Paul Kagame: Felix Tshisekedi ni mgombanishi nambari moja eneo hili la Afrika

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,305
24,200
Felix Tshisekedi mgombanishi anataka kuzigonganisha jumuiya ya SADC dhidi ya EAC asema rais Paul Kagame ktk mahojiano exclusive.

M23 ni wa Congole wanapigana huko DR Congo Mashariki kutokana na matatizo ya kina Felix Tshisekedi kiasi kwamba tayari tuna wakimbizi zaidi ya 100,000 waliokimbilia Rwanda kwa muda mrefu na mwaka huu 2024 tayari 15,000 wengine wameingia nchini Rwanda abainisha rais Paul Kagame alipoulizwa na mwandishi François Soudan kama M23 ni vikosi vya Rwanda.


View: https://m.youtube.com/watch?v=1_T_bOxmMV4
In an exclusive interview with @jeuneafriquewebtv , President Paul Kagame discussed Tshisekedi’s threats, his alliance with Ndayishimiye & FDLR and the M23

JE, UJIRANI MWEMA NA TSHISEKEDI

Mwandishi François Soudan anasema rais Felix Tshisekedi wa DR Congo yupo tayari kwa mazungumzo kwa masharti mawili.

Rais Paul Kagame asema hali hiyo inaweza kupatikana pale tu Rais Felix Tshisekedi atapofuta tamko alilolitoa kuwa DR Congo itaivamia Rwanda na kuungoa utawala wa serikali ya Rwanda toka mamlakani.

Source : Jeune Afrique

---
Rwandan President Paul Kagame insists his Democratic Republic of Congo (DRC) counterpart Felix Tshisekedi is to blame for escalating tension between the two neighbouring countries.

Speaking during a recent interview with Jeune Afrique, President Kagame said the conditions set by Tshisekedi were a stumbling block to peaceful resolution of ongoing instability in the Eastern DRC fueled by the ongoing fight between the Congolese army and the M23 rebel group.

President Tshisekedi had earlier demanded the withdrawal of Rwandan troops from Congolese territory as a precondition for meeting Kagame for discussions over the conflict.

He also said he was ready to meet Kagame on the condition of the precontaining of the M23 militia, which DRC accuses Rwanda of backing.

Reacting to the conditions, Kagame accused President Tshisekedi of manipulation and playing to the gallery of ‘external forces’.

“Tshisekedi has been able to manipulate individual leaders, countries and is now almost bringing a misunderstanding between and among regions. Because he was playing SADC (Southern African Development Community) against East Africa,” Kagame stated.

“Why don’t we therefore find a way of talking about it and not allowing Tshisekedi to dictate the terms of what must happen because we know he is wrong.”

Kagame said he could also declare his conditions but maintained that he won’t for the sake of finding a lasting solution to the conflict.

“I could also start by giving conditions, but it’s the wrong way to go about it,” he noted, adding, “I could also say that unless the FDRL is removed from Congo, I am not going to talk to President Tshisekedi. However, this does not serve the purpose of bringing peace.”

The Rwandan Head of State further noted that President Tshisekedi’s threats to invade Rwanda should not be taken lightly.

"I think he has the capacity to understand what he is saying as the leader of the country. That’s a serious problem I need to prepare for and take care of… This means that one night he could wake up and do something that you never thought normal people would do," he said in response to a question about whether he was concerned about Tshisekedi’s remarks during the campaign period last year, suggesting he could break off cautious diplomacy with Rwanda and declare war if re-elected.

Kagame’s recent remarks comes two weeks after he confirmed his readiness to engage in talks with Tshisekedi in order to tackle the crisis in eastern Congo.

The announcement followed mediation efforts led by Angola President João Lourenço, who is serving as the African Union’s mediator in the DR Congo crisis.
 
subiri mchapo,Congo washatupa,vinanda,drums n,k punde wataingia mzigoni hamtaamini macho yenu.
Msije kusema hamkujua haya nayo yatawafikia
1711398770863.png
 
Felix Tshisekedi mgombanishi anataka kuzigonganisha jumuiya ya SADC dhidi ya EAC asema rais Paul Kagame ktk mahojiano exclusive.

M23 ni wa Congole wanapigana huko DR Congo Mashariki kutokana na matatizo ya kina Felix Tshisekedi kiasi kwamba tayari tuna wakimbizi zaidi ya 100,000 waliokimbilia Rwanda kwa muda mrefu na mwaka huu 2024 tayari 15,000 wengine wameingia nchini Rwanda abainisha rais Paul Kagame alipoulizwa kama M23 ni vikosi vya Rwanda.


View: https://m.youtube.com/watch?v=1_T_bOxmMV4
In an exclusive interview with @jeuneafriquewebtv , President Paul Kagame discussed Tshisekedi’s threats, his alliance with Ndayishimiye & FDLR and the M23

JE UJIRANI MWEMA NA TSHISEKEDI

Rais Paul Kagame asema hali hiyo inaweza kupatikana pale tu rais Felix Tshisekedi atapofuta tamko alilolitoa kuwa DR Congo itaivamia Rwanda na kuungoa utawala wa serikali ya Rwanda toka mamlakani...

EAC imeshindwa kutatua huu mvutano ?
 
Ingetakiwa umoja wa mataifa uje na sharti la kuwepo kwa term limits za watawala katika nchi wanachama. Kila mtawala anayekaa madarakani zaidi ya miaka 15 hugeuka kuwa mharibifu sana siyo wa jamii yake tu lakini hata jamii za nchi jirani. Wafalme wasiwe watendaji wakuu wa nchi zao. yaani kila ufalme uwe pia na serikali inayoongozwa na uongozi wenye term limit.

Ukipitia nchi zote ambazo zimeongozwa na kiongozi mmoja kwa zaidi ya miaka 15 huwa zimezungukwa na migogoro itokanayo na viongozi hao. Matatizo ya Kongo ni ya kutengenezwa na Kagame kwa ajili ya madini.

Viongozi wengine ni pamoja na Netanyahu, Putin, Kim, (siku chache zijazo tutaanza kumpokea Jingpin kwenye club hii), Ayatollah, Assad. Afrika tunao wengi ila hawana nguvu za kijeshi za kusababisha uharibifu, ingawa huharibu maisha ya raia wao,
 
Tshikedi kaja juzi tu....
M23 wapo since 90s.
Tshikedi anakuwaje mchonganishi?
Umesikiliza vizuri! au umekurupuka tu, Ukizingatia majeshi yaliyopo Congo sasa hivi na yaliyokwisha ondoka ni dhahili kama watu wasingetumia busara pale uchonganishi ulikuwa dhahiri.
 
Watutsi hata Tanzania wapo wanajiita wahangaza na wahaya na wahutu nao Tanzania wapo wanajiita waha wa kigoma.

Wakianza kuchinjana tunawachapa viboko
Tofautisha jamii za mipakani na kuwa kabila moja.. yapo ya hivyo na yasiyo hivyo.
Sio kila kabila la mpakani la Tz ni asili ya nchi jirani. Hii italeta ubaguzi hapa Tz
Jifunze
 
CONGO YAPIGA KELELE MKATABA WA MAKUBALIANO WA MADINI YA THAMANI KATI YA UMOJA WA ULAYA NA RWANDA
Madini hayo kutoka Rwanda ya tin, tungsten, dhahabu na niobium, yana kiasi kikubwa cha makinikia ya madini ya lithium yanayosakwa sana kutokana na mahitaji makubwa dunia.

DR Congo slams EU-Rwanda materials deal as tensions mount • FRANCE 24 English


View: https://m.youtube.com/watch?v=5qeDh5yKPVw
The Democratic Republic of Congo has slammed the EU's signing of a critical raw materials deal with Rwanda, who it accuses of backing M23 rebels in eastern DRC. Emmet Livingstone has the latest.
Source : France24

More info:
MAKUBALIANO -MoU baina ya RWANDA NA UMOJA WA ULAYA - EU

PRESS RELEASE 19 February 2024 Brussels

EU and Rwanda sign a Memorandum of Understanding on Sustainable Raw Materials Value Chains​

Today, the European Union and Rwanda have entered an important agreement to nurture sustainable and resilient value chains for critical raw materials. Commissioner for International Partnerships, Jutta Urpilainen, and Rwanda's Minister of Foreign Affairs, Vincent Biruta, signed a Memorandum of Understanding to strengthen Rwanda's role in fostering sustainable development and resilient value chains across Africa.

Five areas of cooperation
This Memorandum of Understanding establishes close cooperation between the EU and Rwanda in the following five areas:
  • Integration of sustainable raw materials value chains and support for economic diversification, ensuring good functioning and sustainability of these value chains.
  • Cooperation to achieve sustainable and responsible production and valorisation of critical and strategic raw materials. This includes increased due diligence and traceability, cooperation in fighting against illegal trafficking of raw materials and alignment with international Environmental, Social and Governance (ESG) standards.
  • Mobilisation of funding for deployment of infrastructure required for the development of raw material value chains, including through improving the investment climate.
  • Research and innovation and sharing of knowledge and technologies related to sustainable exploration, extraction, refining, processing, valorisation and recycling of critical and strategic raw materials, their substitution, waste management and monitoring of supply risks.
  • Building of capacity to enforce relevant rules, increasing training and skills related to the critical and strategic raw materials value chain.
The signature of the Memorandum of Understanding between the EU and Rwanda signals both parties' intention to strengthen their partnership for closer integration of raw materials value chains. This cooperation model will bring the possibility for the partner country to diversify their economy and will be a driver for structural transformation as it will promote added value and integrate better standards in the partner country. The EU's Global Gateway investment plan will be instrumental in providing the financial support needed in skills development in the mining sector, improved transparency and traceability and support to mobilising funds for infrastructures.

Next steps
Following the signature of the Memorandum of Understanding, a roadmap with concrete actions will be developed together in six months to put the strategic partnership into practice.

Background
Mineral value chains are critical to Rwanda's economy. The country is a major player on the world's tantalum extraction. It also produces tin, tungsten, gold and niobium, and has potential for lithium and rare earth elements. In addition, Rwanda with its favourable investment climate and rule of law can become a hub for value addition in the mineral sector. One gold refinery already exists, while a tantalum refinery will soon be operational. Rwanda also has the only active tin smelting plant in Africa.

For the EU, this partnership will contribute to ensuring a sustainable supply of raw materials, especially critical raw materials, as an essential prerequisite for delivering on green and clean energy objectives. As part of the Action Plan on Critical Raw Materials, the Commission has already started working to build partnerships with resource-rich third countries, making use of all external policy instruments and respecting its international obligations while implementing the EU's Global Gateway.

This Memorandum of Understanding (MoU) with Rwanda follows the signature of a MoU with the Democratic Republic of the Congo and with the Republic of Zambia at the Global Gateway Forum on 26 October 2023, and with Namibia on 8 November 2022. Outside of Africa, EU's Memoranda of Understanding on sustainable raw materials value chains are in place with Argentina, Canada, Chile, Greenland, Kazakhstan and Ukraine.

Global Gateway
Global Gateway represents the European Union's effort to reduce the global investment disparity and boost smart, clean and secure connections in digital, energy and transport sectors, and to strengthen health, education and research systems. It provides sustainable investment opportunities to enhance the prosperity and security of our global partners and Europe alike.

The Global Gateway strategy embodies a collaborative approach that brings together the European Union, EU Member States, and European development finance institutions. Together, we aim to mobilise up to €300 billion in public and private investments from 2021 to 2027, creating essential links rather than dependencies, and closing the global investment gap..

Source : Press corner
 
Back
Top Bottom