Deo Ndejembi kuanza katiba mpya

Deo Ndejembi kuanza katiba mpya

Naambiwa huyu jamaa ni mmoja wa waumini waku wa wa katiba mpya.

Bila shaka mwezi wa kwanza kazi I ataanza na hili
Hivi unaelewa hata namna Makamu wa rais anavyotekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Katiba au huwa mnawaza kwamba MR naye ana nchi yake anayoiongoza?
Maana mnaanzisha nyuzi za kijinga kama headless chicken.
 
Naambiwa huyu jamaa ni mmoja wa waumini waku wa wa katiba mpya.

Bila shaka mwezi wa kwanza kazi I ataanza na hili
Bosi wake kasema
" katiba ni kijitabu tuu .iko wapi tukaipachue tuwape.watu ni makasuku wanadai katiba ukiwauliza hawaijui iliyopo"
Huyo Ndeje atakwenda kinyume na aliyemteua yamfike ya Nchimbi?
 
25F39E21-5085-4139-8C2B-6B60245D5A17.jpeg

Kamati ya roho mbaya nayo si haba, kufukua makaburi!
 
Kama aliyeondolewa ni sababu ya kudai katiba mpya huyu atakuwaje aanze na kitu kilichomwondoa mtangulizi wake? Hilo halipo.
 
Back
Top Bottom