tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 27,205
- 27,841
Kumbe mkuu Nyani Ngabu bado hajafika humu jukwaani? Basi nadhani amesikia. Punde si punde utazisikia Pu.mba zake humu.Ha ha ha sawa mkuuu. Post yako mtag nyani ngabu
Kumbe mkuu Nyani Ngabu bado hajafika humu jukwaani? Basi nadhani amesikia. Punde si punde utazisikia Pu.mba zake humu.Ha ha ha sawa mkuuu. Post yako mtag nyani ngabu
Hahaha umeandika pumba tupu. Roho inakuuma kwa kuwa mmeshindwa kila kitu. Tuliwaambia Dj ni muongo. Sasa hela mmepoteza mlizokuwa mmehonga watu na watakuwa wameshazitumia mpaka octoba
Vipi UKUTA.....nasikia umevunjwa na Ngosha[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumbe mkuu Nyani Ngabu bado hajafika humu jukwaani? Basi nadhani amesikia. Punde si punde utazisikia Pu.mba zake humu.
Nawewe umeongezea pumba kabisa tena. Wenzako walitembeza mshiko!usiwe na akili ndogo kiasi hicho.huwezi mhonga mtu akaandamane hata siku moja. utakuwa nawe huna akili. ni ngumu na haijawah tokea hata siku moja. ninyi kwa nini mlitaka sana maandamano na baada ya maandamano kuahirishwa roho imekuuma sana ?hapo ndo panaleta maswali.ulitegemea upate nafai ya kupora simu za watu nini? najua wewe utakuwa kama mumeo si polisi basi wewe ni polisi ulitegemea kuwa angeweza kukuletea simu au vitu mbalmbali vya kupora kwa kisingizio cha maandamano. waliopoteza hela wanaonekana wame relax wewe ambaye hujatoa hela ndo unaonekana kuumia. why?
Hao mamlaka za juu ni hakina nani? Uongo ni dhambiHapana hawa ndio wameombwa na mamlaka za juu wafanye hivyo katu CHADEMA haikuwaomba mazungumzo
Taarifa iliyopo ni lowassa kamwomba Dr Shoo na askofu Shoo mkuu wa kkkt ndiyo amewasilisha wazo cct sasa hao mamlaka za juu ni akina nani? Na kwanini watumie viongozi wa diniHapana hawa ndio wameombwa na mamlaka za juu wafanye hivyo katu CHADEMA haikuwaomba mazungumzo
Hapa magamba wamepigwa butwaa wasijue la kufanya. Hujuma zote walizokuwa wamepanga kufanya wakati wa maandamano zimeyeyuka. Ndio maana roho zinawauma sana baada ya maandamano kuahirishwa.You nailed it, CCM kamwe hawataki amani, CCM ni wachonganishi, hapa CCM wamepigwa mbele wakageuzwa nyuma piga kabisa wakagalagazwa. Kumbuka maneno ya Lissu kuwa kuna aina nyingi za Vita kwenye siasa....
Kwani wewe ya mamlaka ya juu imetoka chanzo gani?Taarifa kutoka chanzo gani? Tusiishi kwa kusikia
Walikua wameandaa watu wa kupiga risasi hahaha wachochezi namba moja, VIVA ChademaHapa magamba wamepigwa butwaa wasijue la kufanya. Hujuma zote walizokuwa wamepanga kufanya wakati wa maandamano zimeyeyuka. Ndio maana roho zinawauma sana baada ya maandamano kuahirishwa.
hivi wewe, unadhani maandamano ni mazuri! Hivi unajua ni watu wangapi waliumizwa na kupoteza maisha yao kwa hicho unacho msifia dr slaa?Mkuu, kubali tu kuwa THIS IS THE SAD ENDING OF UKUTA, mbona enzi za Slaa chadema walikuwa na msimamo wakisema tunaandana wanaandamana?? Au enzi hizo hakukuwa na viongozi wa dini wa kusuluhisha??
On the positive side, angalau mmewaweka police force on their toes.