Dhihaka ya karne: Eti wanataka kuhama CHADEMA

Dhihaka ya karne: Eti wanataka kuhama CHADEMA

Mkuu pokea like yangu kwanza .
Umeongea point sana natamani wale wapenzi vindakindaki wa chama teule waelewe haya ulioyaelezea hapa.Dhima ya uongozi wa CHADEMA imefanikiwa ingawa wanataka kuthibitishiwa zaidi ndio maana wakasema wanatoa tena mwezi mmoja baada ya hapo ndio kitaeleweka .
Kuna watu wameumizwa sana na kuahirishwa haya maandamano halafu hawaji kwa sura zao halisi mpaka unajiuliza ni maandamano tu au kuna lingine kubwa nyuma ya pazia?
 
Umeandika vizuri sana kiongozi. Wamesikilizwa na nani?(labda viongozi wa dini wasio na majina). Demokrasia ipi imeanza kutamalaki? Wanawasema hao maccm kwa kuwa watu wa "ndiooooo" huku nao wanakuwa watu wa ndio kwa uongozi wao bila kuhoji.

Hivi walivyoweka ukuta wao, hawakujua kuwa kuna hatari ya kumwaga damu, au waliiona jana? Walishaambiwa jamaa hajaribiwi, I believe yote ni woga tu.


Kwa hiyo wewe ulitaka kushuhudia mapambano kati ya polisiCCM na wanaChadema...??
Wangeuawa kama ambavyo mshafanya huko nyuma ndo mngeelewa kuwa malalamiko ni ya nini...!!

Kizazi cha laana sana nyie watu..!!
Ila yana mwisho wake..!!
 
Utasemaje wenzio si wapinzani sahihi wakati wewe si mpinzani...??
Kama umevimbiwa nenda panapokustahili..
ndo tatizo lenu CHADEMA hamtaki kukosolewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
%kubwa ya wadanganyika sio kwenye Siasa tu hata maisha tu yakawaida hawajui kipi wanatafuta....
 
Kwa hiyo wewe ulitaka kushuhudia mapambano kati ya polisiCCM na wanaChadema...??
Wangeuawa kama ambavyo mshafanya huko nyuma ndo mngeelewa kuwa malalamiko ni ya nini...!!
Kizazi cha laana sana nyie watu..!!
Ila yana mwisho wake..!!


Motives za maandamano zilikuwa nini? Kabla ya kukaa na kuafiki UKUTA, kwa nini hawakuhusisha viongozi wa dini, hadi kuaminisha watu juu ya UKUTA usio na mbele wala nyuma? Hawakujua kuwa wakiandamana damu itamwagika?(hata kwa JK si aaliandamana na damu ikamwagika?)

Mbowe hana credibility kwa sasa, uongozi wa zaidi ya miaka kumi(amekuwa mfalme) umetosha. Alibadili gia, wamekuwa mtu wa matamko yasiyo na mbele wala nyuma. Aache wengine waongoze chama.
 
hivi wewe, unadhani maandamano ni mazuri! Hivi unajua ni watu wangapi waliumizwa na kupoteza maisha yao kwa hicho unacho msifia dr slaa?

Kuwa kiongozi wakati mwingine inahitaji kutumia Busara katika kutafakari na kufanya maamuzi na siyo kukurupuka.

Wewe ungefurai kuona watanzania wenzako leo wakichezea kichapo na taifa kugeuka uwanja damu?

Hakuna mwenye Akili timamu Atakaye wadhiaki viongozi wa chadema kwa uamuzi wa busara waliouchukua wa kusitisha zoezi lao.

Pia nichukue fursa hii kumpongeza sana Ndugu Saimon Siro, kamanda wa kanda maalum, kwa kuwapongeza viongozi wa chadema kwa kuonyesha uzalendo wa kusitisha Maandamano yao.

Niukweli usiopingika kwamba hata polisi hawapendi kupiga raia wao maana wao wamewekwa kuwalinda raia na siyo kuwaumiza.

Mungu Ibariki Tanzania.
Ni gia tu imebadilishwa tena na imebeba na watu ka wewee, kipindi kile yaliwezekana ila leo hayawezekani, hizi U-Turns wanaziweza chadema na bavicha!!
 
Mkuu, kubali tu kuwa THIS IS THE SAD ENDING OF UKUTA, mbona enzi za Slaa chadema walikuwa na msimamo wakisema tunaandana wanaandamana?? Au enzi hizo hakukuwa na viongozi wa dini wa kusuluhisha??
On the positive side, angalau mmewaweka police force on their toes.
Not only police, dear. The whole government was kept on its toes. You must have heard utterances from dcs, RCS, ministers, mention any government official.
 
Siku nyingine unavobandika andiko lako kidogo uwe umetulia ili uandike maneno yanayoeleweka.
Yaani kwamba hujaelewa kilichoandikwa!? Mama ndalichako kaza uzi mama huku mataani vihiyo wapo wa kutosha,okoa vizazi vijavyo, kwa watu kama huyu ilishapita tayari sio riziki tena...
 
Dhima ya CHADEMA haikuwa kuandamana!maandamano huwa silaha ya mwisho kabisa kwenye nchi ya kidemokrasia kama njia zote zikishindikana

CHADEMA kwenye hili wamefanikiwa sana tena sana, harakati za ukuta zimeleta matunda mengi

Maamuzi mengi ya kibabe yamepungua ama kubatilishwa

Kupayuka payuka kumepungua

Utawala wa sheria unaanza kurejewa

Utawala ulioanza kujisahau umekuwa makini zaidi sasa

Viongozi wengi wameamua kuingia kwenye mazungumzo

CHADEMA SASA IMEANZA KUSIKILIZWA NA ITASILIKOLIZWA..hii ndio ilikuwa dhima ya yao KUSIKILIZWA

CHADEMA itasikilizwa bila kusababisha madhara kwa wananchi bila uharibifu wa mali na kwa gharama bei chee kabisa

CHADEMA imepiga hatua kumi zaidi mbele waliokamatwa kwa mashtaka ya kutunga na kunjuka ni viongozi tuu raia hawafiki watano! Huu ni ushindi mkubwa sana
Kama unahama CHADEMA Salam zao huko uendako

Asante Sana kwa ujumbe murua. Nyumba chafu husafishwa panapojitokea majanga. Mpango wa UKUTA umefumua mengi. Na utaiimarisha CDM.
 
Kumbe mnajua hii nchi ni ya kidemokrasia, halafu mnasumbua watu, raia na wafuasi wenu ambao badala ya kufanya kazi za maendeleo wanashabikia UKUTA!?Kweli nyumbu ni nyumbu tu!Muwe mnawaelewesha wanachama wenu kwamba hamko serious
Nisalimie Mudawote karudishwa kizimbani
 
mshana jr: kwa hayo machache niliyokunukuu, nasema hongera kwa kuchota fikra za wafuasi na wanachama wa CHADEMA walio humu jamvini, na pia kufikisha ujumbe kwa ujumla kwamba "mtoto akililia wembe mpe".

Mtu mzima, mwenye busara, hekima, malengo na akiwa kiongozi kamwe hafanyi mchezo wa kutishia kufikia malengo. Kama hilo ndilo lilikuwa lengo la viongozi wa CHADEMA, wamegonga UKUTA walioujenga.

Rais Magufuli si mwanasiasa wa danganya danganya kama wao. Amedhihirisha kuwa yeye ni mtendaji kwa kutimiza kila neno analolisema.

Ebu tujiulize na kutoa majibu yenye mifano halisi na ikiwezekana na takwimu:

Maamuzi yake yapi ni ya kibabe?

Amebatilisha maamuzi yake hayo ya kibabe kwa vipi na kiwango gani?

Ni yapi aliyoyapayuka?

Aliyoyapayuka yamepungua?

Utawala gani usio wa kisheria ameufanya?

Je huo utawala usio wa kisheria umepungua, na kwa kiwango gani?

Uongozi ulijisahau wapi na kwa jinsi gani?

Viongozi gani wengi wameamua kuingia kwenye mazungumzo yapi na nani, kwa lengo gani?

CHADEMA IMEANZA KUSIKILIZWA NA NANI?

CHADEMA itasikilizwa na wanachama wake pale viongozi wake watakapokuwa wa kweli kuwaambia nyuma ya UKUTA kulikuwa na nini.

TUSUBIRI KAMA MAJI YALIYOMWAGIKA YATAZOLEWA.
 
Nimekuelewa vizuri kaka... Chakujiuliza kwanza maandamano yalikuwa ya nini.... Bila shaka UKUTA.... Pili.... Waliokuwa wanataka kuupinga udikteta uchwara ni Viongozi wa Chadema au ni kila yule aliyeuona udikteta Uchwara..... Sasa hawa wanaotoa dhihaka na kusema watahama sijui wanahama Chamani CHADEMA, wao kama wao Wanaona Udikteta uchwara umeisha au bado upo... Kama upo kwa nini wao wasiwe viongozi wa kuitisha maandamano ili wao waendelee na Harakati wawaache hawa waliobadilisha gia angani... Mnafki ni mnafki tuu hajifichi... Kwahiyo mngeambiwa Mle mavi kama sehemu ya harakati za UKUTA MNGEKULA KISA MBOWE KASEMA? Ifikie mahali tujitambue na tujitasmini je ni wafuata upepo au ni wanaharakati wa kweli ktk kudai haki yako... Hivi wakina mbowe wanakosa kuona au kusikia nini bungeni kiasi cha wai kutaka bunge liwe live... Wewe wanaekusaidia hyo haki yakujua unachopangiwa namna ya kuishi nchini mwako.. Unaidai hyo haki kwa style gani.....? Mbowe kaongea katoa sababu za kuahirisha maandamano tena zimekaa vizuri tuu voz hata tungeandamana tusingeenda kumtoa MunguMtu ofisini isipokuwa angepata ujumbe watu wanadai haki yao na kitu ambacho kingetokea ndio hiki kinachoenda kutokea, Mazungumzo ya kupata muafaka... So ndg zangu wala msihame chama, kama lengo la ukuta lilikuwa linagusa maisha yako wala usirudi nyuma We Andamana dai haki yako wala usiangalie Mbowe kasema nini.... MWISHO JAPO UKWELI MCHUNGU, KWA HAPA DAR WAANDAMANAJI HUWA WALEWALE UTAKAOWAKUTA KTK MAANDAMANO YA CCM CHADEMA SIKU YA UKIMWAI SIJUI UZINDUZI WA NINI NA NINI... LAKINI WAANDAMANAJI WA KUDAI HAKI ZAO KATIKA JIJI HILI SIWAONI MAANA WALIOKUWA WANASHABIKIA NDIO HAO HAO WANAOKOSOA UTADHANI WAMEZUILIWA WASITOKE MAJUMBANI MWAO.. KAMA HUWEZI KUJIONGOZA TII MAELEKEZO YA ANAYEKUONGOZA FULL STOP!
 
Back
Top Bottom