk

Serikali yoyote ile inayotumia vifaru na bunduki kutishia raia au kunyonga kama ulivyosema hapo inaonyesha ni serikali ya kidikteta. Sasa nikuulize hali hiyo ikitokea je inahitaji mpigania haki au mwanaharakati kurudi nyuma au inabidi usonge mbele ili kukomesha hiyo serikali ?

So far kama unasema tutaandamana kupinga udikteta then hiyo serikali inaonyesha udikteta halisi kwa kuwapiga marufuku na kudisplay its might powers hapo ilibidi wanaukuta msonge mbele sio kurudi nyuma.

Jaribio lenu lime fail na wenye akili wameshaelewa unachokiona sasa ndicho kilichotokea enzi za best president mh mkapa na watu tukashuhudia kifo cha NCCR mageuzi na Kifo cha CUF.

Hatua ambayo chadema imepiga kurudi nyuma na Ukuta wao ni sawa na kujichimbia kaburi
 
Hapana mshana jr...wakati mwingine ni vizuri kunyamaza kwa mtu unayemheshimu...usiku mwema...
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Hata mimi nilishangaa watu wameshupaa hapa jukwaani kulaumu maandamano kuahirishwa kana kwamba wao walishajiandaa kabisa wakiwa barabarani kuandamana wakaambiwa basi warudi maandamano yameahirishwa. Tena wengine waliolaumu maandamano kuahirishwa wako nje ya nchi na hata ungewalipia ticket na kugharamia garama zao zote waje kushiriki maandamano wasingekuja.
 
Makamanda cdm ni chama cha wasomi kiukweli wanajua kuchanganya karata maana serikali wameteseka sana ukuta kila kukicha ni matako nchi ya kuongozwa na matamko mpaka sasa chadema wamefanikiwa kwa % 100 mkuu mawazo ya viongozi wote ni ukuta walishindwa kuhudumia wananchi kisa ukuta bana nawatakia ucku mwema makamanda woteee.
 
Makamanda cdm ni chama cha wasomi kiukweli wanajua kuchanganya karata maana serikali wameteseka sana ukuta kila kukicha ni matako nchi ya kuongozwa na matamko mpaka sasa chadema wamefanikiwa kwa % 100 mkuu mawazo ya viongozi wote ni ukuta walishindwa kuhudumia wananchi kisa ukuta bana nawatakia ucku mwema makamanda woteee.
Ndio hawa wasomi wa chadema au mna mwenyekiti mwingine ambaye ni msomi au definition ya Msomi kwako ni ipi?
CV YA MWENYEKITI.


CV ya freeman mbowe

Member of Parliament CV


GENERAL
Salutation
Honourable Member picture
1260.jpg

First Name: Freeman
Middle Name: Aikaeli
Last Name: Mbowe
Member Type: Constituency Member
Constituent: Hai
Political Party: CHADEMA
Office Location: P.O. Box 3070, Moshi
Office Phone:
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: fmbowe@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth


EDUCATION
SCHOOL NAME/LOCATION
COURSE/DEGREE/AWARD START DATE END DATE LEVEL
Secondary School Secondary Education - - HIGH SCHOOL




EMPLOYMENT HISTORY
COMPANY NAME
POSITION FROM DATE TO DATE
Bank of Tanzania Bank Officer
 
Kama CCM wameshindwa kuipata damu CHADEMA kwa tukio la mbande walilofanya kwa lengo la kuipaka damu CHADEMA, kamwe hawatafanikiwa kuivuruga CHADEMA kwa namna yoyote ile.
 
Back
Top Bottom