Debate challenge: Nyani Ngabu vs Paul Makonda!

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,252
113,645
Paul Makonda kadai anataka mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Wao wamemjibu kwa kuweka masharti ili mdahalo huo ufanyike.

Here I come. Mbeba maboksi niliyeishia kidato cha nne na kufeli.

Siweki masharti yoyote yale. Mimi na yeye tufanye mdahalo kuhusu mada yoyote ile…katiba mpya, ufisadi, global geopolitics, Hamas-Israel war, inflation, recession, weight loss, bbl, 50 years of hip hop, elements of hip hop, Magufuli, Gwajima, n.k.

Mimi niko tayari kufanya mdahalo popote pale, muda wowote ule, kuhusu chochote kile.

I know for a fact I’ll wipe the floor with him.

So what’s up Bashite? Come debate me.

I know you are an empty suit. But since you seem to be so gung-ho about debates, let’s have one. Just me and you, Lincoln - Douglas type of debate.

Bring it Bashite. Just bring it.

 
50 years of hip hop, elements of hip hop,

Makonda ana dili na masuala nyeti ya nchi wewe unakuja na utoto utoto wa " hip hop"

Mwenzako anafikiria kuchukua nchi wewe bado unawaza kuhusu hip hop?Halafu ndo unataka kudebate nae?.🤣🤣🤣🤣 utoto raha kweli

Makonda atakugaragaza vibaya mno mkuu..

Mwaka 2024 mtu anazungumza kuhusu hip hop?
Your mindset has stuck in the 90s thats why U think 2024 is 1994 or 1996.

Mkuu we are in 2024 not 1994. And I repeat! t
This is 2024 and not 1994.

Makonda humuwezi mkuu. Kua kwanza kifikra ndio ujaribu kutafuta debate na Makonda.
 
Paul Makonda kadai anataka mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Wao wamemjibu kwa kuweka masharti ili mdahalo huo ufanyike.

Here I come. Mbeba maboksi niliyeishia kidato cha nne na kufeli.

Siweki masharti yoyote yale. Mimi na yeye tufanye mdahalo kuhusu mada yoyote ile…katiba mpya, ufisadi, global geopolitics, Hamas-Israel war, inflation, recession, weight loss, bbl, 50 years of hip hop, elements of hip hop, Magufuli, Gwajima, n.k.

Mimi niko tayari kufanya mdahalo popote pale, muda wowote ule, kuhusu chochote kile.

I know for a fact I’ll wipe the floor with him.

So what’s up Bashite? Come debate me.

I know you are an empty suit. But since you seem to be so gung-ho about debates, let’s have one. Just me and you, Lincoln - Douglas type of debate.

Bring it Bashite. Just bring it.

Makonda atahitaji kujua ana debate na nani.
 
Huna uwezo wa kupambana na Mheshimiwa Makonda Mwamba wa siasa na kiongozi jasiri kusini mwa jangwa la sahara
IMG-20240119-WA0015.jpg
IMG-20240119-WA0014.jpg
 
Makonda ana dili na masuala nyeti ya nchi wewe unakuja na utoto utoto wa " hip hop"

Mwenzako anafikiria kuchukua nchi wewe bado unawaza kuhusu hip hop?Halafu ndo unataka kudebate nae?.🤣🤣🤣🤣 utoto raha kweli

Makonda atakugaragaza vibaya mno mkuu..

Mwaka 2024 mtu anazungumza kuhusu hip hop?
Your mindset has stuck in the 90s thats why U think 2024 is 1994 or 1996.

Mkuu we are in 2024 not 1994. And I repeat! t
This is 2024 and not 1994.

Makonda humuwezi mkuu. Kua kwanza kifikra ndio ujaribu kutafuta debate na Makonda.
Ndo maana nchi haiendelei yaani makonda adili na maswala nyeti ya nchi pamoja na kupata zero form four. hembu kuweni serious enyi chawa wa lumumba
 
Paul Makonda kadai anataka mdahalo na viongozi wa CHADEMA.

Wao wamemjibu kwa kuweka masharti ili mdahalo huo ufanyike.

Here I come. Mbeba maboksi niliyeishia kidato cha nne na kufeli.

Siweki masharti yoyote yale. Mimi na yeye tufanye mdahalo kuhusu mada yoyote ile…katiba mpya, ufisadi, global geopolitics, Hamas-Israel war, inflation, recession, weight loss, bbl, 50 years of hip hop, elements of hip hop, Magufuli, Gwajima, n.k.

Mimi niko tayari kufanya mdahalo popote pale, muda wowote ule, kuhusu chochote kile.

I know for a fact I’ll wipe the floor with him.

So what’s up Bashite? Come debate me.

I know you are an empty suit. But since you seem to be so gung-ho about debates, let’s have one. Just me and you, Lincoln - Douglas type of debate.

Bring it Bashite. Just bring it.

Kaka njoo huku isukamahela kuna pis za maana achana hiyo ng'ombe iliookotwa kwenye mkaa malamba mawili leo hii anajiona ni mtu
 
Jamaa pamoja na kukaa mbele bado anaonekana mshamba na limbukeni nafikiri ni vya kuzaliwa. Anaonekana ana dharau, kejeli, kiburi cha kishamba.
Mi simo mkuu maana hakawii kukwambia wewe ni hater. 🤣🤣🤣Ndio maana LIKUD alisema wamarekani weusi ni weupe mno kichwani na ukikaa nao kwa muda mrefu unakuwa mweupe kama wao. Great thinker kabisa Karne hii anazungumza kuhusu hip hop 🤣🤣🤣 halafu eti ndo anataka kudebate na Makonda🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom