Dhihaka ya karne: Eti wanataka kuhama CHADEMA

Dhihaka ya karne: Eti wanataka kuhama CHADEMA

ndo tatizo lenu CHADEMA hamtaki kukosolewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]



naona ccm mnamkosoa mtukufu vizuri sana ushauri wa ccm mzuri chadema hawatakiwi kufuata maridhiano na amani sifa ya kuwa mpinzani imara kupigana ni lazima hapa kiukweli ccm panawauna kwa nn baadhi ya watanzania hawajafa.
 
Yaani kwamba hujaelewa kilichoandikwa!? Mama ndalichako kaza uzi mama huku mataani vihiyo wapo wa kutosha,okoa vizazi vijavyo, kwa watu kama huyu ilishapita tayari sio riziki tena...


kama wewe utapona basi ndalichako nae atakuwa kihiyo .....



MATAANI NDIO NINI?
 
Kelele nyingi kumbe wakwepa kodi wakubwa.


Mabadiliko mabadiliko kumbe wao ndio wa kwanza kuwaibia wananchi!!!!!


Shame on you Chadema
 
Leia-este-texto-chato.html.jpg
 
CHADEMA imepiga hatua kumi zaidi mbele waliokamatwa kwa mashtaka ya kutunga na kunjuka ni viongozi tuu raia hawafiki watano! Huu ni ushindi mkubwa sana
Kama unahama CHADEMA Salam zao huko uendako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Chadema ni chama cha kufeli!

Eti sasa hivi wanapambana na diamond
 
Back
Top Bottom