Monsignor
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 523
- 13
Sasa Cpt Hadock, nini hitimisho lako?
Blistering Barnacles,
Hoja yangu ni kuhoji aliyesema kuwa TANESCo isinunue mitambo mikuukuu au michakavu. Mimi nikauliza, ilikuwaje tukaingia mkataba wa kuzalishiwa umeme kwa kutumia mitambo mikuukuu?
Je kama mfanp Richmond wangeweza kufanya kazi yao na hawakuwa kampuni ya mazabe, lakini wakatumia mitambo mibovu na chakavu, je pale ambapo wangeshindwa kuzalisha umeme inavyotakikana kutokana na ubovu huo tungemlaumu nani?
Or in other owrds, kwa nini Serikali huruhusu kukodisha mitumba mfano kama ule wa ATCL kukodisha Airbus lililochoka lakini tukaingia gharama karibu sawa na kununua ndege mpya?
That is my point Jellyfish!
Mchungaji,
Jibu hapa ni hakuna. Alitakiwa mtu/kampuni inayoweza kufua umeme na sheria ya manunuzi (ambayo huyu fisadi mgebuka Zito alitakaifutwe) ipo na ndivyo inavyotaka. Kwa sababu tu ya jeuri,dharau, ujinga na everything you name tukaishia hapo tulipo. Yaleyale ya rada na ndege ya rais