Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,550
- 3,092
Nimefurahi jeshi la polisi limemshushua Sitta.
Huyu sita ni mtu wa kuogopwa sana! naona ni mnafiki na mchonganishaji!
Huyu sita ni mtu wa kuogopwa sana! naona ni mnafiki na mchonganishaji!
Lakini Dr Kasema kuwa anakwenda Appolo atakapo rudi ndio ataweka wazi,so tusubiri na subira huvuta kheri
Wanabodi, tuacheni conspiracy theories, vuteni subira kwanza mkijue anachoumwa ndipo mziendeleze hizi conspiracy theories zenu!.
Serikali makini itamshughulikia Sitta haraka iwezekanavyo, scrap him his ninisterial positions na kumpandisha kizimbani kwa kosa la "uchochezi"!.
Mkuu Pasco, tulikwambia awali kabisa kuwa ni makosa kuchukua 'side' bila kuwa na mitazamo tofauti. Nashukuru kuwa umeliona hilo na ku-retreat kutoka katika maneno hayaWanabodi nilishauri huko nyuma na hapa nashauri tena, tupunguze conspiracy theories tusubiri tamko la Mwakiyembe mwenyewe!.Japo naye ili kumlindia Sitta heshima, anaweza kusema "Nimesha Muachia Mungu, hivyo naomba nisizungumze chochote"! hivyo kutosema anaumwa nini!.
Hakuna conspiracy bali ni ukweli unaotokana na maneno ya Nahodha, Pinda na Manumba.By Pasco Serikali makini itamshughulikia Sitta haraka iwezekanavyo, scrap him his ninisterial positions na kumpandisha kizimbani kwa kosa la "uchochezi"!.By Pasco
Mkuu Nguruvi3 kwenye hili la sumu, mwisho wa uwezo wa serikali kusema sio sumu ndio hapo. Serikali haipaswi kusema ilichunguza nini na ni kwa vigezo gani waliend up kuhitimisha sio sumu. Ile hoja kuwa alishalalamika huko nyuma bali polisi hawakufanya chochote its still valid, polisi walipaswa wauambie umma wa Watanzania why ili wengi wenu msio mwelewe vizuri Mwakyembe what he is really is!.Tuhuma za Mwakiyembe kutishiwa kuuwawa,sasa hizi tuhuma za sumu si angalau wamejibu!, si wangeweza kukaa kimya na wasiulizwe chochote kama kawaida yao!.![]()
Kama hajalishwa sumu wangetoa ufafanuzi nini kinamsibu ?.
Iko hivi Dr Mwakyembe ni kweli kabisa hakuwekewa sumu kwenye chakula. Sumu iliingiaje kwenye mfumo wa kimwili wa Harrison? Alikuwa akiviziwa sana na jamaa walimwekea sumu kwenye sabuni ya kunawia mikono Dodoma, mara baada ya kuitumia ile sabuni ilitoweka. Cartel ya waliohusika kufanya uharamia huo wa kumtegeshea sumu Mwakyembe inaongozwa na Mbunge wa Monduli, ambaye bunge lilimlazimisha aachie ngazi nafasi ya uwaziri mkuu. Wahusika wote waliisha lipwa kwa kazi hiyo na wana kiapo cha kutosema kwa mtu yeyote.
Tanzania ni nchi ya Wasanii, Chochote kinawezekana.
Mkuu Nguruvi3 nakubali yaishe kama ifuatavyo,Mkuu Pasco, tulikwambia awali kabisa kuwa ni makosa kuchukua 'side' bila kuwa na mitazamo tofauti. Nashukuru kuwa umeliona hilo na ku-retreat kutoka katika maneno haya Hakuna conspiracy bali ni ukweli unaotokana na maneno ya Nahodha, Pinda na Manumba.
Conspiracy ni pale mtu atakapodai kuwa ima amelishwa au la kwa maneno ya kufikirika.
Nimeandika huko nyuma kuwa lazima tu- strike balance kwa yale tunayosikia na kuambiwa, na ni wajibu wetu kufikiri na si kumeza kila kitu midhali aliyesema ni DCI kwa niaba ya serikali.
Kwakuwa unashauri suala hili tuliache hadi Mwakyembe atoe habari zake, basi ni vema mkuu ukaomba radhi kwa mambo yafuatayo
1. Kumhukumu Sitta na kudai afutiwe wadhifa na kufikishwa kizimbani kama nukuu inavyoonekana
2. Kutoa picha tofauti ya Dr Mwakyembe ili 'tusio mwelewa tumwele' kama nukuu inavyosema hapo juu.
3. Kuitetea serikali kuwa imekamilisha kazi kwa kusema siyo sumu kama nukuu inavyoonyesha hapo juu.
Ndugu yangu Pasco, kama unajua kuwa lugha ya wageni inakupa shida kimawasiliano kwanini unaing'ang'ania? Kwanza unapowasiliana na sisi wamatumbi wenzio unahaja gani kuchanganya lugha?Ni kweli luga ya marikia inanisumbua sana na hasuwa glama ya kingeleza. Asavali kiswahili nakiwezea vizuli na ndiyo luga yetu sisi watu wa uswazi sio kama nyie watoto wa magolofani!.
Mkuu Bulesi, kiukweli nalipwa hela nyingi sana!. Zile bahasha za khaki nalipwa 20,000 kila bahasha hivyo kwa wiki ninamake some good 100,000 per week, kwa mwezi ninamake 400,000 nikifanya kazi na Jumamosi na Jumapili zinafika 500,000 kwa mwezi!. This is a lot of money kwa mwandishi wa habari freelance!. Haswa ukizingatia media za Tanzania zinawalipa freelance 2,500-5,000 per story na 5,000-10,000 kwa makala!.How much are you paid for being a VUVUZELA?