The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,258
- 17,456
Kosikazi na Greenstar kitu ileile!!!????
Ulitegemea aseme nini baada ya kundi lake kuvunjwa na yeye kuvuliwa nguo na akina Ben Saanane kuhusu mkakati wake wa kukivuruga CDM?
Jana kwenye kipindi cha radio cha Milrad Ayo mbunge Zitto Kabwe amesikika akihoji kama hii ndiyo Chadema tuliyokuwa tunaijenga ambavo mtu anatimuliwa chamani bila kupewa bafasi yakujitetea. Yuko tofauti kabisa na viongozi wengine wanao support kufukyzwa kina Juliana.
My take: Chadema itapita kwenye mgogoro mkubwa zaidi baada ya kumwondoa Julianna na webzaje. Ameishaibua uozo wa Dr. Slaa kujichotea mamilioni na yameandikwa magazetini and people are forming opinios about Slaa. The damage has been done and more is to come. It was a wrong move kwa Chadema kumwondoa Julianna na wenzake kwa style hii and more will surface. Dr. Slaa na Mbowe wamekosa umakini katika hili
Jana kwenye kipindi cha radio cha Milrad Ayo mbunge Zitto Kabwe amesikika akihoji kama hii ndiyo Chadema tuliyokuwa tunaijenga ambavo mtu anatimuliwa chamani bila kupewa bafasi yakujitetea. Yuko tofauti kabisa na viongozi wengine wanao support kufukyzwa kina Juliana.
My take: Chadema itapita kwenye mgogoro mkubwa zaidi baada ya kumwondoa Julianna na webzaje. Ameishaibua uozo wa Dr. Slaa kujichotea mamilioni na yameandikwa magazetini and people are forming opinios about Slaa. The damage has been done and more is to come. It was a wrong move kwa Chadema kumwondoa Julianna na wenzake kwa style hii and more will surface. Dr. Slaa na Mbowe wamekosa umakini katika hili
Jana kwenye kipindi cha radio cha Milrad Ayo mbunge Zitto Kabwe amesikika akihoji kama hii ndiyo Chadema tuliyokuwa tunaijenga ambavo mtu anatimuliwa chamani bila kupewa bafasi yakujitetea. Yuko tofauti kabisa na viongozi wengine wanao support kufukyzwa kina Juliana.
My take: Chadema itapita kwenye mgogoro mkubwa zaidi baada ya kumwondoa Julianna na webzaje. Ameishaibua uozo wa Dr. Slaa kujichotea mamilioni na yameandikwa magazetini and people are forming opinios about Slaa. The damage has been done and more is to come. It was a wrong move kwa Chadema kumwondoa Julianna na wenzake kwa style hii and more will surface. Dr. Slaa na Mbowe wamekosa umakini katika hili
Shida unataka kumuingiza Zitto kwenye mjadala wako , weka you tube watu wasikie..........Juliana hana impact kwenye chama ....nani anamjua aliwahi kufanya kazi gani ya kujenga chama? Huyu hana tofauti na yule wa uvccm sijui mboni nani yule.............
mkuu kwema.
Habari za siku nyingi after malimbe life.??
NAPATA TABU KUDISCUSS MAMBO AMBAYO KWANZA SINA UHAKIKA NAYO,SINA USHAHID NAYO,TISA KUMI MUANDISHI NA MLETA MADA YENYEWE HAJIAMINI,HATA LUGHA YAKE YA TAIFA INAMSHINDA KUIPANGILIA SARUFI,PTUUUH..!!
UHARO...:smow::smow:
Huwa najiuliza mbona kumekuwa na mfumuko wa wimbi la ACCOUNT MPYA za humu JF kumshambulia Dr. Slaa?
Mkuu sikufahamu vizuri lakini jambo moja nina uhakika nalo: mimi ni mtu makini. Sarufi and all that takataka nazifahamu vizuri sana. Hapa naongelea mstakabali wa Chadema kama chama mbadala wa CCM. Utakuwaje na uongozi wa kina Mbowe wanaomwita Julianna ana akili za kitoto na kafukuzwa il hali yuko Zitto anasema kwa mdomo na sauti yake redioni kuwa the procedure was wrong and undemocratic! Mind you Zitto si mwanachama wa kawaida Chadema bali ni kiongozi wa ngazi ya juu kabisa. Sasa akiwa tofauti na mwenyekiti na katibu wake anayezushiwa tuhuma nzito kila kukicha then mtu yeyote makini will sit up na kujiuliza. Sio kufuata maneno ya zidumu fikra za Slaa. Then we are not doing this country any favour. Kipindi cha redio kinaitwa amplifier cha Millard Ayo ila jana aliongoza mwana dada. Hii entry ya Zitto ndio ilikuwa the best of the day according to them.
Mkuu, una busara sana. Busara hizi ungewapa chadema mapema may be Mwangosi angeendelea kuwa hai.
Jana kwenye kipindi cha radio cha Milrad Ayo mbunge Zitto Kabwe amesikika akihoji kama hii ndiyo CHADEMA tuliyokuwa tunaijenga ambavo mtu anatimuliwa chamani bila kupewa bafasi yakujitetea. Yuko tofauti kabisa na viongozi wengine wanao support kufukuzwa kina Juliana.
My take: CHADEMA itapita kwenye mgogoro mkubwa zaidi baada ya kumwondoa Julianna na wenzaje. Ameishaibua uozo wa Dr. Slaa kujichotea mamilioni na yameandikwa magazetini and people are forming opinios about Slaa.
The damage has been done and more is to come. It was a wrong move kwa CHADEMA kumwondoa Julianna na wenzake kwa style hii and more will surface. Dr. Slaa na Mbowe wamekosa umakini katika hili