TUNTEMEKE
Platinum Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 580
mkuu ritz kwa sasa jambo la muhimu lakujadili ni suala la huyu mzee slaa kuchagua kusuka ama kunyoa maana huku chadema sisi hatumtaki ni mamluki mkubwa ndo maana anavuruga chama kwakuwafukuza makamanda waliotoka na chama mbali.
anasahau kwamba yeye mwaka 1995 alishinda ubunge karatu akiwa hajui hata wapi ziliko ofisi za chadema makao makuu.
alifika ubungo nakupiga simu makao makuu kuomba waje wamchukue alisimama pale mbele ya yenu bar ubungo akina mzee kimesela ndio waliokuja kumpokea leo hii anajifanya mnazi wa chadema kinara wakuwaita wenzie mamluki kumbe yeye kaficha kakadi kake .
hahahaaa kweli za mwizi arobaini yaani ni sawa na mchawi aokoke halafu akatae kuchoma tunguri zake eti anaziweka kumbukumbu ili watoto wake waje wazione kuwa baba alishawahi kuwa mchawi.
ondoka chadema slaa hatukutaki rudi ccm .
ritz tunawarudishia mzigo wenu wa misumari huku hatuutaki.
mbowe na zitto wanatosha sana kupeleka gurudumu la chadema mbele.
anasahau kwamba yeye mwaka 1995 alishinda ubunge karatu akiwa hajui hata wapi ziliko ofisi za chadema makao makuu.
alifika ubungo nakupiga simu makao makuu kuomba waje wamchukue alisimama pale mbele ya yenu bar ubungo akina mzee kimesela ndio waliokuja kumpokea leo hii anajifanya mnazi wa chadema kinara wakuwaita wenzie mamluki kumbe yeye kaficha kakadi kake .
hahahaaa kweli za mwizi arobaini yaani ni sawa na mchawi aokoke halafu akatae kuchoma tunguri zake eti anaziweka kumbukumbu ili watoto wake waje wazione kuwa baba alishawahi kuwa mchawi.
ondoka chadema slaa hatukutaki rudi ccm .
ritz tunawarudishia mzigo wenu wa misumari huku hatuutaki.
mbowe na zitto wanatosha sana kupeleka gurudumu la chadema mbele.