Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,255
- 10,503
- Thread starter
- #101
mambo mengne magumu sana, si kama watu waongeavyo hapa. Wako wazee wanakwambia mkeo hatakiwi kujua kpato chako, sa sijui atawezaje kuyabana matumizi yake.
kuna wanandoa wanajuana vipato vyao na wanapanga mipango yao ya kimaendeleo pamoja, acha hawa wengine ambao ni wabinafsi sana.