Kishoka, Mkandara,
..hii hoja hata mimi imeanza kunichefua.
..huu mchezo anaoufanya Zitto wa kutumia jina lake na nickname Omarilyas ni utoto wa kupindukia.
..kitu kimoja nimejifunza ni kwamba Zitto/Omarilyas anahitaji muda akue.
omy
sikujui ila unaonekana ni mtu wa karibu na zitto, na kama sio samahani..
kama watu wanajua wewe ni mtu wa karibu/mshauri wa zitto, wanafikiria zitto anawaona viongozi wa chadema ni magoigoi, na hiyo inamjengea chuki zitto na viongozi wenzake wa chadema...
lakini kama wewe unawaona viongozi wa chadema ni magoigoi (ni haki yako ya kifikira) ungejitenga na zitto hapa JF ili kuondoa mgongano...
na kama unataka kuwa karibu na zitto hapa JF inabidi umtendee zitto haki kwa kujibu majibu yako responsibly
Waberoya,
..kwa hapa ilipofikia nahitaji Administrators privilleges ku-sort out suala hili.
Julius,
..ndugu yangu, utu uzima tu na kuangalia mwenendo wao hapa naona kama Zitto ndiyo Omarilyas. au labda nazeeka vibaya.
..kwa jinsi Zitto alivyo mkali na protective kuhusu image, misimamo, na mitazamo yake, angeisha m-disown na kumsimamisha Omarilyas asiendelee kumwaga sumu humu.
Rev. Kishoka,
Yaani hata sina nguvu tena na kumjadili mtu yeyote...after all, siwajui hivyo!
...
Wanaona wao ndio wana haki ya kumtukana na kumzushia kila uozo na kugeuza maneno ya Zitto kila wakati wakitegemea Zitto hatakuwa tayari kuwajibu kwa maslahi ya chama chake.
..
Hawa jamaa wanapaswa kukaa chini na kufanya self reflection ya matatizo yao badala ya kukimbilia kutafuta mchawi kwa Zitto ama Omarilyas. Wachawi wao wenyewe wakiongozwa na sumu mbaya za Kiranja aka Mpakakieleweke....
Kuhusu kumuongelea Zitto, as long as wanakuja hapa na kwengineko na uzandiki wao i will not stop deciphering their cheap and loosy spinnings.....Kama wao wanadhani wana haki ya kumpaka uozo wao wa Zitto basi nami nina haki ya kupambana na uozo wao.
Mmeshaiharibu hii mada, kwa kuingiza undavyaundavya!
Na wewe bana...sasa "undavyaundavya" ndio nini maana'ake?
Julius,
Wewe unamkosoa Mwl? Utakamatwa (msemo wa UD) wakati wa mtihani ... ohh shauri yako.
Kitila, heshima mbele mkuu, this is just a snack
Katumwa na mafisadi na anakuja kama nyati aliyejeruhiwa na nyatiOmar ndio zake hizo,
Umeona alichomjibu Kiranja? Ana hasira sana siku hizi sijui nini kimemtokea.
Kwa waliosoma vitabu vya Ngugi wa Thiong'o nadhani watamkumbuka character mmoja kwa jina Kabonyi. That is Zito. Bongolander kakuelezea vizuri sana hapo chini.Zitto - who is Zitto! Made to think by rev and all of you. Who are my friends? Ninaanzia hapo. Kila la kheri
You nailed it. Kwenye thread iliyokuwa inazungumzia ununuzi wa mmitambo ya DOWANS nilisema he is a traitor.I beg to differ gents. I do not trust the guy, yes he is charismatic, energetic and may be pro-development. Lakini alivyoiyumbisha Chadema ameonesha kuwa he is somekind of an opportunist and somekind of self centred politician.
Mtu kama huyu akipewa kiti kikubwa anaweza kuburuzwa na kuyumbishwa, au anaweza kufanya mengi ya ajabu ambayo ni unpredictable.
Ujasiri wa kuhalalisha tumlipe mwizi wetu?namsifu Mr.Zitto Kabwe kwa sababu ni muwazi na angalau anajali zaidi ya hayo ni jasiri, ni viongozi wachache wa ngazi yake wanaokuja hapa JF au kwenye mitandao mingine mikubwa ya siasa kuchangia mawazo yao na kusoma mawazo ya wengine wakiwa katika majina yao halisi...bila kujali kujadiliwa kulaumiwa, kuwa defined, refined etc...
I wish wote wenye madaraka mazito ktk nchi hii wangekuwa na ujasiri kama wake...
Ameishia hapo hapo haendi zaidi kwani si mtu wa kujisahihishaNamwomba Zito azingatie yafuatayo akitaka:
1. Msimamo usioyumba. Bado anapungukiwa hili na limekigharimu sana CHADEMA kwenye chaguzi za Mitaa zilizopita. Angechaguliwa yeye kuwa Mwenyekiti wa Taifa hadithi ingekuwa nyingine sasa hivi kwa siasa za Nchi hii.
2. Umimi. Anajiimarisha yeye zaidi kuliko chama chake. Hili halitamfikisha popote zaidi ya kupata UMAARUFU. Awaulize akina Mrema waliotumia staili hii walikofikia.
Halafu eti watu wanataka tuamini ni mtu wa misimamoNL,
DOWANS, Zitto katoa misimamo miwili; kwanza alitaka TANESCO iinunue mitambo ile, pili kwenye press conference yake ya hivi karibuni akataka itaifishwe!
Buzwagi hakuna alichofanikisha pale. Mkataba umebaki uleule uloosainiwa London. Raisi alipounda ile tume ya Jaji Bomani na yeye akawemo. Wakawa wanalipwa Shs 350000/= kwa siku. Ripoti yao imefanyiwa kazi kiasi gani sijui.
That is what is aboutMkuu Next Level mimi simfahamu zitto sana ila kwa hii issue ya Dorwans nimeona hana msimamo kabisa maana mara iuzwe baada ya wananchi kuja juu angaangalia nitoke vipi akaja tena na kuitaifisha
Unatoa criticism na inakuwa constructive kama mtu anasikiliza kama ambavyo wewe umeanza kuwa msikivu. Nadhani labda kuna dalili za mafisadi kushindwa (lol) Mchukia Fisadi naona anakufahamu vyemaZitto ni msomi mwenye upeo mkubwa sana. Uwepo wake katika siasa za Tanzania ( Bungeni ) umeleta mwelekeo mpya wa uendeshaji wa bunge letu na siasa kwa kitaifa kwa ujumla wake.
Kama binadamu ana mapungufu yake, lakini by far mapungufu yana out-weigh mazuri.
Sakata la mikataba ya madini, ufisadi na hata kuanguka kwa serikali nzima (Richmond-gate) kote huko kna mkono wa Zitto.
Jamaa kwa umri wake na hata elimu yake amefanya makubwa sana kwenye siasa zetu kuliko akina Mzindakaya ambao tuna wasikia toka tukiwa wadogo, tunasoma na mpaka tu watu wazima. Wengine kwenye mabenchi yao bungeni kuna vishimo kwa kupiga makofi kuunga mkono miswada mbalimbali ya serikali.
Hakuna ubaya kutoa criticism kwani kwa namna bora kunamjenga na kumsadia mlengwa, lakini wengine mnakuwa critical kwa minajili ya kumkatisha mtu tamaa kwa sababu tu ya msimamo wake fulani ambao kwa namna moja au nyingine mtu haukumfurahisha. Nitoe mifano miwili ya haraka; suala la Zitto kugombea uenyekiti Chadema na yaliyojiri kutokana na hatua hiyo yameacha makovu kwa baadhi ya watu, lakini we need to get over it and move on. Whether it was bad move or good one let by gone be by gone. La pili suala la Dowans, hili limewagawa watu ( hususan washabiki/wenye mapenzi na Zitto ) kwenye mapande mawili. Ninachotaka kusema hapa ni kuwa katika hili Zitto kaweka msimamo wake tena very firm na if anything jamaa ndio kiongozi pekee alie wa face watanzania na kuwaeleza nini kifanyike kuliko hata hao wenye dhamana waliojifungia ndani na kushindwa kusema kitu. Haikuwa nia yangu kuleta mjadala wa Dowans hapa, lakini ninachotaka kusema Zitto ni zaidi ya Uenyekiti wa Chadema na Dowans, ana potential kubwa sana kwa taifa apewe ushirikiano sio kukatishwa tamaa na kama kuna criticism then basi ziwe constructive one.
Kumbe kuna wakati akili zako huwa zinafanya kazi vizuri?
inaelekea mara nyingine ukisema mambo ovyo tofauti na hapa nitakupeleka Milembe!
Wote hatuwezi kuwa mjengoni. Mchango wetu ni mawazo na hayo tulimpa wakati kahongwa tununue dowans. Ka make 360 degrees turn bila kukiri alikosea.Kwa nini tunataka Zitto alime, apalilie, avune, apike, ale na kutumezea chakula, kwa nini nasi tusijitume na kuungana naye katika uzalishaji mali na kwa kila hatua tunayotaka kuwe na mafanikio? Maana sielewi tunapoanza kudai afanye kila kitu, sisi tukae mkao wa kula tukifurahia nini?
Our needs are to see a country without corruption. anybody who associates himself with this vice we can not conform with his leadership and personality.May be I should twist the wind this way. Why are we seeking for Zitto to conform to our desires and needs rather than us conforming to his leadership syle and personality?
Mawazo ya ovyo ovyo hayawezi kuheshimiwa kwa sababu tu ya demokrasiaSwali muhimu sana kaka.....watanzania bado tunashindwa kujenga utamaduni wa kidemokrasia wa kuheshimu mawazo na mitizamo tofauti na maslahi na matamanio yetu. Halafu tunaishia kutafuta uchawi ndani ya CCM wakati hata hao wapiga kelele za demokrasia nao bado wamegubikwa na fikra za kidikteta..
Tuna safari ndefu kaka.......
Asante mkuu huwa humng'unyi maneno. Taabu hawa jamaa kumbukumbu zao ni mbofuOmarilyas,
..hicho ni kipande cha statement aliyotoa Zitto Kabwe kuhusu tatizo la mgao wa umeme.
..kwa mtizamo wangu anaelekeza lawama kwa wanasiasa wenzake waliokataa mitambo ya Dowans, badala ya Management ya Tanesco na Uongozi wa Wizara kwa kushindwa kutupatia mitambo mipya.
..pia Zitto amepata wapi haya mawazo ya taifisha-taifisha? huyu inaelekea anaamini kutaifisha ni kuchukua bure . sasa ni vizuri aelewe kwamba hata mali tulizotaifisha mwaka 1967 tuliwafidia wamiliki wake. tena wengine walitupeleka mahakamani na tuliishia kuliingiza taifa hasara kubwa.
..pia umedai Zitto aliambatana na viongozi wa Chadema wakati akitoa mapendekezo kuhusu mgao wa umeme. naomba basi utuhakikishie kwamba statement ile ni ya Chadema na siyo yake binafsi. pia naomba utahakikishie kwamba Chadema sasa inaunga mkono sera ya utaifishaji mali.
Halafu huyu ndio eti alitaka kuwa mwenyekiti wa chama. Na chini ndio mshauri wake.Haya mambo ya kijinga kijinga ndio huturudisha nyuma nchini. Umbeya umbeya na majungu majungu. Hoja hapa ni Mbunge anayeitwa Zitto na siyo Omar.
Pili, bila hata ruhusa ya Omar mwenyewe ninataka niseme wazi wazi kuwa Omar ana kazi. Kama mnadhani kazi ni kuajiriwa katika ofisi na kuamka asubuhi kwenda basi lazima kichwani hakuko sawa. Omar amejiajiri na anafanya kazi zake kama consultant. Ubalozini New York huenda kwa sababu ya utafiti wake kuhusu UN.
Tatu, Omar Ilyas ni Msaidizi Maalumu wa Dkt. Salim Ahmed Salim - The President of Tanzania who never became. The longest serving ex Secretary General of the OAU, The only African south of SAHARA who nearly became the secretary General of UN and lost it because of his ideological stand and that of his Boss Julius Nyerere, The only Tanzanian who Nyerere asked to contest (mtasema Mkapa, sio kweli Mkapa alipelekewa na Jenerali Ulimwengu na Patrick Qorro kama alternative ya Salim), The Ex- Premier and Minister of Defence and a Board member of Mo Ibrahim Foundation.
Salim ni chuo Kikuu of his own. Omar ni sawa na mfanyakazi wa library ya chuo kikuu kilichosheheni vitabu vinavyosema.
Unathubutu kusema hana kazi?
Ulitaka ifike wapi na ifike kwa namna gani? Je ulitaka zitto afanyaje ili aifikishe huko unakokutaka? Je na wewe umefanya nini ili ufikishe huko? Je unadhani kwa ufinyu wa wabunge wa chama chake ama udhaifu wa kimikakati na sasa kiasasi uliopo huko angeliweza kufikisha hapo ullipotaka wewe?
Hoja yako hapa ni ipi? Kwamba kwa sababu tuliingia mkataba basi mitambo siyo chakavu au?Je tuliingiaje mkataba wa kuzalishiwa umeme kwa kutumia mitambo chakavu?
Umefanya jumuisho zuri sana.Katumwa na mafisadi na anakuja kama nyati aliyejeruhiwa na nyati
Sasa Cpt Hadock, nini hitimisho lako?
Sasa Cpt Hadock, nini hitimisho lako?
Would Zitto raise and be as charismatic and motivating like Mwalimu Nyerere?
Zitto, tuko nyuma yako! (Usiogope kama Mzee Mwinyi alipoogopa aliposikia watu wakidai wako nyuma yake! kwi kwi kwi)