Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Kwani wafuasi wa kibwetere waliwahi kuhoji lolote dhidi ya kibwetere?
 
Pole sana kama waliofukuzwa ni kina SHONZA na MWAMPAMBA halafu tukaiita hii ubakwaji wa demokrasia, basi ni bora ikbakwa tuu
 
ukitaka ufukuzwe chadema jaribu kuhoji madudu ya slaa au ya mwenyekiti, jifanye unataka kugombea uraisi, ulizia mapato na matumizi, toa hoja chanya kwa kuwa ccm utaitwa msaliti muulize shibuda na zitto watakuambia.uliza kwann mwenyekiti kauzia chama magari chakavu kw bei ya juu uliza uone nenda bavicha hakuna uwazi ukiulizwa wanatengeneza zengwe unafukuzwa demokrasia gani iyo
Rabbid dogs should be chained
 
Ndiyo Mwl. Mwigulu alivyokufundisha? Democrasia iliyo mng`oa Nape uchaguzi wa UVCCM unaijua?:rockon:
 
Mkuu, kitu gani kinakufanya ushangae mpaka kuleta thread hapa JF.

Natural justice imeanisha, mlango ulioingilia ndiyo huo huo utatokea.

Chama hakikushuka kutoka mbinguni. Kuna watu walitumia pesa zao kutoka mifukoni mwao na kwa maana hiyo, kama bado wako hai, basi wako na nguvu na uwezo wa kufanya chochote wakipendacho. This is the reality, take it or leave it.

Kama ukitaka kuishi ndani yake, act and lick like a fool na utapata makombo yote.

Usikae ukadanganyika eti kuna demokrasia ya kweli. Thubutu.
 
ukitaka ufukuzwe chadema jaribu kuhoji madudu ya slaa au ya mwenyekiti, jifanye unataka kugombea uraisi, ulizia mapato na matumizi, toa hoja chanya kwa kuwa ccm utaitwa msaliti muulize shibuda na zitto watakuambia.uliza kwann mwenyekiti kauzia chama magari chakavu kw bei ya juu uliza uone nenda bavicha hakuna uwazi ukiulizwa wanatengeneza zengwe unafukuzwa demokrasia gani iyo

Kwa hiyo wewe unatakaje?JE CHADEMA mpaka hapa ilipo imeimarika au?watu wengine bwana ni ......
 
Kwani wafuasi wa kibwetere waliwahi kuhoji lolote dhidi ya kibwetere?

Hivi Kikwete kwenye Nafasi ya Uenyekiti wa CCM taifa aliupambanishwa na nani vile? Je makamu wa CCM tanzania bara alipambanishwa na nani vile? Hebu tuanze na Democrasia ya CCM kwanza, sasa hivi mnongea Ngoja Kura za Maoni zitakapo anza kutafuta wagombea Ubunge na Uraisi ndo utaiju Democrasia yenu ilivyo
 
huyu hana kitu. single zooote walizozianzisha zimechuja. na sasa wanatafuta nyingine. nasema ccm na masalia mmefulia.
 
Fukuza fukuza madiwani kila kona nchini, ilianza na arusha ikaenda mwanza, ilemela na sasa musoma.
 
na zile siku 90 za kuvua magamba zimebaki ngapi?na je ile orodha ya wauza dawa za kukulevya bado ipo kwa mwenyekiti au kaitupa?
ni hayo tu
 
Chadema ni kampuni ya watu wachache ukitaka kuhoji hoji maslahi yao lazima waanze na wewe
 
Wapi chacha wamgwe, wapi kafulila, wapi zitto wapi shonza.kama hutoki true north usalama wako ndani cdm ni mashaka matupu
 
hilo liko wazi chadema kuna ubabe sana ndiyo maana ilinilazimu nirudishe kadi yao miezi kadhaa iliyopita!
 
303662_399883380095662_190985035_n.jpg



- Kwa muda mrefu sana sasa nimeliona sana tatizo la kukosa ukomavu wa Demokrasia hasa kwenye kuvumuliana na mawazo tofauti kutoka Viongozi wa Chadema, mpaka kuepelekea hata wanachama na wapenzi wao kuiga tabia hiyo mbovu sana ya Viongozi wao hasa wa Taifa. Kuacha Mheshimiwa Zitto, viongozi wengi wa Chadema wana tabia mbaya sana ya kuonyesha hasira za binafsi pale unawapowakosoa au kuikosoa Chadema as I always do in the public!

- Ukikutana nao utawaona wanavyopata taabu ya kukusalimia, watajaribu kila njia kukukwepa na wakishindwa utaona wanajilazimisha sana kukusalimia, huwa inanishangaza sana kwani wengi wao nakumbuka sana jinsi zamani walivyokuwa wanamtukana matusi ya nguoni mzazi wangu na sijawahi hata siku moja kuwaonyesha kwamba nina tatizo nao, I mean badilikeni ndugu zangu siasa sio uadui kupingana mawazo ni kitu chema na chenye afya sana kwa maendeleo ya taifa letu. Tunapopingana kitikadi in the public halafu kuonekana pamoja pia in the public tunajenga imani kwa wananchi wetu kwamba kutofautiana kiitikadi ni kwa sababu wote tuna nia njema na Taifa lakini sio kwamba hatupendani au ni maadui, ila wote tuna uchungu na taifa letu na ni muhimu tukipingana maana ndio njia pekee inayokubalika Duniani kisiasa katika kutafuta njia iliyonyoooka kwa Taifa.

- Viongozi wa Chadema badilikeni au fanyeni semina za kuelemishana kuhusu hii tatizo kubwa sana ambalo linawasumbua na kuwatafuna sana, sio ustaarabu kwani huwa mnawatukana sana viongozi wengine lakini hatuwakimbii wala kuwaogopa kwa sababu tunajua kuna siasa na kuna sisi as binadam na wananchi wa Tanzania ambao tunahitaji kuwaongoza wananchi wengine, sasa tusiwafundishe kuwa kutofautiana kiitikasi ni uadui.

- MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!

Le Mutuz
 
Maneno ya busara na hekima umeyatoa hapa, ni imani yangu maneno yako haya yataleta mabadiliko kwa viongozi na wapenzi wa CHADEMA.
 
- Ukikutana nao utawaona wanavyopata taabu ya kukusalimia, watajaribu kila njia kukukwepa na wakishindwa utaona wanajilazimisha sana kukusalimia, huwa inanishangaza sana kwani wengi wao nakumbuka sana jinsi zamani walivyokuwa wanamtukana matusi ya nguoni mzazi wangu na sijawahi hata siku moja kuwaonyesha kwamba nina tatizo nao, I mean badilikeni ndugu zangu siasa sio uadui kupingana mawazo ni kitu chema na chenye afya sana kwa maendeleo ya taifa letu. Tunapopingana kitikadi in the public halafu kuonekana pamoja pia in the public tunajenga imani kwa wananchi wetu kwamba kutofautiana kiitikadi ni kwa sababu wote tuna nia njema na Taifa lakini sio kwamba hatupendani au ni maadui, ila wote tuna uchungu na taifa letu na ni muhimu tukipingana maana ndio njia pekee inayokubalika Duniani kisiasa katika kutafuta njia iliyonyoooka kwa Taifa.

Haya bwana Le Mutuz kama kweli wewe na Kijani wenzio mnauchungu na Jamii!
Lakini usisikitike katika maisha kuna kanuni kuwa huwezi kuishi au kuwa na mashirikiano na mwizi.Ebu tusaidie wewe Mgoni wako utataka usalimiane naye ?


Huo ni mtazamo wangu watakuja wengine.
 
Haya bwana Le Mutuz kama kweli wewe na Kijani wenzio mnauchungu na Jamii!
Lakini usisikitike katika maisha kuna kanuni kuwa huwezi kuishi au kuwa na mashirikiano na mwizi.Ebu tusaidie wewe Mgoni wako utataka usalimiane naye ?


Huo ni mtazamo wangu watakuja wengine.

- Ni mtizamo finyu sana, kwa sababu ni hao hao wagoni wako ndio walioruhusu ukawepo imagine na wao wangekuwa na mawazo kama yako ungekuwepo?

Le Mutuz
 
Back
Top Bottom