Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Jana kwenye kipindi cha radio cha Milrad Ayo mbunge Zitto Kabwe amesikika akihoji kama hii ndiyo CHADEMA tuliyokuwa tunaijenga ambavo mtu anatimuliwa chamani bila kupewa bafasi yakujitetea. Yuko tofauti kabisa na viongozi wengine wanao support kufukuzwa kina Juliana.

My take: CHADEMA itapita kwenye mgogoro mkubwa zaidi baada ya kumwondoa Julianna na wenzaje. Ameishaibua uozo wa Dr. Slaa kujichotea mamilioni na yameandikwa magazetini and people are forming opinios about Slaa.

The damage has been done and more is to come. It was a wrong move kwa CHADEMA kumwondoa Julianna na wenzake kwa style hii and more will surface. Dr. Slaa na Mbowe wamekosa umakini katika hili
Kusikiliza redio umesikiliza wewe, conclusions unatoa wewe mwenyewe, lawama kwa Slaa na Mbowe umetoa mwenyewe, akija Zito na kukabusha habari hizi utasemaje? Kumbuka kuwa Zito aliwakana hao masalia.
 
Mimi napata taabu kidogo kila ni kiitafakari CHADEMA. Ukisoma majina ya CHADEMA basi kuna maneno mazuri yenye matumaini mawili. La kwanza demokrasia na la pili maendeleo. Sasa kwa elimu yangu ya shule ya sekondari naamini demokrasia ni kuthamini maoni ya kila mtu. Lakini zoezi hili limeshindikana CHADEMA .

Kila kukicha wanafikiria kutokukubaliana na kila jambo linalofanywa na watanzania wengine akiwemo rais. Kazi yao ni kubeza na kukatisha tamaa juhudi za wengine. Ndani ya CHADEMA yenyewe watu wanaoamini tofauti na waasisi wa chadema wanachafuliwa kwa kutumia kila mbinu na hata humu jf.

Sehemu ya pili ya utata kwa CHADEMA ni maendeleo. Hili neno liko kwenye jina la chama,Lakini ukiangalia mwenendo wa CHADEMA ina shabikia kila jambo linaloweza kukwamisha maendeleo ya tanzania na watanzania.

Nina mifano michache, Kwanza kila mtanzania ana uhuru wa kugoma. Lakini migomo ya kushinikizwa na kuratibiwa na watu nje ya wahusika siyo sa hihi na hata mara kadhaa migomo ambayo hata mahakama ilidhibitisha kuwa ni batili CHADEMA uwa wanaidaka na kuanza kuendeleza marumbano.

Jambo lingine ni kila umeme unapokatika huwa CHADEMAwanafurahia na kuratibu kulikuza hilo suala, kuomba hoja binafsi na kuwakatisha tamaa watanzania kuwa nchi itaingia gizani.

Cha ajabu sasa juhudi kubwa zinazofanywa na serikali kuzuia mkago wa umeme zinapotoshwa na CHADEMA. Mfano kuzuia gesi isije Dar-es-salaam ingawa kulikuwa na uhamasishaji kuwa ni watu wa Mtwara lakini kiini cha uratibu kilikuwa na CHADEMA. Dr. Slaa alitangaza hadharani kuwa kati ya mafanikio yake kweny M4C Mtwara ni kuwahamasisha wana Mtwara kupinga gesi isije Dar-es-salaam.

Bado naitafakari CHADEMA ina nia kweli ya dhati!!
 
Mimi napata taabu kidogo kila ni kiitafakari chadema. Ukisoma majina ya chadema basi kuna maneno mazuri yenye matumaini mawili. La kwanza demokrasia na la pili maendeleo. Sasa kwa elimu yangu ya shule ya sekondari naamini demokrasia ni kuthamini maoni ya kila mtu. Lakini zoezi hili limeshindikana chadema. Kila kukicha wanafikiria kutokukubaliana na kila jambo linalofanywa na watanzania wengine akiwemo rais.1.
( Kazi yao ni kubeza na kukatisha tamaa juhudi za wengine. Ndany ya chadema yenyewe watu wanaoamini tofauti na waasisi wa chadema wanachafuliwa kwa kutumia kila mbinu na hata humu jf. 2.

Sehemu ya pili ya utata kwa chadema ni maendeleo. Hili neno liko kwenye jina la chama. Lakini ukiangalia mwenendo wa chadema ina shabikia kila jambo linaloweza kukwamisha maendeleo ya tanzania na watanzania. Nina mifano michache. Kwanza kila mtanzania ana uhuru wa kugoma. Lakini migomo ya kushinikizwa na kuratibiwa na watu nje ya wahusika siyo sa hihi na hata mara kadhaa migomo ambayo hata mahakama ilidhibitisha kuwa ni batili chadema uwa wanaidaka na kuanza kuendeleza marumbano. Jambo lingine ni kila umeme unapokatika huwa chadema wanafurahia na kuratibu kulikuza hilo suala, kuomba hoja binafsi na kuwakatisha tamaa watanzania kuwa nchi itaingia gizani. Cha ajabu sasa juhudi kubwa zinazofanywa na serikali kuzuia mkago wa umeme zinapotoshwa na chadema. 3.

Mfano kuzuia gesi isije dar-es-salaam ingawa kulikuwa na uhamasishaji kuwa ni watu wa mtwara lakini kiini cha uratibu kilikuwa na chadema. 4.

Dr slaa alitangaza hadharani kuwa kati ya mafanikio yake kweny m4c mtwara ni kuwahamasisha wana mtrwara kupinga gesi isije dar-es-salaam 5.

Bado naitafakari chadema ina nia kweli yadhati??? 6.

mkuuu

.1. unauhakika na hili mkuu

2. hii hata ccm ipo

3. nafikiri nia ya chadema sio kupotosha ila wanahoji wanapoona wananchi wanapelekwa chaka na wanashikilia kile wananchoona si sahii na hii haswaaaaa ndio kazi ya chama cha upinzani to be watch dog of the ruling party.

4. mbona cuf walikuwapo huko yani CDM tu ndio wanaonekana?

5.sio mbaya chama cha upinzani kuhamasisha wananchi kuona ukweli ambao hawauoni. kazi nyingine ya chama cha siasa ni kutoa elimu mbalimbali kwa wananchi juu ya mambo ya maendeleo yao au nchi kwa ujumla


6. tutaiona nia hiyo wakipewa nafasi kuongoza nchi.
 
halafu ikiwa ni chama cha demokrasia na maendeleo ni sawa au hata likiwa pango la wanaharakati pia sio mbaya kwani vyote hivyo ni vizuri na tunavihitaji
 
Nadhani mtoa mada hii yuko sahihi. Si kuwahi kuamini kuwa yale yaliyosemwa na vijana wale wakina Juliana Shonzi hayatakanushwa. Mpaka leo hii sans sana nilisikia wanabishania figures kuwa sikuchukua millioni 140 nilichukua milioni 20. Sasa kwa mimi mwanasheria adhabu ya kosa hilo ina uzito sawa na mantiki ya ufisadi ipo pale pale. Sasa naamini kuwa kuna haja ya kuitafakuri sana CHADEMA na siyo hiyo tu bali vyama vyote vya siasa kikiwemo chama tawala. Halafu tuwapime viongozi mmoja mmoja, tuangalie historia zao kabla ya kukubali kila jambo wanalotuambia. Kweli demokrasia lazima zianzie ndani ya vyama vyenyewe vinginevyo ni hatari kwa viongozi sampuli hii wakapewa nafasi kuitawala Tanzania tutageuzwa RENAMO na UNITA
 
Nyie mna muda wa porojo. Chadema iitwe majina yoyote lakini tayari ni chama chenye sign of promise, you can stop this wind of change its just the matter of time! Hata waje juliana shonza mia, waje na matusi,propaganda chadema tutazidi kusimamia misngi(katiba) na vita yetu ni ya haki kumkomboa mtanzania. Hata JK aliwahi kusema CDM ni chama cha msimu mara ni kikundi cha wanaharakati...hiyo haisumbui tunahitaji majina mengi mabaya kama yapo..huwezi kuwa unaitumikia CCM yet ujiite chadema haiwezekani.
 
KAma CCM ni chama cha majizi ni lipi bora kati ya uanaharakati na chama cha siasa??!! tembo, meremeta,epa,stimlus package, n.k??
 
Mimi napata taabu kidogo kila ni kiitafakari chadema. Ukisoma majina ya chadema basi kuna maneno mazuri yenye matumaini mawili. La kwanza demokrasia na la pili maendeleo. Sasa kwa elimu yangu ya shule ya sekondari naamini demokrasia ni kuthamini maoni ya kila mtu. Lakini zoezi hili limeshindikana chadema. Kila kukicha wanafikiria kutokukubaliana na kila jambo linalofanywa na watanzania wengine akiwemo rais. Kazi yao ni kubeza na kukatisha tamaa juhudi za wengine. Ndany ya chadema yenyewe watu wanaoamini tofauti na waasisi wa chadema wanachafuliwa kwa kutumia kila mbinu na hata humu jf.

Sehemu ya pili ya utata kwa chadema ni maendeleo. Hili neno liko kwenye jina la chama. Lakini ukiangalia mwenendo wa chadema ina shabikia kila jambo linaloweza kukwamisha maendeleo ya tanzania na watanzania. Nina mifano michache. Kwanza kila mtanzania ana uhuru wa kugoma. Lakini migomo ya kushinikizwa na kuratibiwa na watu nje ya wahusika siyo sa hihi na hata mara kadhaa migomo ambayo hata mahakama ilidhibitisha kuwa ni batili chadema uwa wanaidaka na kuanza kuendeleza marumbano. Jambo lingine ni kila umeme unapokatika huwa chadema wanafurahia na kuratibu kulikuza hilo suala, kuomba hoja binafsi na kuwakatisha tamaa watanzania kuwa nchi itaingia gizani. Cha ajabu sasa juhudi kubwa zinazofanywa na serikali kuzuia mkago wa umeme zinapotoshwa na chadema. Mfano kuzuia gesi isije dar-es-salaam ingawa kulikuwa na uhamasishaji kuwa ni watu wa mtwara lakini kiini cha uratibu kilikuwa na chadema. Dr slaa alitangaza hadharani kuwa kati ya mafanikio yake kweny m4c mtwara ni kuwahamasisha wana mtrwara kupinga gesi isije dar-es-salaam.

Bado naitafakari chadema ina nia kweli yadhati???

Elimu yako ya form 4 inatosha kabisa kuchambua mambo, ila ni wewe binafsi una mawazo negative... Nakushauri ufwatilie mambo ya nchi hii kwa umakini... ccm na raisi wake ndo wanaharibu nchi yetu.. sasa usishangae wakikosolewa.. ni kwali bado una ufahamu mdogo kuhusu swala la ges.. wewe ni mmoja kati ya watu waliopotoshwa kuhusu ges.. ccm haipendi demokrasia na inachukia maendeleo kwa watanzania wote... USIPOTOSHE..
 
endeleA KUITAFAKARI UKIMALIZA UTAKUTA UMESHAKOMBOLEWA NA WEZI WOTE WAPO LUPANGO.
 
kweli mkuu.umesema japo mashabiki wa mbowe hawataki kabisa kusikia baya la asasi yao ya CHADEMA.
 
Nimeshangazwa sana na muitikio wa wana CHADEMA baada ya Juliana Shonza kuhama akitokea CHADEMA kwenda CCM.

Pro CHADEMA wengi wameishia kumshambulia kwa matusi na kejeli nyingi,bila kutilia maanani kuwa katiba ya JMT inamruhusu raia yeyote kuwa mwanachama wa chama chochote,almradi hajavunja sheria za nchi.

Jambo kubwa ambalo CHADEMA wangejiuliza hapa ni:

1/Juliana Shonza na "Masalia" wengine walipata fursa ya kuelezwa tuhuma zao,kujitetea na kusikilizwa?

2/Kuna ukweli kiasi gani dhidi ya tuhuma za ukanda na ukabila katika chama cha CDM?

3/Kuna ukweli kiasi gani kuhusu tuhuma za ubadhirifu wa rasilimali za chama unao daiwa kufanywa na viongozi wakuu?

Kumbukeni lisemwalo lipo,na mficha maradhi kifo humuumbua!

Ni wakati wa CHADEMA kama chama kujitathmini sasa,na kuondoa uozo na udhaifu wowote kama upo.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
CDM hakuna cha nakupa siku 90,kama vile ccm waliwapa mafisadi mpaka leo hazitamia siku 90.nape kaisimamisha kalenda!
 
Nimeshangazwa sana na muitikio wa wana CHADEMA baada ya Juliana Shonza kuhama akitokea Cdm kwenda CCM.
Pro CDM wengi wameishia kumshambulia kwa matusi na kejeli nyingi,bila kutilia maanani kuwa katiba ya JMT inamruhusu raia yeyote kuwa mwanachama wa chama chochote,almradi hajavunja sheria za nchi.
Jambo kubwa ambalo CDM wangejiuliza hapa ni:
1/Juliana Shonza na "Masalia" wengine walipata fursa ya kuelezwa tuhuma zao,kujitetea na kusikilizwa?
2/Kuna ukweli kiasi gani dhidi ya tuhuma za ukanda na ukabila katika chama cha CDM?
3/Kuna ukweli kiasi gani kuhusu tuhuma za ubadhirifu wa rasilimali za chama unao daiwa kufanywa na viongozi wakuu?

Kumbukeni lisemwalo lipo,na mficha maradhi kifo humuumbua!
Ni wakati wa cdm kama chama kujitathmini sasa,na kuondoa uozo na udhaifu wowote kama upo.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.

KILAZA UNA TAABU WEWE,Hayo maswali ume wauliza CHAMASUMU?au ndo umetumwa Ujishebedue?.huyo kilaza wenu tume mfukuza kama karudi utotoni alikotokea lazima aambiwe kama huo ni ujinga.na we umelishwa ujinga umeuleta hapa unadhani KIZOTA HAPA?
 
KILAZA UNA TAABU WEWE,Hayo maswali ume wauliza CHAMASUMU?au ndo umetumwa Ujishebedue?.huyo kilaza wenu tume mfukuza kama karudi utotoni alikotokea lazima aambiwe kama huo ni ujinga.na we umelishwa ujinga umeuleta hapa unadhani KIZOTA HAPA?

-Umesoma heading ya post.
-Umeona neno CHADEMA.
-Umeifungua.
-Umeisoma,na kukutana na hoja kadhaa ambazo hujakubaliana nazo.
-Umeamua kutukana.
MY TAKE:
Wewe ni Kilaza.
Free Thinker says thanks for this very kilazaful post.
 
Last edited by a moderator:
Nimeshangazwa sana na muitikio wa wana CHADEMA baada ya Juliana Shonza kuhama akitokea Cdm kwenda CCM.
Pro CDM wengi wameishia kumshambulia kwa matusi na kejeli nyingi,bila kutilia maanani kuwa katiba ya JMT inamruhusu raia yeyote kuwa mwanachama wa chama chochote,almradi hajavunja sheria za nchi.
Jambo kubwa ambalo CDM wangejiuliza hapa ni:
1/Juliana Shonza na "Masalia" wengine walipata fursa ya kuelezwa tuhuma zao,kujitetea na kusikilizwa?
2/Kuna ukweli kiasi gani dhidi ya tuhuma za ukanda na ukabila katika chama cha CDM?
3/Kuna ukweli kiasi gani kuhusu tuhuma za ubadhirifu wa rasilimali za chama unao daiwa kufanywa na viongozi wakuu?

Kumbukeni lisemwalo lipo,na mficha maradhi kifo humuumbua!
Ni wakati wa cdm kama chama kujitathmini sasa,na kuondoa uozo na udhaifu wowote kama upo.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.

Wewe ni mpuuzi wa aina yake

1. Matusi ya Juliana (ukimwi) hukuyaona wakati anatukana viongozi wa juu wa CDM?

2. Uthibitisho wa kukumbatiwa JK kuwa walikuwa wamemtuma hujauona?

3. Furahisha jamvi tu maana kesha tukanwa na nahisi matusi mengine anayotungiwa yatakupata ujue ya Juliana si ya mzaha
 
Tusaidie wakuu,
huyu juliana ni nani? Amefanya nini cha maana kumjadili? Ana mguso wowote katika jamii?
 
Back
Top Bottom