Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Kwani zaidi ya Heche ni nani tena mwingine alisema anaunga mkono uamuzi wa "kamati tendaji"?
 
Hakuna hamnazo cdm kiasi cha kuamini kila chapisho la mtu, we are all learned! Umebaki pekeyako wa jinsi ya upeo wako!
 
Jana kwenye kipindi cha radio cha Milrad Ayo mbunge Zitto Kabwe amesikika akihoji kama hii ndiyo Chadema tuliyokuwa tunaijenga ambavo mtu anatimuliwa chamani bila kupewa bafasi yakujitetea. Yuko tofauti kabisa na viongozi wengine wanao support kufukyzwa kina Juliana.
My take: Chadema itapita kwenye mgogoro mkubwa zaidi baada ya kumwondoa Julianna na webzaje. Ameishaibua uozo wa Dr. Slaa kujichotea mamilioni na yameandikwa magazetini and people are forming opinios about Slaa. The damage has been done and more is to come. It was a wrong move kwa Chadema kumwondoa Julianna na wenzake kwa style hii and more will surface. Dr. Slaa na Mbowe wamekosa umakini katika hili

Demokrasia bila mipaka ni uhuni na kumvumilia mhuni kwa kisingizio cha demokrasia ni kukosa maoni juu ya misingi ambayo CDM inasimamia. Kila mwanachama wa CDM anahaki ya kuzungumza lakini vilevile ana wajibu wa kupima athari za matamshi na matendo yake katika ujenzi wa chama.

CHADEMA sio genge la wahuni.
 
Demokrasia bila mipaka ni uhuni na kumvumilia mhuni kwa kisingizio cha demokrasia ni kukosa maoni juu ya misingi ambayo CDM inasimamia. Kila mwanachama wa CDM anahaki ya kuzungumza lakini vilevile ana wajibu wa kupima athari za matamshi na matendo yake katika ujenzi wa chama.

CHADEMA sio genge la wahuni.

Mkuu, una busara sana. Busara hizi ungewapa chadema mapema may be Mwangosi angeendelea kuwa hai.
 
Jana kwenye kipindi cha radio cha Milrad Ayo mbunge Zitto Kabwe amesikika akihoji kama hii ndiyo Chadema tuliyokuwa tunaijenga ambavo mtu anatimuliwa chamani bila kupewa bafasi yakujitetea. Yuko tofauti kabisa na viongozi wengine wanao support kufukyzwa kina Juliana.
My take: Chadema itapita kwenye mgogoro mkubwa zaidi baada ya kumwondoa Julianna na webzaje. Ameishaibua uozo wa Dr. Slaa kujichotea mamilioni na yameandikwa magazetini and people are forming opinios about Slaa. The damage has been done and more is to come. It was a wrong move kwa Chadema kumwondoa Julianna na wenzake kwa style hii and more will surface. Dr. Slaa na Mbowe wamekosa umakini katika hili

Ulitegemea aseme nini baada ya kundi lake kuvunjwa na yeye kuvuliwa nguo na akina Ben Saanane kuhusu mkakati wake wa kukivuruga CDM?
 
Jana kwenye kipindi cha radio cha Milrad Ayo mbunge Zitto Kabwe amesikika akihoji kama hii ndiyo Chadema tuliyokuwa tunaijenga ambavo mtu anatimuliwa chamani bila kupewa bafasi yakujitetea. Yuko tofauti kabisa na viongozi wengine wanao support kufukyzwa kina Juliana.
My take: Chadema itapita kwenye mgogoro mkubwa zaidi baada ya kumwondoa Julianna na webzaje. Ameishaibua uozo wa Dr. Slaa kujichotea mamilioni na yameandikwa magazetini and people are forming opinios about Slaa. The damage has been done and more is to come. It was a wrong move kwa Chadema kumwondoa Julianna na wenzake kwa style hii and more will surface. Dr. Slaa na Mbowe wamekosa umakini katika hili

Mkuu, ulitaka wasifukuzwe ili kuficha madhambi? Hapana Dr. ni mtu kama wengine, kama wanayo na yafichuliwe. Lakini kamwe wasiache uoza ndani ya CDM kwa kuchelea madhambi kuanikwa.
 
Tuitaje Mbulula vs shoza.Au masalia vs kaskazini.Naona move inasumbua kichwa.Ila chadema hakuna mgogoro
 
Nina furaha isiyo kifani hatimaye gwiji la masalia limeshaanza kutapatapa peupe ha ha ha mr matunguri how are you,you need a shade
 
Jana kwenye kipindi cha radio cha Milrad Ayo mbunge Zitto Kabwe amesikika akihoji kama hii ndiyo Chadema tuliyokuwa tunaijenga ambavo mtu anatimuliwa chamani bila kupewa bafasi yakujitetea. Yuko tofauti kabisa na viongozi wengine wanao support kufukyzwa kina Juliana.
My take: Chadema itapita kwenye mgogoro mkubwa zaidi baada ya kumwondoa Julianna na webzaje. Ameishaibua uozo wa Dr. Slaa kujichotea mamilioni na yameandikwa magazetini and people are forming opinios about Slaa. The damage has been done and more is to come. It was a wrong move kwa Chadema kumwondoa Julianna na wenzake kwa style hii and more will surface. Dr. Slaa na Mbowe wamekosa umakini katika hili

....kama yaliyoandikwa hapo nilipokoleza wino mwenkundu yana ukweli wowote (i doubt it though), basi nadhani ni jambo jema kwa mustakabali wa uongozi wa juu wa nchi yetu......
hatutaki kupeleka fisadi mwingine magogoni bana!

kama kuwafukuza akina "juliana" ambao bado wamebaki chadema kutaendelea kuibua akina "dr slaa" wengine ndani ya chama "wanaojichotea mamilioni", then mimi naunga mkono fukuza fukuza hii ya the rest of the "julianas" iendelee kwa kasi kubwa zaidi ili ibaki chadema imara na isiyokuwa tainted!
 
Ukweli husemwa:

-Mbele ya macho ya Katiba, kanuni, maadili, miongozo, taratibu na itifaki za chama cha CHADEMA, Juliana Shonza hajavuliwa uanachama.

-Kwenye macho ya kangaroo court na CHADEMA blind patriotist, Miss Juliana Shonza si mwanachama tena au kwa jina jingine anaitwa 'masalia'.

-Tabia moja ya ukweli, ni kupigana na kusimama hata katika ngome imara za uongo. Inaweza ikachukua muda mrefu lakini hatimaye ukweli hushinda.

-Ukweli katika ngome imara ya uongo, haupatikani kwa bei nafuu, kafara lazima ziwepo.
 
NAPATA TABU KUDISCUSS MAMBO AMBAYO KWANZA SINA UHAKIKA NAYO,SINA USHAHID NAYO,TISA KUMI MUANDISHI NA MLETA MADA YENYEWE HAJIAMINI,HATA LUGHA YAKE YA TAIFA INAMSHINDA KUIPANGILIA SARUFI,PTUUUH..!!

UHARO...:smow::smow:
 
Mnyonge Mnyongeni lakini haki yake mpeni Zitto hakutamka haya maneno.Nilimsikiliza.
 
Last edited by a moderator:
Ulitarajia aliyewatuma afurahi?kipi kimekuthibitishia wewe kwamba DR Slaa amekwapua fedha za chama kama si ukasuku unakusumbua?kabla hajafukuzwa hakujua kwamba Slaa amekwapua fedha au baada ya kutimuliwa ndipo malaika wa maono akamfunulia?yani CDM yote makao makuu wamemfumbia macho Dr akikomba huku wao wakitokwa mate?huu ni upunguani wa kawaida kutaka kupata attention ya umma kwa kujibizana na Presidential material.Hivi kama zezeta moja linaitwa kwenye kikao cha kujitetea halitaki kuja unataka CDM yote imwangukie?hata barua hataki kupokea ili aweze kusonga mbele na rufaa kwa haohao anaowatusi.Masalia wamewehuka,wanatamani iwe ni ndoto wakiamka wajikute bado ni CDM.Hima!CDM bado Dogo Matunguli
 
Jana kwenye kipindi cha radio cha Milrad Ayo mbunge Zitto Kabwe amesikika akihoji kama hii ndiyo Chadema tuliyokuwa tunaijenga ambavo mtu anatimuliwa chamani bila kupewa bafasi yakujitetea. Yuko tofauti kabisa na viongozi wengine wanao support kufukyzwa kina Juliana.
My take: Chadema itapita kwenye mgogoro mkubwa zaidi baada ya kumwondoa Julianna na webzaje. Ameishaibua uozo wa Dr. Slaa kujichotea mamilioni na yameandikwa magazetini and people are forming opinios about Slaa. The damage has been done and more is to come. It was a wrong move kwa Chadema kumwondoa Julianna na wenzake kwa style hii and more will surface. Dr. Slaa na Mbowe wamekosa umakini katika hili
Kwani kila lisemwalo ni kweli. kwani likitokea lijibaba hulifahamu likakwambia ndio babako utakubali tu?
 
Back
Top Bottom